Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Wazambia hata hivyo kodi zao wanazozilalamikia huwezi kufananisha na huku Gamboshi..Una haraka sana Mnama,nadhan tusubir baada ya fungate lake kwisha ndio tutapata majibu sahih kuhusu huyo mwamba na hiyo tume yake
Wengineo urais ni kuteua na kutengua. Hata akiwa Burundi anateua tu. Kama mnataka uchumi ukue, tozo hizo hangaikeni nazoSiku ya pili ofisini, Rais wa Zambia anasema ameteua team ya wataalam kuanza kufanya tathmini ya mfumo wa kodi wa nchi hiyo ili ufanyiwe mabadiliko makubwa ili kuondoa kasoro nyingi ambazo zimesababishwa na utawala uliopita katika uchumi wa nchi yao. Wakati Tanzania ndiyo kodi na tozo sasa zinamwagika.
View attachment 1908924
My take:
Tanzania inabidi tuanze kujifunza kuweka mtumishi wa wananchi ikulu badala ya kuweka madikteta,vichaa na watu ambao hawana uwezo wa kuongoza ili tuanze kufurahia na kula mema ya Taifa letu kama ilivyo kwa binadamu wa Mataifa mengine duniani.
Huyo ana mwezi mmoja ushaanza kumsifia .........Siku ya pili ofisini, Rais wa Zambia anasema ameteua team ya wataalam kuanza kufanya tathmini ya mfumo wa kodi wa nchi hiyo ili ufanyiwe mabadiliko makubwa ili kuondoa kasoro nyingi ambazo zimesababishwa na utawala uliopita katika uchumi wa nchi yao. Wakati Tanzania ndiyo kodi na tozo sasa zinamwagika.
View attachment 1908924
My take:
Tanzania inabidi tuanze kujifunza kuweka mtumishi wa wananchi ikulu badala ya kuweka madikteta,vichaa na watu ambao hawana uwezo wa kuongoza ili tuanze kufurahia na kula mema ya Taifa letu kama ilivyo kwa binadamu wa Mataifa mengine duniani.