Siku ya Wanawake: Tusiende mbali, Rais Samia amefunika!

Siku ya Wanawake: Tusiende mbali, Rais Samia amefunika!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
1678260803682.jpeg

20230309_103243.jpg

Leo naambiwa ni siku ya mwanamke , wanaume hatumo lakini tutawashabikia.

Kuna wanawake wengi wamefanya mengi ya kuigwa, lakini mimi namweka kwenye kiti mama Samia Suluhu.

Toka tarehe 17 March 2021 hadi leo upepo wa nchi umebadilika kabisa:
  • Hali ya kuogopa maisha yako kupotea kwa kusema lolote imeisha
  • Watu wasiojulikana wamerudi maskani kwao
  • Utekaji wa aina ya Roma Mkatoliki na Mo umepotea
  • TRA siku hizi wana adabu na heshima wapodai kodi
  • Kubambikizwa kesi kumepungua sana, kama si kuisha
  • Zile amri za wakuu wa mikoa, mawaziri, wakuu wa wilaya kuweka watu ndani zimekoma
  • ndugu zetu wa CHADEMA hadi mwenyekiti wake kulala lupango kila baada ya mwezi zimeisha
  • Lema na Lissu wamerudi na hawajabugudhiwa
  • Mbowe kaenda mara kadhaa kunywa chai Ikulu
  • Shilingi ya Tanzania haijashuka thamani
  • Watalii wamefurika, na kuja na dola zao
  • Ujambazi wa serikali kupora fedha toka kwa wananchi(wafanyabiashara) umeisha-tunakumbuka kuporwa Beureu De Change nchini
  • Viongozi fulani fulani wanaotumwa kutesa, kuteka, kupora kama Makonda na Sabaya sasa hawapo tena.
Kuna mengine mengi, lakini naada ya 2015 tumeyashuhudia mengi yaliyotukatisha tamaa wananchi.

Mimi binafsi nampa tano mwanamke na Rais, Samia Suluhu Hassan.
Naomba atakaye pinga atoe na sababu zake, lakini mimi a Samia.

UPDATE
Kikao cha Mama Samia na wanawake wa CHADEMA , siku ya wanawake duniani, kilichofanyika jana 8/3/2923 mjini Moshi, kimetoa fursa ya kuyaona mengi yaliyo moyini mwa Rais.
Hata hivyo hata kwa sisi wana CCM ni mwendo mzuri unsotuhakikishia kuishi kistaarabu na heshima nchini.
 
View attachment 2541465
Leo naambiwa ni siku ya mwanamke , wanaume hatumo lakini tutawashabikia.
Kuna wanawake wengi wamefanya mengi ya kuigwa , lakini mimi namweka kwenye kiti mama Samia Suluhu.

Toka tarehe 17 March 2021 hadi leo upepo wa nchi umebadilika kabisa.
  • Hali ya kuogopa maisha yako kupotea kwa kusema lolote imeisha
  • Watu wasiojulikana wamerudi maskani kwao
  • Utekaji wa aina ya Roma Mkatoliki na Mo umepotea
  • TRA siku hizi wana adabu na heshima wakodai kodi
  • Kubambikizwa kesi kumepungua sana, kama si kuisha
  • Zile amri za wakuu wa mikoa, mawaziri, wakuu wa wilaya kuweka watu ndani zimekoma
  • ndugu zetu wa CHADEMA hadi mwenyekiti wake kulala lupango kila baada ya mwezi zimeisha
  • Lema na Lissu wamerudi na hawajabugudhiwa
  • Mbowe kaenda mara kadhaa kunywa chai Ikulu
  • Shilingi ya Tanzania haijashuka thamani
  • Watalii wamefurika, na kuja na dola zao
  • Ujambazi wa serikali kupora fedha toka kwa wananchi(wafanyabiashara) umeisha-tunakumbuka kuporwa Beureu De Change nchini
  • Viongozi fulani fulani wanaotumwa kutesa, kuteka, kupora kama Makonda na Sabaya sasa hawapo tena.
Kuna mengine mengi, lakini naada ya 2015 tumeyahhudia mengi yaliyotukatisha tamaa wananchi.

Mimi binafsi nampa tano mwanamke na Rais, Samia Suluhu Hassan.
Naomba atakaye pinga atoe na sababu zake, lakini mimi a Samia.
Cha ajabu sasa hivi Mbowe anaonekana mtu!
 
