Siku ya Kwanza Kuongea Kiingereza mbele ya Kadamnasi kidogo nizimie

chacha naye ni marehem!innalilah wainna illah rajiun...sikupata taarifa za kifo chake kabla. Babu malovee aisee,those days,ulimaliza mwaka gani pale?
 
Hahahah, kulaleki walahi...
 
Ulipata hiyo kazi sasa? Au ndo ulitoka kapa? Hakika kiingereza si mchezo
 
hata vitabu vingi vinavyotumika ktk shule za international hasa primary za hapa Tanzania lakhi hutumika kuonesha a hundred thousands
lakini "laki" ni kiingereza, sema kinatumika sana india, yuko sawa.
 
ungewataja inhesaidia kubaini kuwa huwasingizii. pia kuwasilisha mada no rahisi kuliko kufundisha. (siwatetei ila isije ukawaonea hata wale wanaosaidia wanafunzi wasiosikia kingereza kikitamkwa kwa haraka ktk umbali Fulani
 
slang imeenyooka hahaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…