Siku ya Nyerere ila Sare in picha ya Samia? Hii imeenda

Siku ya Nyerere ila Sare in picha ya Samia? Hii imeenda

Haya yote Nyerere ndio aliwezesha maana aliwahi kukori kwa kinywa chake kuwa katiba ni mbovu. Angeweza kubadilisha lkn wakati huo aliona ipo upande wake.
Kwasasa majamaa yamesha weka mizizi ni ngumu sana kuwatoa kwa kweli.
Sasa ukisha watoa,unamuweka nani!?
 
Huku kunaitwa kuchanganyikiwa kulikopitiliza
CDM na nyi si mlipewa vitenge vyenye picha ya mama si mkavichoma moto!? Sasa wivu wa nini wenzenu nao CCM wamepewa na Mama kama mlivyo pewa nyinyi na Mama!!
 
Back
Top Bottom