Siku ya pili ofisini Rais wa Zambia aunda team ya kufanya mabadiliko makubwa katika mfumo wa kodi

Siku ya pili ofisini Rais wa Zambia aunda team ya kufanya mabadiliko makubwa katika mfumo wa kodi

Behaviourist

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2016
Posts
39,926
Reaction score
95,626
Siku ya pili ofisini, Rais wa Zambia anasema ameteua team ya wataalam kuanza kufanya tathmini ya mfumo wa kodi wa nchi hiyo ili ufanyiwe mabadiliko makubwa ili kuondoa kasoro nyingi ambazo zimesababishwa na utawala uliopita katika uchumi wa nchi yao. Wakati Tanzania ndiyo kodi na tozo sasa zinamwagika.

UAMKQjc.jpg


My take:
Tanzania inabidi tuanze kujifunza kuweka mtumishi wa wananchi ikulu badala ya kuweka madikteta,vichaa na watu ambao hawana uwezo wa kuongoza ili tuanze kufurahia na kula mema ya Taifa letu kama ilivyo kwa binadamu wa Mataifa mengine duniani.
 
Siku ya pili ofisini, Rais wa Zambia anasema ameteua team ya wataalam kuanza kufanya tathmini ya mfumo wa kodi wa nchi hiyo ili ufanyiwe mabadiliko makubwa ili kuondoa kasoro nyingi ambazo zimesababishwa na utawala uliopita katika uchumi wa nchi yao. Wakati Tanzania ndiyo kodi na tozo sasa zinamwagika.

View attachment 1908924

My take:
Tanzania inabidi tuanze kujifunza kuweka mtumishi wa wananchi ikulu badala ya kuweka madikteta,vichaa na watu ambao hawana uwezo wa kuongoza ili tuanze kufurahia na kula mema ya Taifa letu kama ilivyo kwa binadamu wa Mataifa mengine duniani.
Una haraka sana Mnama,nadhan tusubir baada ya fungate lake kwisha ndio tutapata majibu sahih kuhusu huyo mwamba na hiyo tume yake
 
Siku ya pili ofisini, Rais wa Zambia anasema ameteua team ya wataalam kuanza kufanya tathmini ya mfumo wa kodi wa nchi hiyo ili ufanyiwe mabadiliko makubwa ili kuondoa kasoro nyingi ambazo zimesababishwa na utawala uliopita katika uchumi wa nchi yao. Wakati Tanzania ndiyo kodi na tozo sasa zinamwagika.

View attachment 1908924

My take:
Tanzania inabidi tuanze kujifunza kuweka mtumishi wa wananchi ikulu badala ya kuweka madikteta,vichaa na watu ambao hawana uwezo wa kuongoza ili tuanze kufurahia na kula mema ya Taifa letu kama ilivyo kwa binadamu wa Mataifa mengine duniani.
Ok sasa tunawapata wapi hao watu ambao si madikteta na si vichaa? maana tatizo linawezakuwa hatuna watu tofauti na hao.
 
Ok sasa tunawapata wapi hao watu ambao si madikteta na si vichaa? maana tatizo linawezakuwa hatuna watu tofauti na hao.
Kwa hiyo nchi nzima haina watu ambao wana akili timamu?
 
Una haraka sana Mnama,nadhan tusubir baada ya fungate lake kwisha ndio tutapata majibu sahih kuhusu huyo mwamba na hiyo tume yake
Hata kama huyu mwamba pamoja na tume yake watachemka hakipaswa kuwa ni kigezo cha kuhalalisha sisi Tanzania tuendelee kuwa na vichaa pamoja na madikteta ikulu.
 
Kwa hiyo nchi nzima haina watu ambao wana akili timamu?
Kwani kila mtu yupo kwenye siasa? Magufuli angendelea kuwa mwalimu bila kujiingiza kwenye siasa urais angeupata vp?
Nitajie hao wanasiasa wenye akili timamu wanaweza kugombea urais tukawachagua kwa sababu wapo timamu?
 
Siku ya pili ofisini, Rais wa Zambia anasema ameteua team ya wataalam kuanza kufanya tathmini ya mfumo wa kodi wa nchi hiyo ili ufanyiwe mabadiliko makubwa ili kuondoa kasoro nyingi ambazo zimesababishwa na utawala uliopita katika uchumi wa nchi yao. Wakati Tanzania ndiyo kodi na tozo sasa zinamwagika.

View attachment 1908924

My take:
Tanzania inabidi tuanze kujifunza kuweka mtumishi wa wananchi ikulu badala ya kuweka madikteta,vichaa na watu ambao hawana uwezo wa kuongoza ili tuanze kufurahia na kula mema ya Taifa letu kama ilivyo kwa binadamu wa Mataifa mengine duniani.
Ngoja tumalizie hii awamu ya wagagagigikoko nasi tuanze upya

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Mshaurini aitoe tozo mpya ya miamala Kama ipo na huko
Nalog off
 
Kwani kila mtu yupo kwenye siasa? Magufuli angendelea kuwa mwalimu bila kujiingiza kwenye siasa urais angeupata vp?
Nitajie hao wanasiasa wenye akili timamu wanaweza kugombea urais tukawachagua kwa sababu wapo timamu?
Hata wewe unafaa,,jiamini!
 
Mfumo mzuri wa kodi unaifanya nchi kuimarisha afya yake kiuchumi na kijamii.

Tuendelee kuona wenzetu wakithubutu.
 
Nyota njema huonekana asubuhi
Hiyo ni kwa mujibu wa wahenga lkn kulingana na yale yaliyotokea kwa Kibaki, Chikwera na wengineo wa aina yake tuliowashuhudia kwenye ukanda wetu huu nadhan itapendeza km tutampa muda ili tujue undani wake.
 
Back
Top Bottom