Sikubaliani hata kidogo na utovu wa nidhani wa Bernard Morrison, lakini kuna hoja za msingi ni lazima zijibiwe na TFF.

Wamemfungia asicheze mechi ya Simba hao ingeakua inafika mechi 4 wangefikisha 4...Inonga ile rafu aliyomfanyia Sure Boy amepata adhabu gani mbona rafu zipo nyingi sana na hatuonj wakikaa kujadili au wao wapo busy na BM tuu...

Kwani katika hiyo mechi Iko ga hakupewa kadi? Unataka aadhibiwe mara mbili? Kama Morison angepewa kadi hta ya manjano kwa lile tukio leo bodi isinge muadhibu maana mchezaji hatakiwi kuadhibiwa mara mbili na vyombo viwili tofauti.

Wa kulaumiwa hapo ni mwamuzi ambae alimezea lile tukio. Ya Inonga pia anaepaswa kulaumiwa ni mwamuzi kwa kumpa kadi ya njano badala ya nyekundu.
 
Ya Shabani Djuma hivi ni lini ilitolewa uamzi? Au unajifanya kuyaona ya Simba yenu unajitia upofu.
Ndugu hao viande watakumalizia MB bure maana hawajui walisemalo

Yule Bangala aliwahi kuonesha dole waulize sasa alichukuliwa hatua gani

Tatzo ni waongo halafu wasahaulifu.
 
Vipi kuhusu Pascal Wawa?
 
Unapoteza muda kuelewesha vilaza mkuu
 
Na dickson job kwanini alipewa nani pia akafungiwa mechi tatu na kamati na faini juu

Wewe ni mavi
 
Mukoko aliadhibiwa ndani ya dk 90 kule kigoma baada kumpiga kiwiko boco,na bado kamati ya masaa 72 ikamfungia michezo 3,kitendo alichofanya morrison kilifanywa na wawa alipomkanyaga nchimbi lakini wawa akupewa adhabu yoyote si ya kadi uwanjani au kufungiwa michezo 3
 
Mukoko alipewa kadi Kigoma na baadae kamati ilimfungia...hapa unabahatisha tuu hawa jamaa tuwaache na maamuzi yao leo watasema hili kesho lile...
 
Hii sidhani kama ni hoja kubwa sana. Kikubwa mchezaji mwenyewe anatakiwa kucheza kwa kujali afya za wachezaji wenzake kama wao wanavyojali afya yake. TFF ina madhaifu yake lakini wachezaji wa Yanga wanapaswa kuishi kwa kulijua hilo na hivyo wawe makini.
 
Huu ni mwendelezo wa ujinga. Kanuni inasema adhabu ya kukosa michezo mitatu baada ya kutangazwa. Kanuni haijataja michezo gani. Kuuchukulia kuukosa mchezo dhidi ya Simba ni uonevu, huo ni upumbavu
 
TFF ya Walalce Karia ni takataka tu. Hakuna kitu pale. Majungu, fitina, upigaji, upendeleo, siasa, na chuki dhidi ya Yanga; ndiyo vipaumbele vyao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amekuliza tenaaaa??? Poleeeeeh

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Mngeyakemea madudu kama haya wakati wa kamati ya masaa 72 ya Jamal Malinzi tungewaona ni watu mnaopenda haki itendeke .Lakini kwakuwa mlikuwa mnaona ni sawa tu, tena mkawa mnashangilia basi hamna Maana ni vema mkanyamaza tu soka letu liende kivyetuvyetu

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…