Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Halmashauri zipo 184,na Wakurugenzi ni 184.Huwezi kuwa na nchi ina wakurugenzi 700 na wakati halmashauri zipo 184 tu
Mi naongolea halmashauri bibi weweHalmashauri zipo 184,na Wakurugenzi ni 184.
Taasisi za umma zipo karibu 210 na kila Taasisi INA wastani wa Wakurugenzi 5-7 hapo kuna Wakurugenzi 1050,na hapo bado kuna Managers
Kuna Wizara takribani 20 piga wastani wa Wakurugenzi 14-20 kwa kila Wizara
Jibu ni simple tu hamuwezi kua na uelewa au mtazamo unaofanana miaka yote! Ni lazima kuna kipindi atakuja tokea mtu mwenye uelewa na mtazamo tofauti na wale waliotangulia! It is the Nature that determines what to do!Kwanza tuulizane kwa nini iliwekwa hivyo?
Hiyo ni sahihi kabisa . Kama wewe ulikuwa ni Mwl. kwa mfano baadaye ukateuliwa kuwa DED na ukawa unapokea mshahara wa DED siku unapoacha nafasi ya DED kwa sababu yoyote ile na muda wako wa kustaafu bado haujaisha unatakiwa kurudi kupokea mshaahra wako wa zamani. yaani haina maana nchi inayo wakurugenzi 268 lakini watumishi wanaolipwa mishahara ya wakurugenzi wawe ni 350, it is very unfair. itasaidia sana kupunguza matumizi mabaya ya fedha za serikali. na vile vile kwa wakuu wa idara kwenye local Government. huko ndio wako wengi, mtu uateuliwa baada ya miezi 3 unarudi kwenye kazi yako ya zamani na kitita cha mkuu wa idara. Fedha hizi zingetumika kuboresha maslahi ya watumishi wote kwa ujumla wake.Toa reason na mifano ya kueleweka kusapoti hoja yako....
Sijui unaona je unapoambiwa tuna Halmashauri 184 hivi lakini kuna maafisa masuuli zaidi ya 300 wako kwenye pay rol l,kuna nafasi za kazi kibao kwenye loca government haziajiriki kutoka a na ufinyu wa wa bajeti.kumbuka mshahara mmoja wa mkurugenzi ni almost sh 5,000,000/=na graduate analipwa sh700,000\=Ina maana mshahara mmoja wa afisa masuhuli unatosha kulipa graduate 7.sema(300-184)=116x7=812 ,hebo safi saana.Nimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo.
Binafsi sikubaliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu.
Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.
Vipi mkuu, na wewe ni miongoni mwao katika waliotumbuliwa?Nimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo.
Binafsi sikubaliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu.
Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.
Wewe boya kweli, yaani uteuzi umetenguliwa halafu eti uendelee kulipwa mzigo ule ule wa awali!! Hapo Waziri yuko sawa kabisaNimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo.
Binafsi sikubaliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu.
Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.
Layman speaking sheria inasema atabaki na mshahara wake
Hoja dhaifu, nyepesi na isiyo na nguvu wala ushawishi.Nimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo.
Binafsi sikubaliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu.
Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.
Kwani taratibu za utumidhi sirikarini zinasemaje? Au ni kola waziri na yake?Nimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo.
Binafsi sikubaliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu.
Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.
Ni swala la kisheria.Hoja dhaifu, nyepesi na isiyo na nguvu wala ushawishi.
Can not act restrospectiveHiyo sheria inatakiwa ibadilishwe.
Can not act restrospective
Huyo alikuwa chiziMagufuli hakupunguza mishahara ya NHC, TIC na wengine??
Nimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo.
Binafsi sikubaliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu.
Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.
Nimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo.
Binafsi sikubaliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu.
Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.
Inawezekana una mshahara huo ,lakini hiyo ni nzuri maana itakufanya uwajibike ili usije kurudi ulikotokaNimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo.
Binafsi sikubaliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu.
Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.