Siku ya Kwanza kumiliki SUV sikulala!

Siku ya Kwanza kumiliki SUV sikulala!

🤣 🤣 🤣 Gari ya bei mbaya kuleta bongo kama una roho nyepesi ni kujitafutia presha tu na mabalaa, inaweza kukufanya kila siku ukeshe kwa mwamposa unaifunika na damu ya YESU isipate ajali manake bongo kupata ajali ni jambo dogo sana, madereva wengi ni reckless
Nimecheka kishenzi mkuu
 
Hapa tunazungumzia Cayenne hakuna Porsche Cayenne yenye 800 HP Haipo NAKUKATALIA. Usiongopee watu humu nenda kwenye uzi wa magari utaelewa una argue na nani...argument hapa ni Porsche Cayenne haipo Porsche Cayenne inayoizidi BMW X5 HP, BMW X5 HP yake iko juu sana kuliko almost SUV zote hiyo 0-100 inafikia ndani ya sec 4 tu wakati most of modern SUVs zinafikia the same speed at 5' kwa rpm tena ambayo ni exceeding unlike BM's
Kwa hio wewe Ni nani mkuu?
 
Hapa tunazungumzia Cayenne hakuna Porsche Cayenne yenye 800 HP Haipo NAKUKATALIA. Usiongopee watu humu nenda kwenye uzi wa magari utaelewa una argue na nani...argument hapa ni Porsche Cayenne haipo Porsche Cayenne inayoizidi BMW X5 HP, BMW X5 HP yake iko juu sana kuliko almost SUV zote hiyo 0-100 inafikia ndani ya sec 4 tu wakati most of modern SUVs zinafikia the same speed at 5' kwa rpm tena ambayo ni exceeding unlike BM's

It seems you haven't updated your skills for a long time.

1. 2022 Porsche Cayenne Turbo S E-Hybrid comes with 680hp. This gives you a 0-100kph run for 3.8s.

2. 2022 Porsche Cayenne Turbo GT comes with 640hp. This gives a 0-100kph run for 3.3s.

While 2022 BMW X5M Competition comes with 617hp and a torque of 553 lb/ft. This gives a 0-60mph run for 3.7s.

Sources;





 
Back
Top Bottom