It's obviously lazima mtu yeyote wa kawaida ajibu hivi anapokosa logical counter argument. ThanksKwaheri. Hujui kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It's obviously lazima mtu yeyote wa kawaida ajibu hivi anapokosa logical counter argument. ThanksKwaheri. Hujui kitu.
Nimecheka kishenzi mkuu🤣 🤣 🤣 Gari ya bei mbaya kuleta bongo kama una roho nyepesi ni kujitafutia presha tu na mabalaa, inaweza kukufanya kila siku ukeshe kwa mwamposa unaifunika na damu ya YESU isipate ajali manake bongo kupata ajali ni jambo dogo sana, madereva wengi ni reckless
Kwa hio wewe Ni nani mkuu?Hapa tunazungumzia Cayenne hakuna Porsche Cayenne yenye 800 HP Haipo NAKUKATALIA. Usiongopee watu humu nenda kwenye uzi wa magari utaelewa una argue na nani...argument hapa ni Porsche Cayenne haipo Porsche Cayenne inayoizidi BMW X5 HP, BMW X5 HP yake iko juu sana kuliko almost SUV zote hiyo 0-100 inafikia ndani ya sec 4 tu wakati most of modern SUVs zinafikia the same speed at 5' kwa rpm tena ambayo ni exceeding unlike BM's
Usiifananishe na mjerumani yeyote vipi wakati hizi zote ni Germany vehicles hahaha
Pigia mstariKumbe wote hao ni padri mch?
Hehehe ndiwooo[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2] Padri Mcharo alikuwa ni yeye? Dah!
Hapa tunazungumzia Cayenne hakuna Porsche Cayenne yenye 800 HP Haipo NAKUKATALIA. Usiongopee watu humu nenda kwenye uzi wa magari utaelewa una argue na nani...argument hapa ni Porsche Cayenne haipo Porsche Cayenne inayoizidi BMW X5 HP, BMW X5 HP yake iko juu sana kuliko almost SUV zote hiyo 0-100 inafikia ndani ya sec 4 tu wakati most of modern SUVs zinafikia the same speed at 5' kwa rpm tena ambayo ni exceeding unlike BM's
Usingekaza akili ungeelewa nilichomaliza.Usiifananishe na mjerumani yeyote vipi wakati hizi zote ni Germany vehicles hahaha
Umpandishe demu wa chuo baiskeli?Mh! Yaani ndo nyie mnaoliwa bila mboga... Kwani hata ukiwa na baskeli huwezi kupata dem?
japo hayanihusu pengine ungenununua howo tipper ukaanza zako biashara ya usafirishaji mizigo au basi la abiria ungepata chakukuletea hela anyway hii pia itakupa deals kubwa kubwaWakuu 2021, Inshallah nimefanikiwa kumilik hii SUV. Nimejinyima for 11 good years kufanikisha hili.
View attachment 2088573
View attachment 2088577
View attachment 2088579
NB: Vijana jifunzeni uvumilivu katika kutafuta
acha kujidai mshauri nasaha kwenye pesa za watu. Fanya yakojapo hayanihusu pengine ungenununua howo tipper ukaanza zako biashara ya usafirishaji mizigo au basi la abiria ungepata chakukuletea hela anyway hii pia itakupa deals kubwa kubwa
kujidai kwani huu ushauri ni wa kwako broo? sikukupa ushauri wewe tuliza mshono kaa kwa kutulia punguza roho mbaya na ujuaji basi.............acha kujidai mshauri nasaha kwenye pesa za watu. Fanya yako
kama ulitaka kumpa mtoa mada ungemuandikia inboxkujidai kwani huu ushauri ni wa kwako broo? sikukupa ushauri wewe tuliza mshono kaa kwa kutulia punguza roho mbaya na ujuaji basi.............
na yeye angeanzisha uzi inboxkama ulitaka kumpa mtoa mada ungemuandikia inbox