View attachment 2541465
Leo naambiwa ni siku ya mwanamke , wanaume hatumo lakini tutawashabikia.
Kuna wanawake wengi wamefanya mengi ya kuigwa , lakini mimi namweka kwenye kiti mama Samia Suluhu.

Toka tarehe 17 March 2021 hadi leo upepo wa nchi umebadilika kabisa.
  • Hali ya kuogopa maisha yako kupotea kwa kusema lolote imeisha
  • Watu wasiojulikana wamerudi maskani kwao
  • Utekaji wa aina ya Roma Mkatoliki na Mo umepotea
  • TRA siku hizi wana adabu na heshima wakodai kodi
  • Kubambikizwa kesi kumepungua sana, kama si kuisha
  • Zile amri za wakuu wa mikoa, mawaziri, wakuu wa wilaya kuweka watu ndani zimekoma
  • ndugu zetu wa CHADEMA hadi mwenyekiti wake kulala lupango kila baada ya mwezi zimeisha
  • Lema na Lissu wamerudi na hawajabugudhiwa
  • Mbowe kaenda mara kadhaa kunywa chai Ikulu
  • Shilingi ya Tanzania haijashuka thamani
  • Watalii wamefurika, na kuja na dola zao
  • Ujambazi wa serikali kupora fedha toka kwa wananchi(wafanyabiashara) umeisha-tunakumbuka kuporwa Beureu De Change nchini
  • Viongozi fulani fulani wanaotumwa kutesa, kuteka, kupora kama Makonda na Sabaya sasa hawapo tena.
Kuna mengine mengi, lakini naada ya 2015 tumeyahhudia mengi yaliyotukatisha tamaa wananchi.

Mimi binafsi nampa tano mwanamke na Rais, Samia Suluhu Hassan.
Naomba atakaye pinga atoe na sababu zake, lakini mimi a Samia.
Kweli, Samia hoyee, Mbowe hoyee ila Magufuli atakumbukwa kwa kuharibu ustaarabu wa mtanzania uliojengwa kwa miaka mingi.
 
Kwa roho mbaya yake na ukatili ule uliokithiri no wonder tunaambiwa kuwa ni Muhutu muhamiaji, hatujawahi kuwa na kiongozi brutal na mshenzi kiasi kile.
Mbaya zaidi Magfuli hakuwa na sababu ya kufanya vile alivyofanya.
Watanzania wana kaustaarabu fulani ambao huwezi kuupata Kenya au Uganda.
 
View attachment 2541465
Leo naambiwa ni siku ya mwanamke , wanaume hatumo lakini tutawashabikia.
Kuna wanawake wengi wamefanya mengi ya kuigwa , lakini mimi namweka kwenye kiti mama Samia Suluhu.

Toka tarehe 17 March 2021 hadi leo upepo wa nchi umebadilika kabisa:
  • Hali ya kuogopa maisha yako kupotea kwa kusema lolote imeisha
  • Watu wasiojulikana wamerudi maskani kwao
  • Utekaji wa aina ya Roma Mkatoliki na Mo umepotea
  • TRA siku hizi wana adabu na heshima wapodai kodi
  • Kubambikizwa kesi kumepungua sana, kama si kuisha
  • Zile amri za wakuu wa mikoa, mawaziri, wakuu wa wilaya kuweka watu ndani zimekoma
  • ndugu zetu wa CHADEMA hadi mwenyekiti wake kulala lupango kila baada ya mwezi zimeisha
  • Lema na Lissu wamerudi na hawajabugudhiwa
  • Mbowe kaenda mara kadhaa kunywa chai Ikulu
  • Shilingi ya Tanzania haijashuka thamani
  • Watalii wamefurika, na kuja na dola zao
  • Ujambazi wa serikali kupora fedha toka kwa wananchi(wafanyabiashara) umeisha-tunakumbuka kuporwa Beureu De Change nchini
  • Viongozi fulani fulani wanaotumwa kutesa, kuteka, kupora kama Makonda na Sabaya sasa hawapo tena.
Kuna mengine mengi, lakini naada ya 2015 tumeyahhudia mengi yaliyotukatisha tamaa wananchi.

Mimi binafsi nampa tano mwanamke na Rais, Samia Suluhu Hassan.
Naomba atakaye pinga atoe na sababu zake, lakini mimi a Samia.
Atakayekupinga ni mchawi fullstop.
 
Ngoja kwanza Mama aseme neno .. tunasubiri.
 
Back
Top Bottom