wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Humu JF mtu anaweza akajiona mnyonge,kumbe wazee wanacheki reviews Mitandaoni then imeisha hio.Mashine sana hii GTS but still naiendea BMW X5 'M' V8 2015 0-100 KPH 4.9' tu rekodi ambayo cayenne, jeep na audi q5 na q7 the same class and manufacture yr wameshindwa kuivunja...GTS salute pia kama ni yako chukua hi [emoji1537] ila BMW X5 hp 555 hata ndinga ya minister ya kijapani hainishiki BMW ni super suv isiyoongopa cayenne v8 comes second kwangu.
Huyo uliyem quote mwenyewe Ni 1 Kati ya I'd za Joshua.Naweza nisishangae nikikuta hata hii ID yako ni yake pia maana jamaa ana I'd Kama zote, Kwny huu Uzi tu nimeziona Kama 4 mpk Sasa.Zinajijibu zenyeweWasiojua story zake watasumbuka sana😃😃
Huyo uliyem quote namkubali kwny magari na akiku inspire Ni sawa kabisa lkn huyo wa range Rover ya uongo anaku inspire ujinga,utaingizwa Cha kike.suburi haters na wajuaji wa jf waanze kuku attack.
thanks for writing an inspirating post.
Safi sana.Kweli mkuu GTS za kuhesabu huku niliko kwa sasa maana jamaa wananiulizia kama naiuza especially tukikutana carwash
Well kuhusu Audis SUVs nimeziendesha sana na ni nzuri pia nazipenda
Kuhusu BMW mimi sio mpenzi wa hizo
Kuna wakati niliendesha ila tatizo lake sio stable na pia hata ufunge madirisha na upo speed utasikia muungurumo wa upepo and I hated it
Hili GTS mzee ukikanyaga accelerator unaona mwili unarudi nyuma kama unavutwa hapo ndio utaona nguvu ya Porsche
Ila kwa kuhitimisha kila mmoja anaangalia ipi anapenda zaidi
suburi haters na wajuaji wa jf waanze kuku attack.
thanks for writing an inspirating post.
Safi sana.
Porsche ni mnyama na bei ya kinyama.
Mpaka suspension iharibike umesikia anapanda milima na mabonde.Sasa nilichosema hapo uongo uko wapi au haujui hayo magari yakipark mda mrefu yana lala na hujui kwamba gharama zake ziko juu kwenye spare parts utafananisha na Toyota Shekh, hiyo gari inaumeme sana sensor kibao suspension tu 4M labda zimeshuka now.
Tuambiane ukweli kama vijana itatusaidia zaidi kuliko kuchukulia kila jambo ni fitna na wivu
Salute ChiefKweli mkuu GTS za kuhesabu huku niliko kwa sasa maana jamaa wananiulizia kama naiuza especially tukikutana carwash
Well kuhusu Audis SUVs nimeziendesha sana na ni nzuri pia nazipenda
Kuhusu BMW mimi sio mpenzi wa hizo
Kuna wakati niliendesha ila tatizo lake sio stable na pia hata ufunge madirisha na upo speed utasikia muungurumo wa upepo and I hated it
Hili GTS mzee ukikanyaga accelerator unaona mwili unarudi nyuma kama unavutwa hapo ndio utaona nguvu ya Porsche
Ila kwa kuhitimisha kila mmoja anaangalia ipi anapenda zaidi
Wengine wanapenda vintage kama pambo tuu analitumia mara moja kwa mwezi11 years ya kujinyima alafu unanunua gari ya kizamani namna hii!!?
blaza hukusoma hesabu shuleni?
Anafananishaje mali ya mzungu na mjapaniUmevurugwa. Si bure
Salute Chief
Yote hayo yanakuhusu nini mzee babaMkuu umeshajenga , unakipato cha kumtain hiyo kitu? Una umri zaidi ya miaka 35? Je hiyo gari inakukngezea thaman Gani? Ni issue ya ndoto tu? I mean hukufanya analysis yoyote?
Hio sio vintage,zile range rover vogue 3.5 v8 ndio vintage/classicWengine wanapenda vintage kama pambo tuu analitumia mara moja kwa mwezi
Kweli kabisaHaya mawazo uchwara, umaskini na ya kijiweni ndio siyapendagi.
Uliwahi kulimiliki?
Unajua mishe zake?
Tuache kutishana...acheni watu waishi ndoto zao hata kwa mwezi inatosha historia imeandikwa.
Haya mawazo uchwara, umaskini na ya kijiweni ndio siyapendagi.
Uliwahi kulimiliki?
Unajua mishe zake?
Tuache kutishana...acheni watu waishi ndoto zao hata kwa mwezi inatosha historia imeandikwa.
Hongera sana! but kununua ni moja that's a damn European vehicle no shortcutWakuu 2021, Inshallah nimefanikiwa kumilik hii SUV. Nimejinyima for 11 good years kufanikisha hili.
View attachment 2088573
View attachment 2088577
View attachment 2088579
NB: Vijana jifunzeni uvumilivu katika kutafuta
Jf imejaa ujinga mwingi sana, sasa inasaidia nn mwanaume kupost gari ya mwanaume mwingine na kujifanya kama ni yake? kama mtu hana pesa ni hana tu kikubwa atafute apate, Inshort kwa haya aliyoyaonyesha ni kwamba ana poor mindset, and therefore he don't belong to this class. ALE UREFU WA KAMBA YAKO NA ASIINGILIE MALISHO YA WENGINE.Mbona hii gari imenunuliwa na mtu kutoka Malawi ? Au na wewe unakaa Malawi? Please see this link on the bottom aliyenunua anatoa positive feedback to BE Forward: Used 2003 LAND ROVER RANGE ROVER VOGUE/GH-LM44 for Sale BK265563 - BE FORWARD