Siku ya Wanawake Duniani; Nini kifanyike katika kulinda mahusiano?

Siku mkiacha unafiki kama huu uliopost hapa maisha yatakua poa Sana

Uchafu mnaofanya nyuma ya pazia huko ni hatariiii Sana
We check hata reply zako utajua tuu huu ni unafiki

Yaan mnatufanyia unafiki wa hali ya juu Sana tunakuja shtuka tumeingia cha kike
 
Asalam aleikyum mkuu...😂
 
Mwanaume anahitaji sana HESHIMA na UTII kutoka kwa mwanamke.

Pili, ni kumridhisha katika suala la kitandani!!! Mwanamke ajue kujituma awapo kitandani (asiwe goigoi), yaani mwanamke akiwa kitandani anatakiwa awe kama Malaya kwa mumewe. Be wild

Ukifanya hayo ,mwanaume utamkamata daima.Yaani nafsi yake itakuwa mtumwa kwako.
 
Hilo sikatai mkuu,ni kweli tupu but relax
 
Msitubambikie watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…