Uamuzi wa serikali ya awamu ya sita ya kufuta utaratibu wa kuendelea kupata mshahara wa cheo cha uteuzi hata baada ya kutumbuliwa haufai kabisa kwani yalikuwa ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi kwa kuwa hilo suala lipo kisheria serikali ianze utaratibu wa kuifanyia hiyo sheria marekebisho mara moja ili kuokoa kodi zetu .Sheria ikifanyiw marekebisho itachochea uwajibikaji wa hao wateule kwani wataogopa kupoteza vyeo na vipato tofauti na sasa mtu anapoteza cheo tu ila mkwanja uko pale pale
Unakuta kwa mfano mtumishi ni Principal Officer anayepata mshahara wa TGS H6 then anateuliwa kuwa Mkurugenzi ambaye mshahara wake say ni LSS 3. Ina maana huyu Mkurugenzi siku ukurugenzi wake ukitenguliwa Mwigulu anapendekeza arudi kupokea TGS H6 yake, asiendelee na huo wa ukurugenzi.
Nimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo.
Binafsi sikubaliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu.
Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.
Nimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo.
Binafsi sikubaliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu.
Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.
Tatizo ni ufukuzaji au utumbuaji wa mizengwe ambao viongozi wenyewe wanafanya. Kama kiongozi kakosea na kosa ni kubwa kuwa hafai kushika nafasi aliyoteuliwa kuna utaratibu wa namna ya kumwondoa, ambao ni kumwandikia barua kuonesha kosa lake,kumshtaki,kuteua tume ya uchunguzi; lakini si kwa sababu wewe kiongozi mpya humpendi/hutaki sura yake au sababu yo yote ya kipuuzi; kisha unatamka jukwani tu bila barua, atajuaje masharti mapya ya kazi mpya! Viongozi wengi wanatamka mdomoni kuwa wanafuata misingi ya utawala bora wakati vichwani mwao hawana hata chembe ya uelewa wa maana ya utawala bora. Ni tatizo lile lile la ama wastani wa kiwango cha uelewa au kiwango cha elimu ambao hapa Tanzania unateremka kwa kasi katika ngazi zote! wastani!
Nimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo.
Binafsi sikubaliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu.
Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.
Hili pendekezo la Mh.Mwigulu ni muafaka kabisa,serikali haiwezi kuwa shamba la bibi, Hivi sekta binafsi kuna utaratibu huo? mtu alipwe mshahara ule ule ilihali ameshang'olewa kwenye kiti chake? swala la kuonewa afuate taratibu husika,pia uelewe vyeo vya uteuzi unakuwa hapo kwa mapenzi ya aliyekuteuwa,akikung'oa rudi kwenye taaluma yako au nafasi yako uliyokuwepo. Na hii move italeta nidhamu sana na uwajibikaji, maana mtu atajua akiharibu anarudi kwenye deski na wananzengo,au ntolee kabisa.
Nimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo.
Binafsi sikubaliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu.
Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.
Nimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo.
Binafsi sikubaliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu.
Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.
Kati ya vitu ambavyo Magufuli alikuwa akiimbwa navyo ni kubana matumizi ya Serikali
Ila leo baada ya kumsikiliza Mwigulu akiweka mikakati mipya ya kubana matumizi, nimeona kumbe Serikali ina matumizi ya hovyo ambayo hata huyo Magufuli aliendelea nayo hadi sasa Samia ndio anakuja kuyapunguza
Mojawapo ya lililonishtua ni kuwa Mkurugenzi au Katibu Mkuu akitumbuliwa bado anaendelea kulipwa mshahara uleule aliokuwa nao, akasema kuwa inawezekana hata ukakuta kuna wizara 15 tu lakini ukakuta kuna watu 50 wanalipwa mshahara wa katibu mkuu, ama kuna halmashauri 100 lakini wanaolipwa kama wakurugenzi ni 500.
Wanabodi, Hii ni mada kuhusu baadhi ya maamuzi ya rais wetu, Mhe. Dr. John Pombe Joseph Mugufuli anayoyafanya sasa huku watu wanashangilia sana kila kinachofanywa na Rais wetu, wakiamini na wakidhani kila anachokifanya rais ndio the right thing to do kwa taifa letu and done at the right time and...
