Mbona Mimi huwa naweka chumvi lakin natumia ges hapo shida ni mkaa ukiweka chumvi vinakuwa na ladha nzuri sanahaha umenikumbusha 2003 nimeanzisha geto ngoja nipike chips kavu viazi nkavitia chumvi mara ya kwanza kupikia mkaa....we wacha vichemke masaa havikauki vianepeta tu mwisho wa siku nkala hivyo hivyo vimejaa mafuta tii..nkaja jifunza mahala baada ya siku kibao viazi mviringo ukitia chumvi havikauki kwenye mafuta siku hizi ni shefu..mzuri sana...
yaani upishi bora ukiweka chumvi uwe kama unavianika maji maji yapungue au viwe vikavu kabisa kuna muhindi pori alinifunza hichoMbona Mimi huwa naweka chumvi lakin natumia ges hapo shida ni mkaa ukiweka chumvi vinakuwa na ladha nzuri sana
Unavichuja maji na usiweke chumvi vikakaa mda wakat mafuta yanaanza kupata joto ndio unaweka chumviyaani upishi bora ukiweka chumvi uwe kama unavianika maji maji yapungue au viwe vikavu kabisa kuna muhindi pori alinifunza hicho
sasa mimi vilikaa kabisa vikatepeta kabla ya kuweka kwenye mafutaUnavichuja maji na usiweke chumvi vikakaa mda wakat mafuta yanaanza kupata joto ndio unaweka chumvi
Ooh hapo sawa lazima vichemke Polesanasasa mimi vilikaa kabisa vikatepeta kabla ya kuweka kwenye mafuta
Darasa zuri sana2005 nilimwambia mama anipe mchele kidogo nijifunze, akanambia hana mchele wa kuchezea so akanipimia mwingi ili nipike chakula cha wote, kilichofuata ni mabao kila hatua mpaka wali ukakamilika, nahisi walikula na machozi yangu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]2005 nilimwambia mama anipe mchele kidogo nijifunze, akanambia hana mchele wa kuchezea so akanipimia mwingi ili nipike chakula cha wote, kilichofuata ni mabao kila hatua mpaka wali ukakamilika, nahisi walikula na machozi yangu
[emoji23][emoji23]Maisha haya nilishawahi kumkaanga samaki bila kumtoa magamba
πππNlikua kijijini na sista....kuna mahali akawa anaenda akaniachia maagizo nichukue samaki (ameshakaangwa) nimchemshe kidogo atakuja kuunga mwenyewe.
Kwa mara ya kwanza sasa mie kupika, yule samaki nikamuweka kwenye chungu, nikamjazia mimaji, weka kwenye kuni alichemka kama maharage, naongeza tena maji nachochea kuni naenda kucheza....kazi yangu ilikua kuongeza maji na kuni tu sister anarudi samaki hafai akapika mwingine
Ww hukuacha mafuta ya chemke Sanaa,mm upishi wa chips huwa natia chumvi moja kea moja na zinatoka nzur Tena kavuhaha umenikumbusha 2003 nimeanzisha geto ngoja nipike chips kavu viazi nkavitia chumvi mara ya kwanza kupikia mkaa....we wacha vichemke masaa havikauki vianepeta tu mwisho wa siku nkala hivyo hivyo vimejaa mafuta tii..nkaja jifunza mahala baada ya siku kibao viazi mviringo ukitia chumvi havikauki kwenye mafuta siku hizi ni shefu..mzuri sana...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuna siku nilikuwa home alone si nikapika njegere nikajua Kama maharage tia maji mengi nikayaacha yachemkie nakuja kufunua nakuta uji wa njegere nikayaunga ivoivo kibishi
Muda wa kula nikawa napaka njegere juu ya wali Kama vile blue band jinsi inavyopakwa kwenye mkate[emoji16]
Naomba unipigie 0626063600[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kumbe tupo wengi tuliojifunza in hardway, mimi ilikua middle 90's mama anatoa darasa la kupika wali, aloo ilikua kimbembe2005 nilimwambia mama anipe mchele kidogo nijifunze, akanambia hana mchele wa kuchezea so akanipimia mwingi ili nipike chakula cha wote, kilichofuata ni mabao kila hatua mpaka wali ukakamilika, nahisi walikula na machozi yangu
πππππKuna siku nilikuwa home alone si nikapika njegere nikajua Kama maharage tia maji mengi nikayaacha yachemkie nakuja kufunua nakuta uji wa njegere nikayaunga ivoivo kibishi
Muda wa kula nikawa napaka njegere juu ya wali Kama vile blue band jinsi inavyopakwa kwenye mkateπ
πNakumbuka nilipewa mchele nianze pishi, nikabandika maji yangu mengii nili nije kupunguza yatanisaidia kuongezea baadaye ikitokea wali bado haujaiva, yalivochemka nikaweka mchele kila nikiangalia maji naona yatatosha bana si mengi sana hivyo haina haja ya kupunguza, Nikatulia zangu nasubiri kila nikifunua maji hayakauki tu, eeh nikaona sasa ngoja nipalie makaa juu na chini uendelee kuchemka, aah maji bado tu, mama akaja kucheki duh boko kama uji kabisa, akaniambia hili boko ntalimaliza mwenyewe na hamna kutupa chakula[emoji3][emoji3]. Akaanza kupika mchele mwingine tu