Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aya bhana ๐๐Ahahaha hapana.Nitamchangamsha kidogo
Hehehehe๐๐๐Nitanyanyuka kwanza niizime ndio nizimie๐๐
Haki umenifanya nicheke๐คฃ๐คฃ๐คฃmbona wazee wa hovyo!Depal umefika 27? Ukifika tu achana na hizi mambo, sie wazee wa hovyo ngoja tuendelee kidogo, tutaacha tu๐
Utakuwa umelogwa๐๐Hivi nikae na wewe wasap niache kuflirt kweli๐๐
Mzee mwenzagu umegoma kuzeeka๐คฃ๐คฃ๐คฃSiwezi kukubali hata kidogo, ni bora tusichat kabisa๐
Kama una patner sahihi,muda mwingi uko connected na mwenzio,sio mtu ikiona message yake labda katuma token za luku....Hata Adam alipomuacha Eva peke yake ndipo ibilisi alipata upenyo..Solution ni moja tu, tuache kuchepuka...
Swali, is it possible kuishi bila kuchepuka?
Hapana,ndio nitakuwa nimebigin life๐คฃ๐คฃ๐คฃHaha, sitaki kabisa kusikia hizo habari. Wewe ukilingana na mimi utakubali kuzeeka?๐
Ni line maalumu kwaajili ya me kuwasiliana na micheps ili kuuweka mwili sawa pamoja na kumsaidia mke katika kumpunguzia majukumu hasa kwenye sekta ya kuwekanaTelefunge ndio nini mkuu..haha!
Unakuta mtu afungua Uzi anataka mke wakati anaweza anza na huyu.Huyu binti yuko vizuri, ndio wanaitwa wife materials hawa!!
Ayaaaaaa.....๐Simu za kazi maalumu huwa zinawashwa na kuzimwa muda maalumu na hukaa ofisini tu...
Nadhani mabazazi wamenielewa...
Amekua mama, hongera sanaInategemea na mtu.Binafsi mwakani nitakua 30 but I stopped flirting at the age of 26.
Kuanzia 16yrs( nilivyomaliza form 4 ) mpaka around 24 yrs, nimeflirt sanaaaa mpaka saiv naona ni utoto.
Ukifika 27 yrs, Usipende ku entertain ujinga ujinga au mazoea zoea ya hovyo aka sex chats na kila mtu hata kama si type yako.
We nyau hujambo?๐๐๐๐
๐๐Wife akishika simu kuangalia gallery unaogopa texts isije kuingia๐๐ hatari mkuu.