Aya bhana ππAhahaha hapana.Nitamchangamsha kidogo
HeheheheπππNitanyanyuka kwanza niizime ndio nizimieππ
Haki umenifanya nichekeπ€£π€£π€£mbona wazee wa hovyo!Depal umefika 27? Ukifika tu achana na hizi mambo, sie wazee wa hovyo ngoja tuendelee kidogo, tutaacha tuπ
Utakuwa umelogwaππHivi nikae na wewe wasap niache kuflirt kweliππ
Mzee mwenzagu umegoma kuzeekaπ€£π€£π€£Siwezi kukubali hata kidogo, ni bora tusichat kabisaπ
Kama una patner sahihi,muda mwingi uko connected na mwenzio,sio mtu ikiona message yake labda katuma token za luku....Hata Adam alipomuacha Eva peke yake ndipo ibilisi alipata upenyo..Solution ni moja tu, tuache kuchepuka...
Swali, is it possible kuishi bila kuchepuka?
Hapana,ndio nitakuwa nimebigin lifeπ€£π€£π€£Haha, sitaki kabisa kusikia hizo habari. Wewe ukilingana na mimi utakubali kuzeeka?π
Ni line maalumu kwaajili ya me kuwasiliana na micheps ili kuuweka mwili sawa pamoja na kumsaidia mke katika kumpunguzia majukumu hasa kwenye sekta ya kuwekanaTelefunge ndio nini mkuu..haha!
Unakuta mtu afungua Uzi anataka mke wakati anaweza anza na huyu.Huyu binti yuko vizuri, ndio wanaitwa wife materials hawa!!
Ayaaaaaa.....πSimu za kazi maalumu huwa zinawashwa na kuzimwa muda maalumu na hukaa ofisini tu...
Nadhani mabazazi wamenielewa...
Amekua mama, hongera sanaInategemea na mtu.Binafsi mwakani nitakua 30 but I stopped flirting at the age of 26.
Kuanzia 16yrs( nilivyomaliza form 4 ) mpaka around 24 yrs, nimeflirt sanaaaa mpaka saiv naona ni utoto.
Ukifika 27 yrs, Usipende ku entertain ujinga ujinga au mazoea zoea ya hovyo aka sex chats na kila mtu hata kama si type yako.
We nyau hujambo?ππππ
ππWife akishika simu kuangalia gallery unaogopa texts isije kuingiaππ hatari mkuu.