Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba unataka kumfundisha nini 😃😃😃Nishawaachia vijana sasa.Mimi acha nijenge za watoto now.Hizi mbinu nitampa mwanangu wa kiume
Simu za kazi maalumu huwa zinawashwa na kuzimwa muda maalumu na hukaa ofisini tu...
Nadhani mabazazi wamenielewa...
Sasa mtu ana tunza porn clips za nini[emoji23][emoji23]?Unakutana na porn clips za kutosha.
Usinikwepe bana,😊 nishapewa somo konki na dada Barbie
nikifika naacha, ingawa si flirt mimi
Nikikunusa unanitaka na sikuhitaji, naanza kukukwepa.
YesOkay, so one relationship at a time. Ikibuma unajifuta na kuanza upya.
Kuna wanaume hawaendekezi sex na kila aina na mtu..Siyo kila skirt anataka kuiparamiaMen of class kwenye mbususu are very rare mkuu, yaani na class yake anaweza kumla dada wa kazi hapo nyumbani. Ila akipatikana wa class yako nalo la kushukuru.
Awe wise man asizubae zubae akaja kamatwa kizembeKwamba unataka kumfundisha nini 😃😃😃
Mkuu reference muhimu ujue, zinatunzwa.😁Sasa mtu ana tunza porn clips za nini[emoji23][emoji23]?
Ukitaka kuangalia porn, nenda online ukimaliza yako clear browsing data.
Sasa unatunza porn mara mtu unayeheshimiana nae au mtoto avikute udhalilike wakati anytime unajipakulia online
KabisaUnakutana na porn clips za kutosha.
Mkuu Watu8 ni mkufunzi😁😁😁anatakiwa kutoa somo kwa vijana namna ya kuishi, atafute upande, afundishe either wachepuke kwa tahadhari au waachane na hizi mambo as hazina manufacturers yoyote. Tatizo ni kuwa unaweza usiwe cheater physically, ila emotionally...yaani hizo flirts zako zinatosha kumfanya wife wako akose imani na wewe. I was once caught to be honest!Mkuu wewe hii post haikuhusu, upo kwenye kundi la wakufunzi.
Shida ni kwetu kindergarten.
ERoni alichokisema ni kitu nakiwaza Mara Kwa Mara. Kwanini niwe na wasi wasi na simu yangu? Unakuta hakuna hata kitu Cha maana kinaendelea ni ujinga ujinga tu ambao kosa kidogo la kiufundi unawezakujikuta umetumbukia kwenye matatizo mazito.
Wapo ladies wanaoenda toe-to-toe na wanaume siku hizi mkuu, what a man can do, a woman can do better.Kuna mtu alituonesha jinsi anavyoficha mafolders yake kwenye simu kiasi kwamba hata ukipekua vipi huoni wala kutilia shaka yoyote, aisee wanaume nyie🙌 sisi ladies, we are royal hatuwezi kufanya hivo
We can do better yes ila siyo kwenye hayo maswala sisi ni waoga bana, tuna zile "what if nikifumwa .. itakuaje?.. nyie sasa🤣Wapo ladies wanaoenda toe-to-toe na wanaume siku hizi mkuu, what a man can do, a woman can do better.
NdioWakuu, heri ya sikukuu ya kuchinja.
Kuna kitu nikawaza, baada ya kwenda hospitali X kumuona mgonjwa wangu wa karibu.(wakati fulani)
Yule mwamba wakati anakuwa admitted hali haikuwa nzuri kiasi kwamba vitu vyake kuanzia wallet na simu ilibidi mke akae navyo lakini ukweli ni kwamba aliweweseka sana kumuachia my wife wake simu, sijui alikuwa na mawasiliano ya namna gani kipindi hicho.
Ila nilichobaini ni kuwa kulikuwa na mawasiliano ambayo ama kwa hakika yasingemfurahisha mkewe. Sasa hapa najiwazia baada ya kuchoshwa na kazi za leo, hivi hzi flirting unazofanya kwenye texts, huko WhatsApp etc siku umeugua ghafla mke/mume akiambiwa akae na simu yako utakuwa na amani kweli?
BTW, serial cheaters wana secure folder...wao wala hawana shida.
Cheat sawa but na mwanamke anyejitambua siyo kila kitu twende huwa inawacost.Don't bet on a man mkuu, niamini mimi!!
Ni kweli, kuna wanawake hatariiiiiWapo ladies wanaoenda toe-to-toe na wanaume siku hizi mkuu, what a man can do, a woman can do better.