Siku zinavyozidi kuyoyoma ndio kauli ya Manara inapoonesha uhalisia, dogo Farhanjr amchana chana vibaya

Yote haya yanakuja baada ya yanga kuonekana kufuzu nusu fainali?, Basi Simba endelee kuumia na kukusanya taarifa zote Ila yanga tutakapocheza nusu fainali ama fainali na nyie muwe na chakusema.
 
Kumbe na nalo lilikuwa kombe la looser mnalo kejeli sazi! Puuzi kabisa wahedd
CAF Cup ndio shindano ambalo lilikuwa na hadhi ya Shirikisho, na hili lilikuwa linashirikisha timu zile ambazo zilishindwa ku qualify vigezo vya kushiriki African Cup of Champions Club ambayo ndio Club Bingwa ya sasa.
 
Kumbe na nalo lilikuwa kombe la looser mnalo kejeli sazi! Puuzi kabisa wahedd
Anayekejeli nani?

Au ndio kusema umesahau?
Your browser is not able to display this video.
 
Kile ni kitengo cha wapiga deal tu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Kikubwa ni kwamba hadi sasa ukweli umedhihiri kwamba Simba ashacheza final ya hiki kinachoitwa Confederation Cup

Mada ishaeleweka Manara ni mjinga na mwongo tu yule

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Mtu wa mpira hawezi kumfanya manara Kama reference asee!!, Manara anaishi kwakutumia mdomo.
Lakini Yanga kama taasisi ya mpira ndio iliyomuajiri

Na hata baada ya kufungiwa, Club ilijitokeza kumkingia kifua kuwa haikubaliani na maamuzi ya TFF na iko pamoja naye kwenda kufata haki kwenye vyombo vingine vya sheria
 
kichwa chako kisicho na akili ni mzigo kwa shingo
 
Tusaidie mashindano yote matatu washiriki wake walikuwa ni akina nani kwa vigezo vipi na waliishia wapi kwa pamoja?

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Tusaidie mashindano yote matatu washiriki wake walikuwa ni akina nani kwa vigezo vipi na waliishia wapi kwa pamoja?

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sawa

Shindano la kwanza lilikuwa linaitwa Afirican cup of champions club.
Hili ndio kwasasa ni sawa sawa na klabu bingwa kwahivi sasa, na timu zilizotakiwa kushiriki hii michuano ni zile tu zinazobeba ubingwa wa ligi kuu.

2) Africa cup winner's cup

Hili ndio ni sawasawa na kombe la shirikisho kwa hivi sasa, timu ambazo zilizokuwa zinazishiri ni timu ambazo zimetwaa ubingwa wa kombe la FA kwenye mataifa yao. Kama ikitokea aliyebeba kombe la FA ndio huyo aliyebeba na ligi kuu basi aliyecheza nae fainali (runner up) ndio atakayefuzu kucheza hili kombe la African cup winner's cup

3) CAF cup

Haya ni mashindano yaliyoanzishwa na Mnigeria kama kwaajili ya timu zilizoshindwa kufuzu mashindano ya kimataifa ya CAF.
Timu ambazo zinashika nafasi ya pili, na zilizoshindwa kufuzu mashindano ya CAF ( African cup winner's cup na African cup of champions club)
CAF cup ilianzishwa mwaka 1992 na mwaka 2003 ndio ikawa mwisho wa mashindano hayo hivyo yalidumi kwa miaka 12 tu

HITIMISHO

Kwanini African cup winner's cup ndio ni sawasawa na shirikisho kwasasa?
Sababu ya kwanza ni kama nilivyoeleza juu mfumo wake upo sawasawa na ilivyo CAF confederation cup.
Sababu ya pili ni CAF super cup
CAF super cup ni shindano linalohusha mabingwa wa kombe la CAF interclub yaani kombe la shirikisho na kombe la mabingwa.
Katika kipindi hiko kabla ya kuanzishwa kwa CAF confederation cup, CAF super cup ilikuwa inakutanisha bingwa wa African cup of champions club VS bingwa wa African cup winner's cup.

Katika mwaka 1993 bingwa wa African cup winner's cup alikuwa ni Al Ahly na bingwa wa African cup of champions club alikuwa ni Zamalek. Hivyo wakakutana kwenye CAF super cup mwaka 1994 na bingwa akauchukua Zamalek wa CAF super cup.

Huo ndio ukweli wa mambo
 
Source;Wazee wa karikoo kwenye kijiwe cha 'gawaha'
 
Huyu dogo ni mshabiki wa Simba nini ?...au kaamua tu kuweka mambo sawa ?
 
Uzi ufungwe sasa. Safi sana mkuu
 
Mtu wa mpira hawezi kumfanya manara Kama reference asee!!, Manara anaishi kwakutumia mdomo.
Kwahiyo yanga sio watu wa mpira ????maana ndio wanaomwamini........
 
Uzi ufungwe sasa. Safi sana mkuu
Ufungwe kwa hizo porojo????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwahiyo mashindano kama ya Azam Sports Federation ni ya Bakhresa?
Kagame cup?NBC PL ya benki,VPL ya kampuni ya simu, huu ni upunguani wa mashabiki wa utopolo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yanga akibeba kombe je?
Anabeba mbele ya Nan?
Angalia uzito wa club anazokutana Nazo.
Yanga huu msimu ni km Wana Bahat sana ingawa nao Wana ubora mzuri sana .
Ila club alizokutana Nazo Sion km ni kipimo tosha kwake.
Timu yenye uafadhar huko shirikisho Kwa msimu huu ni pyramid pekee ,na hao ndio kipimo Cha yanga.
All in all akibeba ni mafanikio mazur sana kwake ila sio kutamba kwamba mpinzan wake asingeweza Fanya anayoyafanya ,hapa ni Bahat tu imemuangukia Hana wapinzan wenye nguvu kiivo.
Shirikisho ya msimu huu na ya misimu iliyopita Kuna utofaut mkubwa sana.
Kwa akili Yako kwenye hizo timu za shirikisho za msimu huu unaiona ni timu gan ingemzuia Simba kufika fainal?
Sasa why Yanga ashindwe?
Simba na Yanga Zina ubora unaokaribiana Kwa Kila kitu ingawa yanga Ina kikosi kipana kuliko Cha Simba ila ubora wako sawa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…