Siku zinavyozidi kwenda nazidi kuutilia Shaka uwepo wa Mungu

Siku zinavyozidi kwenda nazidi kuutilia Shaka uwepo wa Mungu

Watu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.

Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️
Umeshachoka mkuu
 
Watu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.

Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️
Allah anasema katika Qur an, Suurat shuura aya ya 30

وَمَا أَصَابَكُم مِّن مُّصِيبَةٍ فَبِمَا كَسَبَتْ أَيْدِيكُمْ وَيَعْفُو عَن كَثِيرٍ﴿٣٠﴾

30. Na msiba wowote unaokusibuni, basi ni kwa sababu ya yale iliyochuma mikono yenu, na Anasamehe mengi.
 
Watu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.

Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️
ajabu sana. wakati sisi wengine tunamwona Mungu maishani, tunaongea naye, anatupatia hadi maelekezo, kuna watu wanatilia mashaka uwepo wake. kuna siku utatafuta sana hii nafasi hautaipata. Mtafuteni Bwana maadamu anapatikana, mwiteni maadamu yu karibu, mtu mbay ana aache njia yake mbaya na mtu asiye haki aache mawazo yake, na amrudie Bwana naye atamsamehe, arejee kwa Mungu wake naye atasamehe kabisa. hii ni nafasi yako, Neno la Mungu linasema, nanyi mtanitafuta na kuniona mtakaponitafuta kwa mioyo yenu yote, inawezekana haumwoni Mungu kwasababu haumtafuti kwa moyo wako wote. mtafute kabla giza halijaingia maishani mwako ukatamani hata sekunde tu ya muda huu unaouchezea.
 
Watu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.

Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️
Allah Pia anasema katika suurat al baqara aya ya 155

وَلَنَبْلُوَنَّكُم بِشَيْءٍ مِّنَ الْخَوْفِ وَالْجُوعِ وَنَقْصٍ مِّنَ الْأَمْوَالِ وَالْأَنفُسِ وَالثَّمَرَاتِ ۗوَبَشِّرِ الصَّابِرِينَ ﴿١٥٥﴾

155. Na bila shaka Tutakujaribuni kwa jambo katika khofu, njaa, upu
ngufu wa mali, nafsi na mazao. Na wabashirie wenye subira.
 
Allah anasema katika Qur an, Suurat shuura aya ya 30

وَمَا أَصَابَكُم مِّن مُّصِيبَةٍ فَبِمَا كَسَبَتْ أَيْدِيكُمْ وَيَعْفُو عَن كَثِيرٍ﴿٣٠﴾

30. Na msiba wowote unaokusibuni, basi ni kwa sababu ya yale iliyochuma mikono yenu, na Anasamehe mengi.
Allah hasemi chochote, karatasi tu hizo zimeandikwa
 
Watu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.

Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️
Usikate tamaa mkuu kutokana na rehma za allah mwingi wa huruma allah amekataza hilo aliposema katika suuratu al zzumar

لَا تَقْنَطُوا مِن رَّحْمَةِ اللَّـهِ
(Msikate tamaa na Rehma ya Allaah)
Usithubutu kukufuru kwani haitakuwa suluhu ya matatizo yako tafuta njia sahihi kwasababu ukisema upinge uwepo wa allah ndy mambo yako yatakaa sawa?
 
Allah Pia anasema katika suurat al baqara aya ya 155

وَلَنَبْلُوَنَّكُم بِشَيْءٍ مِّنَ الْخَوْفِ وَالْجُوعِ وَنَقْصٍ مِّنَ الْأَمْوَالِ وَالْأَنفُسِ وَالثَّمَرَاتِ ۗوَبَشِّرِ الصَّابِرِينَ ﴿١٥٥﴾

155. Na bila shaka Tutakujaribuni kwa jambo katika khofu, njaa, upu
ngufu wa mali, nafsi na mazao. Na wabashirie wenye subira.
usimpeleke huko. allah sio Mungu, ni jini tu la kiarabu.
 
Allah hasemi chochote, karatasi tu hizo zimeandikwa
Ni maneno yake allah ambayo yamenukuliwa kwenye hizo karatasi kama alivyoeleza katika suurat al imraan kuanzia aya ya 3

نَزَّلَ عَلَيْكَ الْكِتَابَ بِالْحَقِّ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَأَنزَلَ التَّوْرَاةَ وَالْإِنجِيلَ ﴿٣﴾

3. Amekuteremshia Kitabu (ee Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم) kwa haki kinachosadikisha yaliyo kabla yake na Akateremsha Tawraat na Injiyl.

مِن قَبْلُ هُدًى لِّلنَّاسِ وَأَنزَلَ الْفُرْقَانَ ۗ إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا بِآيَاتِ اللَّـهِ لَهُمْ عَذَابٌ شَدِيدٌۗ وَاللَّـهُ عَزِيزٌ ذُو انتِقَامٍ ﴿٤﴾

4. Kabla (ya kuteremshwa Qur-aan), iwe ni mwongozo kwa watu na Akateremsha pambanuo (la haki na baatwil). Hakika wale waliokufuru Aayaat (na Ishara, Hoja, Dalili) za Allaah watapata adhabu kali. Na Allaah Ni Mwenye Enzi ya NguvuAsiyeshindika, Mwenye Kulipiza.

Yeye ndie kateremsha tawrati kwa mussa kisha injili kwa issa mwana wa mariam kisha qur ani kwa muhammadi na ni maneno yake allah, umenipata hapo mkuu?
 
Kinachokutesa ni Maandiko ..

