Siku ya pili ofisini Rais wa Zambia aunda team ya kufanya mabadiliko makubwa katika mfumo wa kodi

Siku ya pili ofisini Rais wa Zambia aunda team ya kufanya mabadiliko makubwa katika mfumo wa kodi

Zambia hela yenye thamani kama Tsh 5,000 unanunua umeme unapata unit 93 sijui Tanzania kwa hiyo 5,000 sijui utapata unit ngapi baada ya kukatwa hela ya Jengo+ VAT +REA nchi ngumu sana hii utadhani tupo jehanamu kwa viongozi wenye roho mbaya ya kina Mwigulu hautakuja kusikia punguzo la kodi mpaka wote tunaenda motoni hakuna kiongozi wa kwenda peponi pale...
 
Una haraka sana Mnama,nadhan tusubir baada ya fungate lake kwisha ndio tutapata majibu sahih kuhusu huyo mwamba na hiyo tume yake
Wazambia hata hivyo kodi zao wanazozilalamikia huwezi kufananisha na huku Gamboshi..
 
Tumpe muda Waafrika wakiwa honeymoon za uongozi huwa wako humble sana
 
Siku ya pili ofisini, Rais wa Zambia anasema ameteua team ya wataalam kuanza kufanya tathmini ya mfumo wa kodi wa nchi hiyo ili ufanyiwe mabadiliko makubwa ili kuondoa kasoro nyingi ambazo zimesababishwa na utawala uliopita katika uchumi wa nchi yao. Wakati Tanzania ndiyo kodi na tozo sasa zinamwagika.

View attachment 1908924

My take:
Tanzania inabidi tuanze kujifunza kuweka mtumishi wa wananchi ikulu badala ya kuweka madikteta,vichaa na watu ambao hawana uwezo wa kuongoza ili tuanze kufurahia na kula mema ya Taifa letu kama ilivyo kwa binadamu wa Mataifa mengine duniani.
Wengineo urais ni kuteua na kutengua. Hata akiwa Burundi anateua tu. Kama mnataka uchumi ukue, tozo hizo hangaikeni nazo
 
Siku ya pili ofisini, Rais wa Zambia anasema ameteua team ya wataalam kuanza kufanya tathmini ya mfumo wa kodi wa nchi hiyo ili ufanyiwe mabadiliko makubwa ili kuondoa kasoro nyingi ambazo zimesababishwa na utawala uliopita katika uchumi wa nchi yao. Wakati Tanzania ndiyo kodi na tozo sasa zinamwagika.

View attachment 1908924

My take:
Tanzania inabidi tuanze kujifunza kuweka mtumishi wa wananchi ikulu badala ya kuweka madikteta,vichaa na watu ambao hawana uwezo wa kuongoza ili tuanze kufurahia na kula mema ya Taifa letu kama ilivyo kwa binadamu wa Mataifa mengine duniani.
Huyo ana mwezi mmoja ushaanza kumsifia .........

Hayo maneno ya nje ya uwanja, sasa ngojea uone baada ya kupewa namba ....
 
Back
Top Bottom