stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Hata Mtume alivokufa hakufufuka kuthibitisha kama Mungu yupoMUNGU yupo ndo mana wote tutakufa tukakutane nae live, hana upendeleo ndo maana wote tunakunya,tunalala,tunaumwa,tunakula, ayo mengine ni part tu ya maisha tafuta hela usimsingizie Mungu anapendelea
Umeshachoka mkuuWatu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.
Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️
Ushawah kujiuliza kwanini ulizaliwa na kwanini unakufa?Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Huyo Mungu kama yupo ajitokeze hadharani mwenyewe ajidhihirishe yupo, kama ana huo uwezo.
Allah anasema katika Qur an, Suurat shuura aya ya 30Watu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.
Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️
ajabu sana. wakati sisi wengine tunamwona Mungu maishani, tunaongea naye, anatupatia hadi maelekezo, kuna watu wanatilia mashaka uwepo wake. kuna siku utatafuta sana hii nafasi hautaipata. Mtafuteni Bwana maadamu anapatikana, mwiteni maadamu yu karibu, mtu mbay ana aache njia yake mbaya na mtu asiye haki aache mawazo yake, na amrudie Bwana naye atamsamehe, arejee kwa Mungu wake naye atasamehe kabisa. hii ni nafasi yako, Neno la Mungu linasema, nanyi mtanitafuta na kuniona mtakaponitafuta kwa mioyo yenu yote, inawezekana haumwoni Mungu kwasababu haumtafuti kwa moyo wako wote. mtafute kabla giza halijaingia maishani mwako ukatamani hata sekunde tu ya muda huu unaouchezea.Watu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.
Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️
Allah Pia anasema katika suurat al baqara aya ya 155Watu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.
Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️
Allah hasemi chochote, karatasi tu hizo zimeandikwaAllah anasema katika Qur an, Suurat shuura aya ya 30
وَمَا أَصَابَكُم مِّن مُّصِيبَةٍ فَبِمَا كَسَبَتْ أَيْدِيكُمْ وَيَعْفُو عَن كَثِيرٍ﴿٣٠﴾
30. Na msiba wowote unaokusibuni, basi ni kwa sababu ya yale iliyochuma mikono yenu, na Anasamehe mengi.
Usikate tamaa mkuu kutokana na rehma za allah mwingi wa huruma allah amekataza hilo aliposema katika suuratu al zzumarWatu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.
Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️
usimpeleke huko. allah sio Mungu, ni jini tu la kiarabu.Allah Pia anasema katika suurat al baqara aya ya 155
وَلَنَبْلُوَنَّكُم بِشَيْءٍ مِّنَ الْخَوْفِ وَالْجُوعِ وَنَقْصٍ مِّنَ الْأَمْوَالِ وَالْأَنفُسِ وَالثَّمَرَاتِ ۗوَبَشِّرِ الصَّابِرِينَ ﴿١٥٥﴾
155. Na bila shaka Tutakujaribuni kwa jambo katika khofu, njaa, upu
ngufu wa mali, nafsi na mazao. Na wabashirie wenye subira.
Ni maneno yake allah ambayo yamenukuliwa kwenye hizo karatasi kama alivyoeleza katika suurat al imraan kuanzia aya ya 3Allah hasemi chochote, karatasi tu hizo zimeandikwa
Allah anasema katika qur an kumuambia Ibilis (shetani) ukisoma katik suura al hijjir aya ya 42Kinachokutesa ni Maandiko ..
Mungu yupo na ana upendo kupitia Kazi zake tunazozina like Mvua, Jua, Nyota, Mwezi, Hewa, Maji, Viumbe tofauti, Usiku na Mchana, Kuelea kwa dunia nk..
Anza kutafakari nguvu ya Mungu bila kuhusisha Maandiko ya Dini ..
Huko yameelezwa mengi ambayo si kweli like Mungu anasamehe wakati huohuo imeandikwa tena anampango wa kuchoma watu Moto Lastday.. Usamehevu gani huo?
Eti ana Upendo na akatuumbia shetani makusudi huku Anauwezo wa kupredict Future...upendo gani huo?
Kafiri ni huyu anaewadanganya watu shetani amelala ndani ya pua zao.
Na hao wanaoamini huu ujinga ni makafiri wajinga pia
View attachment 3074447
Bora.wakati unamtafakari Mungu usitumie Biblia ama Quran kama refference
Ndivyo nature ilivyo.Ushawah kujiuliza kwanini ulizaliwa na kwanini unakufa?
2 Timotheo 3:1-5Watu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.
Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️
Kwanini wateseke wao na sio wewe?Watu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.
Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️
Unamzungumzia Mola gani..? au huyu;Allah anasema katika qur an kumuambia Ibilis (shetani) ukisoma katik suura al hijjir aya ya 42
إِنَّ عِبَادِي لَيْسَ لَكَ عَلَيْهِمْ سُلْطَانٌ إِلَّا مَنِ اتَّبَعَكَ مِنَ الْغَاوِينَ﴿٤٢﴾
42. Hakika Waja Wangu huna mamlaka nao isipokuwa ambaye atakufuata miongoni mwa waliopotoka.
وَإِنَّ جَهَنَّمَ لَمَوْعِدُهُمْ أَجْمَعِينَ﴿٤٣﴾
43. Na hakika Jahannam ni miadi yao wote pamoja.
Akasema tena katika suurat al insaan aya ya 3
إِنَّا هَدَيْنَاهُ السَّبِيلَ إِمَّا شَاكِرًا وَإِمَّا كَفُورًا﴿٣﴾
3. Hakika Sisi Tumemuongoza njia; ima (awe) ni mwenye kushukuru(kumuamini allah) au mwingi wa kukufuru.[1]
Njia ya haqi imebainishwa kwahy kazi kwako kuchagua (mwanzo wa sura allah amekumbusha kuwa zimepita zama huko nyuma mwanadam hakuna kitu chenye kutajwa kwa maana hakuwepo je kama huko nyuma hukuwepo unadhani asili yako ni nini? Na kwanin ulizaliwa kutokana na mume na mke hukuota kama mti? Kwanin unakufa?
rejea kwa mola wako ndugu mbora na utubie kabla hakijakukuta kifo chako na kama unaweza kuzuia kifo basi endelea kutakabbar.
MUNGU yupo live na wewe ulieleta mada ya kipumavu na wote waliochangia kwa negativu Mungu atawalaani pamoja na vizazi vyenu.AmenWatu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.
Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️
kimsingi ukikaa kutafakari dini ni kama vyama vya siasa tu,we live by lucky and trials tu.Watu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.
Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️