Siku yako Uwanja haukujaa na ukaingiza Watu 'Fungulia Mbwa' halafu utegemee Rais Samia apoteze muda wake Kuja?

Siku yako Uwanja haukujaa na ukaingiza Watu 'Fungulia Mbwa' halafu utegemee Rais Samia apoteze muda wake Kuja?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Rais Samia anaenda katika Tamasha la Timu ambayo imefanya yafuatayo....

1. Imeitangaza nchi hasa Mlima Kilimanjaro

2. Imefanikiwa Kimataifa hasa CAFCL na siyo kwa Watoto na Wasiojua kule CAFCC

3. Inashiriki Michuano mikubwa na mipya Barani Afrika ya Africa Super Cup

4. Imeweka Kambi yake ya Pre Season Ulaya ya Mashariki ( Uturuki ) na siyo Baharini Uswahilini kwenye harufu ya Samaki

5. Ina 100% ya Mashabiki Wasomi na Werevu na siyo yenye Vibaka wengi wa Kariakoo na Ilala

6. Yenye Wachezaji Mahiri iliyowanunua kwa Fedha zake na si wa Mkopo na Huruma

7. Imeuza Tiketi zake ( Sold Out ) Siku Mbili kabla hata ya Tamasha wakati wengine walilazimika Kugawa bure Tiketi zao na bado Uwanja haukujaa.

Rais Samia na Simba SC nj dam dam.
 
Rais Samia anaenda katika Tamasha la Timu ambayo imefanya yafuatayo....

1. Imeitangaza nchi hasa Mlima Kilimanjaro

2. Imefanikiwa Kimataifa hasa CAFCL na siyo kwa Watoto na Wasiojua kule CAFCC

3. Inashiriki Michuano mikubwa na mipya Barani Afrika ya Africa Super Cup

4. Imeweka Kambi yake ya Pre Season Ulaya ya Mashariki ( Uturuki ) na siyo Baharini Uswahilini kwenye harufu ya Samaki

5. Ina 100% ya Mashabiki Wasomi na Werevu na siyo yenye Vibaka wengi wa Kariakoo na Ilala

6. Yenye Wachezaji Mahiri iliyowanunua kwa Fedha zake na si wa Mkopo na Huruma

7. Imeuza Tiketi zake ( Sold Out ) Siku Mbili kabla hata ya Tamasha wakati wengine walilazimika Kugawa bure Tiketi zao na bado Uwanja haukujaa.

Rais Samia na Simba SC nj dam dam.
Sahih braza popoma
 
Rais Samia anaenda katika Tamasha la Timu ambayo imefanya yafuatayo....

1. Imeitangaza nchi hasa Mlima Kilimanjaro

2. Imefanikiwa Kimataifa hasa CAFCL na siyo kwa Watoto na Wasiojua kule CAFCC

3. Inashiriki Michuano mikubwa na mipya Barani Afrika ya Africa Super Cup

4. Imeweka Kambi yake ya Pre Season Ulaya ya Mashariki ( Uturuki ) na siyo Baharini Uswahilini kwenye harufu ya Samaki

5. Ina 100% ya Mashabiki Wasomi na Werevu na siyo yenye Vibaka wengi wa Kariakoo na Ilala

6. Yenye Wachezaji Mahiri iliyowanunua kwa Fedha zake na si wa Mkopo na Huruma

7. Imeuza Tiketi zake ( Sold Out ) Siku Mbili kabla hata ya Tamasha wakati wengine walilazimika Kugawa bure Tiketi zao na bado Uwanja haukujaa.

Rais Samia na Simba SC nj dam dam.
Mbumbumbu.
 

Attachments

  • Screenshot_20230605-192423.jpg
    Screenshot_20230605-192423.jpg
    23.4 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1688656299815.jpg
    FB_IMG_1688656299815.jpg
    66.8 KB · Views: 1
Rais Samia anaenda katika Tamasha la Timu ambayo imefanya yafuatayo....

1. Imeitangaza nchi hasa Mlima Kilimanjaro

2. Imefanikiwa Kimataifa hasa CAFCL na siyo kwa Watoto na Wasiojua kule CAFCC

3. Inashiriki Michuano mikubwa na mipya Barani Afrika ya Africa Super Cup

4. Imeweka Kambi yake ya Pre Season Ulaya ya Mashariki ( Uturuki ) na siyo Baharini Uswahilini kwenye harufu ya Samaki

5. Ina 100% ya Mashabiki Wasomi na Werevu na siyo yenye Vibaka wengi wa Kariakoo na Ilala

6. Yenye Wachezaji Mahiri iliyowanunua kwa Fedha zake na si wa Mkopo na Huruma

7. Imeuza Tiketi zake ( Sold Out ) Siku Mbili kabla hata ya Tamasha wakati wengine walilazimika Kugawa bure Tiketi zao na bado Uwanja haukujaa.

