Siku umeugua ghafla mke/mume akiambiwa akae na simu yako utakuwa na amani kweli?

Siku umeugua ghafla mke/mume akiambiwa akae na simu yako utakuwa na amani kweli?

Simu za kazi maalumu huwa zinawashwa na kuzimwa muda maalumu na hukaa ofisini tu...

Nadhani mabazazi wamenielewa...

Mkuu wewe hii post haikuhusu, upo kwenye kundi la wakufunzi.

Shida ni kwetu kindergarten.

ERoni alichokisema ni kitu nakiwaza Mara Kwa Mara. Kwanini niwe na wasi wasi na simu yangu? Unakuta hakuna hata kitu Cha maana kinaendelea ni ujinga ujinga tu ambao kosa kidogo la kiufundi unawezakujikuta umetumbukia kwenye matatizo mazito.
 
Sasa mtu ana tunza porn clips za nini[emoji23][emoji23]?

Ukitaka kuangalia porn, nenda online ukimaliza yako clear browsing data.

Sasa unatunza porn mara mtu unayeheshimiana nae au mtoto avikute udhalilike wakati anytime unajipakulia online
Mkuu reference muhimu ujue, zinatunzwa.😁
 
Mkuu wewe hii post haikuhusu, upo kwenye kundi la wakufunzi.

Shida ni kwetu kindergarten.

ERoni alichokisema ni kitu nakiwaza Mara Kwa Mara. Kwanini niwe na wasi wasi na simu yangu? Unakuta hakuna hata kitu Cha maana kinaendelea ni ujinga ujinga tu ambao kosa kidogo la kiufundi unawezakujikuta umetumbukia kwenye matatizo mazito.
Mkuu Watu8 ni mkufunzi😁😁😁anatakiwa kutoa somo kwa vijana namna ya kuishi, atafute upande, afundishe either wachepuke kwa tahadhari au waachane na hizi mambo as hazina manufacturers yoyote. Tatizo ni kuwa unaweza usiwe cheater physically, ila emotionally...yaani hizo flirts zako zinatosha kumfanya wife wako akose imani na wewe. I was once caught to be honest!
 
Kuna mtu alituonesha jinsi anavyoficha mafolders yake kwenye simu kiasi kwamba hata ukipekua vipi huoni wala kutilia shaka yoyote, aisee wanaume nyie🙌 sisi ladies, we are royal hatuwezi kufanya hivo
Wapo ladies wanaoenda toe-to-toe na wanaume siku hizi mkuu, what a man can do, a woman can do better.
 
Wakuu, heri ya sikukuu ya kuchinja.

Kuna kitu nikawaza, baada ya kwenda hospitali X kumuona mgonjwa wangu wa karibu.(wakati fulani)

Yule mwamba wakati anakuwa admitted hali haikuwa nzuri kiasi kwamba vitu vyake kuanzia wallet na simu ilibidi mke akae navyo lakini ukweli ni kwamba aliweweseka sana kumuachia my wife wake simu, sijui alikuwa na mawasiliano ya namna gani kipindi hicho.

Ila nilichobaini ni kuwa kulikuwa na mawasiliano ambayo ama kwa hakika yasingemfurahisha mkewe. Sasa hapa najiwazia baada ya kuchoshwa na kazi za leo, hivi hzi flirting unazofanya kwenye texts, huko WhatsApp etc siku umeugua ghafla mke/mume akiambiwa akae na simu yako utakuwa na amani kweli?

BTW, serial cheaters wana secure folder...wao wala hawana shida.
Ndio
 
Don't bet on a man mkuu, niamini mimi!!
Cheat sawa but na mwanamke anyejitambua siyo kila kitu twende huwa inawacost.

Mfano,angalia Davido anavyodhalilishwa kwa kuchepuka na mwanamke kichaa huko marekeni.Anaanika chats zao, mara afanye PT insta live, mara amuingize mkewe Davido kwenye drama..

Siyo kila mtu wa kulala nae, Vingine viwapite.
 
Back
Top Bottom