Hakuna yeyote anayeweza kuthibitisha uwepo wa Mungu, ila kwa kutazama yatuzungukayo duniani na ulimwenguni, tunashawishika Kudhani kuna designer mmoja au wengi walifanya kazi kutengeneza systems kadhaa zilizopo.
Ni dhana tu, hatuna uhakika.
Uongo ulianzia pale binadamu alipoanza kujifanya yeye ni wakala wa Mungu, mungu kaongea naye na yeye anajua Mungu anataka nini na hataki nini. Hao wote ni waongo wakuu. Maandiko yao ni uzushi mtupu na stori za vijiweni tu.
Hata kama Mungu aliwahi kuwepo au bado yupo, hakuna ajuaye chochote kuhusu nia, uwezo wala matakwa yake.
Wala hajihusishi na maisha yetu ya sasa.
Hawa manabii, wachungaji, masheikh na wengine woooote wanojifanya kujua lolote kuhusu nguvu iitwayo Mungu, ni waongo na wapigaji wakubwa.