Rais Samia na Simba SC nj dam dam.
We jamaa nimeanza kuamini una mental case
 
Bora tu Rais awe mgeni rasmi mtulize roho zenu maana mlikuwa mnateseka sana.
 
Yanga kiingilio 10,000.
Simba kiingilio 5,000.
Maana yake kama yanga iliingiza watu 20,000 na kupata 200,000,000.
Simba itahitaji kuingiza watu 40,000 kuwa na mapato sawa na yanga .
 
Rais Samia anaenda katika Tamasha la Timu ambayo imefanya yafuatayo....

1. Imeitangaza nchi hasa Mlima Kilimanjaro

2. Imefanikiwa Kimataifa hasa CAFCL na siyo kwa Watoto na Wasiojua kule CAFCC

3. Inashiriki Michuano mikubwa na mipya Barani Afrika ya Africa Super Cup

4. Imeweka Kambi yake ya Pre Season Ulaya ya Mashariki ( Uturuki ) na siyo Baharini Uswahilini kwenye harufu ya Samaki

5. Ina 100% ya Mashabiki Wasomi na Werevu na siyo yenye Vibaka wengi wa Kariakoo na Ilala

6. Yenye Wachezaji Mahiri iliyowanunua kwa Fedha zake na si wa Mkopo na Huruma

7. Imeuza Tiketi zake ( Sold Out ) Siku Mbili kabla hata ya Tamasha wakati wengine walilazimika Kugawa bure Tiketi zao na bado Uwanja haukujaa.

Rais Samia na Simba SC nj dam dam.
Rais ni mwanasiasa anahitaji paliponona
 
Rais Samia anaenda katika Tamasha la Timu ambayo imefanya yafuatayo....

1. Imeitangaza nchi hasa Mlima Kilimanjaro

2. Imefanikiwa Kimataifa hasa CAFCL na siyo kwa Watoto na Wasiojua kule CAFCC

3. Inashiriki Michuano mikubwa na mipya Barani Afrika ya Africa Super Cup

4. Imeweka Kambi yake ya Pre Season Ulaya ya Mashariki ( Uturuki ) na siyo Baharini Uswahilini kwenye harufu ya Samaki

5. Ina 100% ya Mashabiki Wasomi na Werevu na siyo yenye Vibaka wengi wa Kariakoo na Ilala

6. Yenye Wachezaji Mahiri iliyowanunua kwa Fedha zake na si wa Mkopo na Huruma

7. Imeuza Tiketi zake ( Sold Out ) Siku Mbili kabla hata ya Tamasha wakati wengine walilazimika Kugawa bure Tiketi zao na bado Uwanja haukujaa.

Rais Samia na Simba SC nj dam dam.
Watu walienda hata Ikulu ya Malawi aisee
 
Rais Samia anaenda katika Tamasha la Timu ambayo imefanya yafuatayo....

1. Imeitangaza nchi hasa Mlima Kilimanjaro

2. Imefanikiwa Kimataifa hasa CAFCL na siyo kwa Watoto na Wasiojua kule CAFCC

3. Inashiriki Michuano mikubwa na mipya Barani Afrika ya Africa Super Cup

4. Imeweka Kambi yake ya Pre Season Ulaya ya Mashariki ( Uturuki ) na siyo Baharini Uswahilini kwenye harufu ya Samaki

5. Ina 100% ya Mashabiki Wasomi na Werevu na siyo yenye Vibaka wengi wa Kariakoo na Ilala

6. Yenye Wachezaji Mahiri iliyowanunua kwa Fedha zake na si wa Mkopo na Huruma

7. Imeuza Tiketi zake ( Sold Out ) Siku Mbili kabla hata ya Tamasha wakati wengine walilazimika Kugawa bure Tiketi zao na bado Uwanja haukujaa.

Rais Samia na Simba SC nj dam dam.

Mtoa mavi nipo nyuma yako.


Correction: Sorry mkuu, sio mtoa mavi nilitaka kusema mtoa mada.
 
Back
Top Bottom