Mungu yupo na ana upendo kupitia Kazi zake tunazozina like Mvua, Jua, Nyota, Mwezi, Hewa, Maji, Viumbe tofauti, Usiku na Mchana, Kuelea kwa dunia nk..

Anza kutafakari nguvu ya Mungu bila kuhusisha Maandiko ya Dini ..

Huko yameelezwa mengi ambayo si kweli like Mungu anasamehe wakati huohuo imeandikwa tena anampango wa kuchoma watu Moto Lastday.. Usamehevu gani huo?

Eti ana Upendo na akatuumbia shetani makusudi huku Anauwezo wa kupredict Future...upendo gani huo?
Allah anasema katika qur an kumuambia Ibilis (shetani) ukisoma katik suura al hijjir aya ya 42


إِنَّ عِبَادِي لَيْسَ لَكَ عَلَيْهِمْ سُلْطَانٌ إِلَّا مَنِ اتَّبَعَكَ مِنَ الْغَاوِينَ﴿٤٢﴾

42. Hakika Waja Wangu huna mamlaka nao isipokuwa ambaye atakufuata miongoni mwa waliopotoka.

وَإِنَّ جَهَنَّمَ لَمَوْعِدُهُمْ أَجْمَعِينَ﴿٤٣﴾

43. Na hakika Jahannam ni miadi yao wote pamoja.

Akasema tena katika suurat al insaan aya ya 3
إِنَّا هَدَيْنَاهُ السَّبِيلَ إِمَّا شَاكِرًا وَإِمَّا كَفُورًا﴿٣﴾

3. Hakika Sisi Tumemuongoza njia; ima (awe) ni mwenye kushukuru(kumuamini allah) au mwingi wa kukufuru.[1]

Njia ya haqi imebainishwa kwahy kazi kwako kuchagua (mwanzo wa sura allah amekumbusha kuwa zimepita zama huko nyuma mwanadam hakuna kitu chenye kutajwa kwa maana hakuwepo je kama huko nyuma hukuwepo unadhani asili yako ni nini? Na kwanin ulizaliwa kutokana na mume na mke hukuota kama mti? Kwanin unakufa?

rejea kwa mola wako ndugu mbora na utubie kabla hakijakukuta kifo chako na kama unaweza kuzuia kifo basi endelea kutakabbar.
 

Attachments

  • Screenshot_20231110-125847_Gallery.jpg
    Screenshot_20231110-125847_Gallery.jpg
    471.5 KB · Views: 1
Watu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.

Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️
2 Timotheo 3:1-5

[1]Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari.

[2]Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi,

[3]wasiowapenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda mema,

[4]wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu;

[5]wenye mfano wa utauwa, lakini wakikana nguvu zake; hao nao ujiepushe nao.
 
Watu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.

Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️
Kwanini wateseke wao na sio wewe?
 
Allah anasema katika qur an kumuambia Ibilis (shetani) ukisoma katik suura al hijjir aya ya 42


إِنَّ عِبَادِي لَيْسَ لَكَ عَلَيْهِمْ سُلْطَانٌ إِلَّا مَنِ اتَّبَعَكَ مِنَ الْغَاوِينَ﴿٤٢﴾

42. Hakika Waja Wangu huna mamlaka nao isipokuwa ambaye atakufuata miongoni mwa waliopotoka.

وَإِنَّ جَهَنَّمَ لَمَوْعِدُهُمْ أَجْمَعِينَ﴿٤٣﴾

43. Na hakika Jahannam ni miadi yao wote pamoja.

Akasema tena katika suurat al insaan aya ya 3
إِنَّا هَدَيْنَاهُ السَّبِيلَ إِمَّا شَاكِرًا وَإِمَّا كَفُورًا﴿٣﴾

3. Hakika Sisi Tumemuongoza njia; ima (awe) ni mwenye kushukuru(kumuamini allah) au mwingi wa kukufuru.[1]

Njia ya haqi imebainishwa kwahy kazi kwako kuchagua (mwanzo wa sura allah amekumbusha kuwa zimepita zama huko nyuma mwanadam hakuna kitu chenye kutajwa kwa maana hakuwepo je kama huko nyuma hukuwepo unadhani asili yako ni nini? Na kwanin ulizaliwa kutokana na mume na mke hukuota kama mti? Kwanin unakufa?

rejea kwa mola wako ndugu mbora na utubie kabla hakijakukuta kifo chako na kama unaweza kuzuia kifo basi endelea kutakabbar.
Unamzungumzia Mola gani..? au huyu;

1. Ambaye anaruhusu watu wake wawaingilie mbinti wa miaka9... Mfano mzuri mtume wenu;
Screenshot_20240820-061005~2.png

Huyuhuyu ambae watu wake ndo hawa ⬇️⬇️ wanatamani pia kuonja utamu wa bikra;
Screenshot_20240810-135711.png


2. Huyuhuyu Ambaye amekataza uzinzi duniani...
Halafu atakupa wanawake 72 mabikra na nguvu ya kuwapiga mshindo wote....
Screenshot_20240820-062513~2.png



Teh! Teh! Teh!
 
Watu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.

Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️
MUNGU yupo live na wewe ulieleta mada ya kipumavu na wote waliochangia kwa negativu Mungu atawalaani pamoja na vizazi vyenu.Amen
 
Watu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.

Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️
kimsingi ukikaa kutafakari dini ni kama vyama vya siasa tu,we live by lucky and trials tu.

Kuna washezi wanafanikiwa kwa kila wanalolifanya na kuna wanajiita wacha mungu hali tete mabalaa kila kona.

Mungu yupo ila kazi yake alishaifanya kitambo imebaki sisi kupambana ndio mana akatupa akili.
 
Back
Top Bottom