Siku zinavyozidi kuyoyoma ndio kauli ya Manara inapoonesha uhalisia, dogo Farhanjr amchana chana vibaya


Wenyewe wanaogopa kuingilia ugomvi. Hawajui umuhimu wa kuisaidia jamii kuelewa taarifa sahihi.

Mpaka watajwe wao ndo wanaibuka.
 
Sawa kabisa walioshika nafasi ya pili walishiriki CAF cup, je waliobeba ubingwa wa ligi kuu walikiwa wanashiriki michuano ipi ya CAF? Na je waliobeba ubingwa wa kombe la shirikisho na wao walikuwa walishiriki michuano ipi ya CAF?

Umeusoma uzi huu au umeanza kuchangia tu.
 
Wenyewe wanaogopa kuingilia ugomvi. Hawajui umuhimu wa kuisaidia jamii kuelewa taarifa sahihi.

Mpaka watajwe wao ndo wanaibuka.
Yaani hizi mada zinaibukaga mara kwa mara, wanatakiwa wawe active kama sehemu ya wadau, wao wanadhani haiwahusu. Inashangaza sana.

Ndiyo maana social media account za taasisi za umma watu hawaingii kusoma post zao maana wanajitenga sana na mambo yanayoendelea katika jamii. Wamekaa kuripoti tu matukio.
 
Manara kwasasa anatia aibu tu!
Kabisa yaani,alafu ni mzee yule kwasasa ilipaswa atulie huu uchawauchawa unapelekea anadhaliliashwa na watoto wa juzi
 
CC: TFF
 
Wewe ni nani pale CAF unaota ufafanizi?
 
Nyie ndio wale watoto mlisoma chekechea miaka 5
 
Nadhani shida iko kwenye uhusiano kati ya CAF cup na confederations cup.

Maelezo uliyoweka yanasema Simba walifika fainali ya CAF cup, sio confederations cup. Nadhani hoja zielekezwe kwenye kuonyesha uhusiano kati ya CAF cup na confederations cup!
 
Yuko sahih knbsa Ni dhaihiri Simba hajawi fika nusu fainali kombe la shirikisho la muundo huu uliopo HV SAS Hilo kataa mkubali mtarndelee kuishia robo kwa miaka 10 zingine zijazo
 
Umeusoma uzi huu au umeanza kuchangia tu.
Nimeusoma uzi na ndio nikauliza swali likiwa linamana yake.
Katika mfumo wa CAF interclub kulikuwa na mashindano matatu.
1) hilo la African Cup of Champions Clubs, ndio sawa sawa na klabu bingwa.

Ila utata upo hapa; kati ya CAF cup naAfrican Cup Winners’ Cup ni michuano ipi ilikuwa ni sawasawa na shirikisho kwasasa.?

Kombe la shirikisho barani Africa ni michuano ambayo inachukua mabingwa wa kombe la shirikisho katika nchi zao (FA cup) Wanachama wa CAF wanakuwa na mashindano mawili la kwanza ni ligi kuu na la pili ni kombe la FA ambapo kwasasa ni sawsawa na Azam Federation cup.

Tukija kwenye kabla ya kuanzishwa kwa CAF confederation cup, kulikuwa na michuano ya African Cup Winners’ Cup ambayo ndio mashindano ambayo yalikuwa yanahusisha wahindi wa kombe la shirikisho za nchi zao (FA cup) ambapo ndio mfumo sawasawa na ulivyosasa katika Caf confederation cup.

Ikitoea timu iliyobeba ubingwa wa FA ndio huyo huyo bingwa katika ligi kuu ndio inafuata criteria zingine za kupata muwakilishi wa kuwakilisha kwenye kombe la shirikisho.

Lakini kombe la CAF cup haikuwa na mfumo sawasawa na kombe la Confederation cup, bali walikuwa wanachukua timu ambazo zimekosa nafasi ya kuwakilisha nchi yao katika CAF interclub championship.

African Cup Winners’ Cup ndio ilikuwa ni sawasawa na kombe la shirikisho kwa hivi sasa
 
Mnr Yuko sahih kbsa Simba sc haijawai fika nusu fainali kwa muundo huu wa hv SAS , period
 
Mnr Yuko sahih kbsa Simba sc haijawai fika nusu fainali kwa muundo huu wa hv SAS , period
Kama ni ishu za muundo mbona nyinyi mkikurupushwa saa hizi hapa mtaje makombe mliyobeba mnataja mpaka yale ya kabla ya uhuru ambayo mlikuwa mnacheza gongowazi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tukiwaambia hamna akili mnanuna.
 
Manara ajengewe sanamu.....
 

CAF Cup ndio shindano ambalo lilikuwa na hadhi ya Shirikisho, na hili lilikuwa linashirikisha timu zile ambazo zilishindwa ku qualify vigezo vya kushiriki African Cup of Champions Club ambayo ndio Club Bingwa ya sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…