Siku zinavyozidi kwenda nazidi kuutilia Shaka uwepo wa Mungu

Siku zinavyozidi kwenda nazidi kuutilia Shaka uwepo wa Mungu

Allah sio jini ni muumba wa hao majin pamoja na binadam na kila kitu kama alivyosema katika Qur an Suurat Al hijir

وَلَقَدْ خَلَقْنَا الْإِنسَانَ مِن صَلْصَالٍ مِّنْ حَمَإٍ مَّسْنُونٍ﴿٢٦﴾

26. Na kwa yakini Tumemuumba binaadam kutokana na udongo wa mfinyanzi mkavu, unaotoa sauti, unaotokana na tope nyeusi iliyotaghayari.

وَالْجَانَّ خَلَقْنَاهُ مِن قَبْلُ مِن نَّارِ السَّمُومِ﴿٢٧﴾

27. Na majini Tuliwaumba kabla kutokana na moto ulio mkali mno.


Kwahiyo hata wewe inakupasa urudi katika dini ya haqqi (uislamu) huyo yesu atakuja kuwakana siku ya qiyama kama ambavyo allah amesema kweny suurat maida
Huu nao ni Ugonjwa akili piga picha na Jini tuamini Allah yupo
 
kwanin usimlaumu baba ako na mama yako,au kwanini usiilaumu serikali au kwanini usijilaumu mwenyewe kwa uzembe?

mungu is invisble but money are tangible,mungu yupo katika hali ya hisia mfano furaha,upendo,dhiki,shida,chuki ila katika vitendo kuna maamuzi,umepiga mtu kachukia amekurudishia umepata hasira hapa unaweza kumuona mungu hasa ukikumbuka kauli ya kitabu chako,binafsi al qiswaswi haqq ujue kinachofata ni mtifuano,ila wenzetu anakugeuzia upande wa kushoto.

ukiwa na dhiki unaomba faraja kwake ila ndani ya dua zako ziendane na matendo ya unachokiomba.
 
Huu nao ni Ugonjwa akili piga picha na Jini tuamini Allah yupo
Allah anasema katika suurat al aadiyyaat

إِنَّ الْإِنسَانَ لِرَبِّهِ لَكَنُودٌ ﴿٦﴾

6. Hakika binaadam kwa Rabb wake bila shaka ni mtovu mno wa shukurani.

وَإِنَّهُ عَلَىٰ ذَٰلِكَ لَشَهِيدٌ ﴿٧﴾

7. Na hakika yeye juu ya hayo bila shaka mwenyewe ni shahidi.


وَإِنَّهُ لِحُبِّ الْخَيْرِ لَشَدِيدٌ ﴿٨﴾

8. Na hakika yeye ni mwingi mno wa kupenda mali.


أَفَلَا يَعْلَمُ إِذَا بُعْثِرَ مَا فِي الْقُبُورِ ﴿٩﴾

9. Je, hajui vitakapopinduliwa juu chini na kutolewa vile vilivyomo makaburini?

Ndugu yangu lililokawa wajibu juu yangu ni kukufikishia, swala La kuongoka au kubaki kweny upotofu wako ni lake yeye allah kama alivyosem katik qur ana kumwambia mtume wetu wote mimi na wewe kuwa ni juu yake kufikisha na malipo ni juu yake yeye allah pia yeye allah ndie ana muongoza amtakae nakuombea kwa allah atuongoze kuifata njia ya haqi mimi na wewe wote tuseme (aamiyn)
 
Unazungumza hivyo kwasababu ya afya na uzima ulio nao ila usisahau kuwa walipita watu kabla yako nao walikadhibisha uwepo wa allah kama alivyoeleza katk suurat al qalam

إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الْأَوَّلِينَ﴿١٥﴾

15. Anaposomewa Aayaat Zetu, anasema: Hekaya za watu wa kale.


Akendelea kusema katika sura hiyo hiyo allah

فَذَرْنِي وَمَن يُكَذِّبُ بِهَـٰذَا الْحَدِيثِ ۖسَنَسْتَدْرِجُهُم مِّنْ حَيْثُ لَا يَعْلَمُونَ﴿٤٤﴾

44. Basi Niache (ee Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم) na anayekadhibisha Qur-aan hii. Tutawavuta pole pole adhabuni kwa namna wasiyoijua.

وَأُمْلِي لَهُمْ ۚ إِنَّ كَيْدِي مَتِينٌ﴿٤٥﴾

45. Nami Ninawapa muhula. Hakika Vitimbi Vyangu ni Thabiti.


Fursa unayo rejea kwa mola wako ewe ndugu yangu mbora kabla allah hajakupa dhahama hapa duniani na kesho akhera kwani ukifa na hali hiyo huna nafasi tena ya kutengeneza rudi kwa allah anasameh madhambi yote
Hakuna Mungu, Allah, Yesu, Jehovah, Jah, God anayetoa Afya wala uzima.
 
Watu wanateseka, miaka na miaka hawapati suluhisho, najiuliza kwanini Mungu anaruhusu vitu kama hivyo? Utakuta kitu cha miaka na miaka kinamtesa mtu, tena wasio na hatia, tena wanaotenda mambo yanayompendeza yeye Mungu lakini unakuta wanateseka tuu.

Siku zinavyozidi kwenda naona kabisa itafika kipindi nitakua atheist ⚛️
Na cku akili yako itakapofikia hakuna mungu,sasa hapo ndipo Mungu anapodhihirika uwepo wake
 
Hakuna yeyote anayeweza kuthibitisha uwepo wa Mungu, ila kwa kutazama yatuzungukayo duniani na ulimwenguni, tunashawishika Kudhani kuna designer mmoja au wengi walifanya kazi kutengeneza systems kadhaa zilizopo.
Ni dhana tu, hatuna uhakika.

Uongo ulianzia pale binadamu alipoanza kujifanya yeye ni wakala wa Mungu, mungu kaongea naye na yeye anajua Mungu anataka nini na hataki nini. Hao wote ni waongo wakuu. Maandiko yao ni uzushi mtupu na stori za vijiweni tu.

Hata kama Mungu aliwahi kuwepo au bado yupo, hakuna ajuaye chochote kuhusu nia, uwezo wala matakwa yake.
Wala hajihusishi na maisha yetu ya sasa.

Hawa manabii, wachungaji, masheikh na wengine woooote wanojifanya kujua lolote kuhusu nguvu iitwayo Mungu, ni waongo na wapigaji wakubwa.
Wafia dini hawatakuelewa
 
Robo tatu ya dunia inaongozwa na shetani, hata hiyo robo iliyobaki itatekwa karibuni. Mungu yupo wapi?
 
mwisho wa akili yako ndio Mungu anaanza kufanya kazi, nilitegemea kuwa unajua chanzo cha bahati yako ili hao wanaoteseka waipate hiyo bahati
Kwa nini ulitegemea niwe najua? Ni lazima kujua kila kitu?
 
Kwa nini ulitegemea niwe najua? Ni lazima kujua kila kitu?
kutegemea kwangu kuwa unajua, kwanini wewe hauteseki, ilikuwa ni kuona kama wewe una msaada juu ya hao ulisema wanateseka na ukishauri tuachane na imani ya uwepo wa Mungu
 
Back
Top Bottom