Maofisa Kuwekwa Pembeni Kusubiri Kupangiwa Kazi Nyingine. Mfano wanaposikia maofisa wakuu fulani wa umma, wamesimamishwa kazi, na kuteuliwa wengine kukaimu nafasi zao!. Hatua hii kisiasa ni nzuri, maana ina mpa kick Magufuli kwa ku boost political mileage yake, na hivi ndivyo wafanyavyo ma populist leaders dunia nzima, boosting their political mileage tuu ila kiuchumi inatuumiza na kuliumiza taifa!. Magufuli analibebesha taifa hili mzigo mkubwa wa gharama kuliko hata serikali ya JK!. Kwa mujibu wa sheria za kazi, kila mtumishi aliyesimamishwa kazi kwa tuhuma zozote zile, anaendelea kulipwa mshahara wake wote ule ule kamili, bali marupurupu ndio yanaondolewa!. Mtumishi atalipwa nusu ya mshahara iwapo tuu atasimamishwa kazi na kushitakiwa, na mtumishi hatalipwa kabisa mshahara iwapo atafukuzwa kazi!. Tangu rais Magufuli aanze hii timua tumua, hakuna ofisa mkuu yoyote aliyefukuzwa kazi, wala aliyeshitakiwa, wote wamesimamishwa tuu kazi na kusubiri kupangiwa kazi nyingine!, au wengine teuzi zao zimetenguliwa huku wote wakiendelea kulipwa mishahara yao ile ile!.
Makatibu Wakuu Wanaolipwa Bila Kazi!. Hata upande wa uteuzi wa Makatibu Wakuu, wale Makatibu Wakuu wote ambao Ukatibu wao Mkuu haukutenguliwa, au wameachwa tuu bila kupangiwa kazi nyingine yoyote, wote wanaendelea kulipwa mishahara yao ya makatibu wakuu kusubiria ama kupangiwa kazi nyingine, ama kustaafu kwa umri, au kustaafishwa kwa manufaa ya umma, lakini wakati huu wote wanaosubiria, walalipwa na kupatiwa haki na stahiki zote za level ya Katibu Mkuu!.
Hitimisho
Hivyo baadhi ya hatua zinazochukuliwa na rais wetu Dr. John Pombe Magufuli, japo ni hatua nzuri, na zimefanywa kwa nia njema kabisa, zikiachwa tuu hivi hivi jinsi hii hii inavyo fanyika, zitaligharimu sana taifa hili!, ni bora rais Magufuli angefuata ule mtindo wa Nyerere, ilikuwa hakuna kusimamisha kazi, ilikuwa ni kufukuza tuu au kustaafisha kwa manufaa ya umma!. Anapounda baraza jipya na kuteua makatibu wakuu wapya, wale wote walioachwa, walipaswa kustaafishwa there and then na mishahara yao inasimamishwa kuanzia pale pale walipostaafishwa!.
Hili ninalolisema leo, wengine mtakuja kuliona mwezi Juni /July wakati wa kusomwa kwa bajeti kuu ya serikali, mtashuhudia kuongezeka kwa bajeti ya uendeshaji wa serikali ikiwemo wage bill badala ya kupungua na mbele ya safari mtashuhudia mabadiliko mengi ya baraza za mawaziri au kwa kuwaongeza, au kuzipunguza vizara alizoziunganisha kwa kuziachanisha!. Na kila siku mawaziri watateuliwa na kutumbuliwa kama kubadili nguo, kwa sababu Magufuli huyu ambaye sasa ndie rais wetu, ni Magufuli huyu huyu niliyemzungumza hapa
Wanabodi, Leo nimekutana na rafiki yangu wa siku nyingi tuliyepotezana naye kipindi kirefu nyuma, ambaye ni mtu wa sehemu na wa kuaminika sana ambaye yuko attached CCM kama kada tuu wa kawaida wa Chama cha Mapinduzi-CCM, akanieleza seriously habari za kushtusha kidogo ambazo mimi zimenitisha...
Nimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo.
Binafsi sikubaliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu.
Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.
Kwahiyo mhasibu wa halmashauri alipwe mshahara wa Mkurugenzi wa jiji kisa tu aliwahi kuwa mkurugenzi wa jiji huku mkuu wa jiji husika analipwa mshahara wake?
Mtu alipwe mshahara wa mahali alipo na si vinginevyo.
Magufuli ndiye aliyeiingiizia serikali hasara na tumbuatumbua zake za kiwendawazimu.
Leo mtu anakuwa RC, kesho yuko home, keshokutwa anakuwa katibu mkuu wa wizara.
Mpaka hazina hawajui wafanye nini, baadaye wanaamua kumlipa mshahara wa U RC bila kujali yuko wapi.
Nimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo.
Binafsi sikubaliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu.
Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.
Nimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo.
Binafsi sikubaliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu.
Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.
Utaelewa tuu nyie ndio mlikuwa wazembe na mkitumbuliwa mnasema cheo cha nini ntabaki na salary yangu Sasa hii itakomesha wizi bila kufokeana hadharani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.