Siku ya Kwanza Kuongea Kiingereza mbele ya Kadamnasi kidogo nizimie

Mimi siku ya kwanza kuongea kizaramo ilikuwa pale kwenye ukumbi wa mikutano wa Mwl Nyerere. Aisee ulikuwa mtiti sio wa kiswahili
 
Mola atufanyie wepesi
 
Mimi kidog nizimie nilipotakiwa kuongea kiingereza mbele ya wazungu. Ilikuwa australia na nilitakiwa kufanya presentation. Hiyo sik7 sitoisahau maishani mwangu
 
ungewataja inhesaidia kubaini kuwa huwasingizii. pia kuwasilisha mada no rahisi kuliko kufundisha. (siwatetei ila isije ukawaonea hata wale wanaosaidia wanafunzi wasiosikia kingereza kikitamkwa kwa haraka ktk umbali Fulani
Nikiwataja utawajua hata? Maana wewe umesoma Zoom Polytechnic wale wa UDSM utawajulia wapi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daby pita huku
Ngoja namimi nikumbuke jamaa alikuwa anawasilisha proposal ya research project yake..ile anaulizwa bajeti akaropoka Three Laki....kizingu cha laki tatu kimepotea mbele ya hadhara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mtoa mada umenikumbusha mbali sana aisee mimi nitabaki kumlaumu Nyerere kwa kung'ang'ania Kiswahili shu;e za Msingi (Nursery/pre-school mpaka Std. 7). Hao mademu nao makauzu sana wanakuchekaje kwani wao walikuwa wanakijua KIZUNGU?
Mkuu nakuunga mkono hakuna sehemu mzee nyerere alifeli kama hapo.. Wabongo tulivyowajanja tungekuwa mbali tatizo KINGE.
 
Write your reply...wakati wa o level kuna kitu inaitwa ku speech. pale assemble!. siku ticha akanambia nispeech!. ukizingatia alikuwa anantafuta sana. ikabidi tuu niseme TIGO EXPRESS YOURSELF!. usiulize viboko nilivyolandikwa!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]my name is
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu dah umenivunja mbafu asee yani mpaka watu wananishangaaa apa

Sent from my VFD 301 using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…