Siku ya Kwanza Kuongea Kiingereza mbele ya Kadamnasi kidogo nizimie

Aisee dah! hahahahahahahah lol!!!! Nimecheka sana lol!!!! huu uzi ni kiboko duh!!!!!

 

Hahahaaaaaah....navuta picha ilikuwaje hahahaaa
 
Ahahahahahha
Nimecheka sana leo

Wengine mnaongelea yaliyopita sie wengine bado kingereza ni majanga
 
Hahahahaaa clasi na wengine mmenichekesha leo sijawahi...khaaaa!
 
Last edited by a moderator:
Alaf kwap a linatoaga jasho lingi cjuh linatokaga wap?

hahahahahaaa jasho hutoka kwa wingi kwa sababu ya anxiety, umenikumbusha enzi za chuo siku ya presentation unatamani kuumwa ili tu usiende tutorial
 

Ha ha ha ha ha hiv hii kweli jaman maana nimecheka mpaka machoz yamenutoka duuh hii mada ya Leo inatisha
 

alikuwaa mwalimu wa hesabu nini
 
Hahahahahahha aah ahsanteni wapendwa, yani nimecheka usiku huu hadi na kausingizi kamekuja, kwi kwi kwi english ni wito kwa kweli
 

kuna darasa moja chuo .... ikifika mda wa presentation lazima wajiandae kudaka kina dada jinsi wanavyozimia...
 

Hahaa kingereza noma..
 
Mkuu naona bado na leo umechapia sio neno ndio kujifunza huku ni ''disperse'' na sio ''dispace'' Mbavu sina

Ha ha sawa mkuu lugha ya meli hii. Ha ha ha pamoja mkuu
 
Kuna Ma-lecturer (Dr's & Professor's) vyuo vikuu Tanzania, hususani UDSM kuongea kiingereza ni ishu. Nachelea kuwataja kwa majina na Idara na masomo ( kwa Course Code) wanazofundisha hapo UDSM-Main Campus. Lecture yote anaongea KISWAHILI tu unajiuliza alipataje PhD huyu? je akienda kwenye International Academic Conferences huwa anaongeaje? Kaazi kweli kweli. Lugha watu hujifunza lugha. Watanzania tusiwe wavivu kujifunza KIINGEREZA
 
chiingereza kwa kweli si mchuzi yaani inabidi mtu ujitoe muhanga tu kusoma vitabu na magazeti ya kiingereza na sio udaku wa erik shigongo. Eeeh Mola tunusuru na janga hili kwa kutupa uwezo wa haraka kujua lugha hii ya malkia
 
O levo io nakumbuka tulichelewaga pindi na physics darasani mimi na rafiki yangu ticha akaturuhusu tuingie kwenye pindi tusome na baadae akitoka darasani tumuone..kweli tulimfuata ofisini kwake ndipo yule ticha akatuuliza kwani mliochelewa kwenye kipindi mlikua wangapi(kwa kimombo) kwakua tulikua wawili tu,yule jamaa yangu akadakia ''we are second''
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…