Siku tuliyobadilishiwa nyama ya Mbuzi msibani kimiujiza!

Siku tuliyobadilishiwa nyama ya Mbuzi msibani kimiujiza!

Kwahyo mtu akisema tu hiyo sala anapata macho ya rohoni?? Ni Guarantee au kanjanja??
Ukisema Sala hiyo na kuamini pasi na shaka,

Utapokea uwezo, na utakuwa umekaribisha Mungu ndani ya maisha Yako.

Na hatua Kwa hatua utaongezeka kiimani na kupata viwango vya juu kama alivyo navyo mtumishi aliyesimulia.

Ubarikiwe.
 
Nilishudia kule Kanda ya ziwa watu wanaloga msibani kuni zinawaka mpaka zinaisha lakini maji ya kusongea ugali hayapati moto.
Wachawi Wana mambo ya kipumbavu sana,

Hata kwenye harusi, wapishi wasipoombea chakula wakipikacho, ni Rahisi kuharibiwa, kisiive, au kuingiza makorokoro na uchafu wao ndani ya chakula.
 
Nachokueleza kinawezekana kabisa wala hakina mashaka, pengine usingewaambia(hata kama kweli kimechezewa chakula) wasingepata shida yeyote.
Kwamba ukiona mtu akiweka Sumu kwenye chakula Cha umma, ukinyamaza, wanaweza wasidhurike na Sumu Ile?

Saikolojia Ina mahala pake, na kilichoelezwa Wala hata hakihusiani na saikolojia.

Punguza ujuaji.
 
Hii huenda ni Geita au maeneo hayo maana hiyo michezo ni mingi sana
Inawezekana watu kubeza maana umeweka suala la Imani Yako hapo ila ulichoandika kipo sana Kanda
Nadhani dawa ni kuchinja nguruwe
Kwamba mdudu atumike msibani Kwa chakula🤔

Wala nguruwe mna mambo!!

Nakubaliana nawe, wengi ni watoto wa 2000 wanadhani Kila kitu ni maigizo.
 
Kwamba ukiona mtu akiweka Sumu kwenye chakula Cha umma, ukinyamaza, wanaweza wasidhurike na Sumu Ile?

Saikolojia Ina mahala pake, na kilichoelezwa Wala hata hakihusiani na saikolojia.

Punguza ujuaji.
Sasa hicho kilichoonwa ni sumu? Machizi wanakula vyakula vya majalalani ila hawaumwi ila kuna watu wakila kipolo tu wanaumwa tumbo.
 
Mkuu, Macho ya rohoni unauza kiasi gani? Na kwa sisi tuliopo mbali tunalipaje na utatutumia kwa njia gani?
Karama ya Mungu, macho ya rohoni hutoka Kwa Roho mtakatifu aingiapo ndani ya mtu baada ya TOBA inayoambatana na Imani.

Karama za Mungu hazinunuliwi Kwa pesa, ni Bure Mungu ametoa.

Muhimu amini tu.

Ubarikiwe 🙏
 
Sasa hicho kilichoonwa ni sumu? Machizi wanakula vyakula vya majalalani ila hawaumwi ila kuna watu wakila kipolo tu wanaumwa tumbo.
Sasa utumbo wa kichaa alaye jalalanj na mtu mzima viko sawa ndugu mjuaji?

Uliza basi hata daktari aliye karibu akuelekeze,

Unadhani ni Rahisi kulishwa mzoga uliokaa siku kadhaa ulioanza kuoza ukabaki salama?

Jaribu utupe majibu.
 
Ilimtokea rafiki yangu kwenye sherehe Geita nusu aondoke (hakuwa peke yake ) mi sikula palitokea udhuru wa ghafla nikaondoka kurejea msosi umeisha na sikujali sana
Jamaa alibebwa msobe msobe kwenda hospital kavaa kitenge
Wenyeji wakasema nyama ilibadilishwa
 
Sasa utumbo wa kichaa alaye jalalanj na mtu mzima viko sawa ndugu mjuaji?

Uliza basi hata daktari aliye karibu akuelekeze,

Unadhani ni Rahisi kulishwa mzoga uliokaa siku kadhaa ulioanza kuoza ukabaki salama?

Jaribu utupe majibu.
Kumbuka huo mzoga haukuonekana kwa hao walaji, madai ya mzoga ni ya kiimani kutoka kwa mtu mmoja na ndio maana nakwambia upo uwezekano wa kuwa wameathiriwa kisaikolojia tu.

Mkuu mie sipingi michezo ya kishirikina kwenye kuchezea chakula ila hapo nimejaribu tu kuangalia kwa upande mwengine maana sio kila chakula chenye kuchezewa shughulini watu wataharisha.
 
Kumbuka huo mzoga haukuonekana kwa hao walaji, madai ya mzoga ni ya kiimani kutoka kwa mtu mmoja na ndio maana nakwambia upo uwezekano wa kuwa wameathiriwa kisaikolojia tu.

Mkuu mie sipingi michezo ya kishirikina kwenye kuchezea chakula ila hapo nimejaribu tu kuangalia kwa upande mwengine maana sio kila chakula chenye kuchezewa shughulini watu wataharisha.
Sasa hutakiwi kuleta mambo ya kisaikolojia ilhali mtumishi ameona na kuthibitishiwa kuwa ni chakula kichafu.

Labda tatizo lako Unadhani watumishi wa Mungu hawawezi kubaini Siri na michezo ya wachawi.
 
Sasa hutakiwi kuleta mambo ya kisaikolojia ilhali mtumishi ameona na kuthibitishiwa kuwa ni chakula kichafu.

Labda tatizo lako Unadhani watumishi wa Mungu hawawezi kubaini Siri na michezo ya wachawi.
Saikolojia ipo kwenye maisha yetu wala si kitu cha watu fulani tu.

Halafu hata wewe mkuu unaweza na jicho la tatu sio lazima hadi uwe mtumishi,mganga wala mchawi.
 
Back
Top Bottom