Siku ya maandamona Viongozi wa CHADEMA wasiruhusiwe kutoka kwenye makazi yako

Siku ya maandamona Viongozi wa CHADEMA wasiruhusiwe kutoka kwenye makazi yako

Nikiwa kama mtanzania mpenda amani ,naomba vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi yetu vihakikishe kuwa siku ya hayo maandamano uchwara ya chadema ,viongozi wote wa chama haswa Mzee Mbowe,Mnyika ,Tundu Lissu,Mpuuzi Lema na Mjnga Sugu hatakiwi kutoka nje ya uzio wa nyumba zao kwa siko husika.
Usalama upi, angetekwa mamako mzazi ukamkuta ununio katobolewa macho akiwa mtupu ungeandika huu upuuzi.
 
Maandamano ya Amani ni HAKI yetu ya Kikatiba tutaandamana na Viongozi wetu.
 
Back
Top Bottom