Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ishara mbaya sana hiyo kwa Rais Samia.Watu wamechanganyikiwa vibaya mno yaani kujipendekeza kwingine hata hakunogi kabisa au na yeye anapenda washauri wanamvyofanyia uchawa
Huku kunaitwa kuchanganyikiwa kulikopitilizaHii imenihsngaa na haijawahi kutokea, nahisi huko mbele watoto shule watavaa picha ya samia.View attachment 3125165
🤣 🤣 🤣HOW CALM?!
View attachment 3125099
Mwenyewe anapenda hivyoWatu wamechanganyikiwa vibaya mno yaani kujipendekeza kwingine hata hakunogi kabisa au na yeye anapenda washauri wanamvyofanyia uchawa
Huyu hajaelewa kabsaa!Ni muhimu zaidi kuziishi fikra na falsafa za hayati Baba wa Taifa, picha haina maana sana kwa alie tangulia mbele ya haki 🐒
Wameshawehuka hawa na mama yao....vyombo vya ulinzi ndiyo vinawasitiriHii imenihsngaa na haijawahi kutokea, nahisi huko mbele watoto shule watavaa picha ya samia.View attachment 3125165
Uwezo wenu CCMInafikikirisha na kuwazisha uwezo wetu wa kufikiri
Chema chajiuza kibaya chajitembeza.Hii imenihsngaa na haijawahi kutokea, nahisi huko mbele watoto shule watavaa picha ya samia.View attachment 3125165
Huyu mama mbona anauzwa kwa gharama kubwa kiasi hiki????😳Hii imenihsngaa na haijawahi kutokea, nahisi huko mbele watoto shule watavaa picha ya samia.View attachment 3125165
Maza ni mpenda sifa balaaWatu wamechanganyikiwa vibaya mno yaani kujipendekeza kwingine hata hakunogi kabisa au na yeye anapenda washauri wanamvyofanyia uchawa
Hata familia ya Nyerere haikuonekana. Shangaa!Lengo lao siyo Nyerere, wanafanya kampeni zao
Urais ni taasisi, kwa hiyo hao wote unao waona hapo ndiyo taasisi yenyewe!![emoji113]Watu wamechanganyikiwa vibaya mno yaani kujipendekeza kwingine hata hakunogi kabisa au na yeye anapenda washauri wanamvyofanyia uchawa
Sasa ukisha watoa,unamuweka nani!?Haya yote Nyerere ndio aliwezesha maana aliwahi kukori kwa kinywa chake kuwa katiba ni mbovu. Angeweza kubadilisha lkn wakati huo aliona ipo upande wake.
Kwasasa majamaa yamesha weka mizizi ni ngumu sana kuwatoa kwa kweli.
CDM na nyi si mlipewa vitenge vyenye picha ya mama si mkavichoma moto!? Sasa wivu wa nini wenzenu nao CCM wamepewa na Mama kama mlivyo pewa nyinyi na Mama!!Huku kunaitwa kuchanganyikiwa kulikopitiliza