Sikufukuzwa kazi Singida Fountain Gate, nilivunja mkataba kwa makubaliano

Sikufukuzwa kazi Singida Fountain Gate, nilivunja mkataba kwa makubaliano

Mutual termination ni step mwajiri anaichukua ili asikulipe baadhi ya stahiki kwakua akifanya termination itabidi akulipe au anakwepa kupelekwa vyombo vya sheria kwa unfair termination.

Mwajiri anakua hataki kufanya kazi na wewe lakini hataki pia kuingia gharama kuuheshimu mkataba.

Vyovyote iwavyo ndiyo maisha yalivyo
 
Mutual termination ni step mwajiri anaichukua ili asikulipe baadhi ya stahiki kwakua akifanya termination itabidi akulipe au anakwepa kupelekwa vyombo vya sheria kwa unfair termination.

Mwajiri anakua hataki kufanya kazi na wewe lakini hataki pia kuingia gharama kuuheshimu mkataba.

Vyovyote iwavyo ndiyo maisha yalivyo

Mimi ndio niliwasilisha ombi la kuvunja mkataba amicably na uongozi haukutaka nilipe gharama yoyote kwahiyo imekuwa fair mutual termination.
 
Watu wa Soka,

Umofia kwenu.

Nimekuwa nikipokea SMS nyingi na maswali kwenye mitandao ya kijamii kuhusu nini kimetokea kati yangu na Klabu ya Singida Fountain Gate ambayo nilikuwa naitumikia kama Msemaji na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano.

Kuweka rekodi sawa tu, sijafukuzwa kazi wala hapakuwahi kuwepo mgogoro wowote kati yangu na Klabu. Nimefanya kazi kwa weledi na uadilifu ili kufikia maono ya klabu katika eneo la kuisemea, kujenga mahusiano chanya na kuiweka timu karibu na wadau.

Kilichotokea ni makubaliano tu ya kuvunja mkataba na tulifikia makubaliano hayo pande zote mbili. Hivyo nilipata baraka zote kutoka kwa uongozi wa klabu.

Kwa sasa nipo mbioni kusaini mkataba na klabu nyingine kubwa ambako naenda kutumia ujuzi na uzoefu nilioupata kama nilivyoeleza kwenye taarifa yangu kwa umma niliyoitoa tarehe 05/05/2024.

Asanteni.

View attachment 2996745

HATA HATUKUWA TUNAJUA KUWA UPO SINGIDA WALA UMETOKA. WEWE HUNA IMPACT HATUKUFAHAMU NA HATUONI TOFAUTI YOYOTE. NADHANI UMEJISHTUKIA TU NA KUJA NA HUU UZI. HAKUNA ANAYEKUFAHAMU.
 
HATA HATUKUWA TUNAJUA KUWA UPO SINGIDA WALA UMETOKA. WEWE HUNA IMPACT HATUKUFAHAMU NA HATUONI TOFAUTI YOYOTE. NADHANI UMEJISHTUKIA TU NA KUJA NA HUU UZI. HAKUNA ANAYEKUFAHAMU.
Yupo sahihi, ana mission yake pia. Kutambua umuhimu wa jambo alilofanya inategemea na upeo wa mtu, mwingine (kama wewe) inawezekana unashangaa kabisa na huoni kabisa kama kulikuwa na haja.

Kuna kiongozi mmoja wa chama cha soka nchini aliachiwa huru kutoka kifungo cha jela kwa msamaha wa Rais, lakini pamoja na kuwa huru aliendelea na mchakato wa rufaa ya kesi hiyo, na akaja kushinda. Wapo wenye upeo mdogo wa mambo walimshangaa hivyo hivyo, lakini yeye na wenye akili walijua kwa nini amekata rufaa
 
Watu wa Soka,

Umofia kwenu.

Nimekuwa nikipokea SMS nyingi na maswali kwenye mitandao ya kijamii kuhusu nini kimetokea kati yangu na Klabu ya Singida Fountain Gate ambayo nilikuwa naitumikia kama Msemaji na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano.

Kuweka rekodi sawa tu, sijafukuzwa kazi wala hapakuwahi kuwepo mgogoro wowote kati yangu na Klabu. Nimefanya kazi kwa weledi na uadilifu ili kufikia maono ya klabu katika eneo la kuisemea, kujenga mahusiano chanya na kuiweka timu karibu na wadau.

Kilichotokea ni makubaliano tu ya kuvunja mkataba na tulifikia makubaliano hayo pande zote mbili. Hivyo nilipata baraka zote kutoka kwa uongozi wa klabu.

Kwa sasa nipo mbioni kusaini mkataba na klabu nyingine kubwa ambako naenda kutumia ujuzi na uzoefu nilioupata kama nilivyoeleza kwenye taarifa yangu kwa umma niliyoitoa tarehe 05/05/2024.

Asanteni.

View attachment 2996745
Mimi swali langu ni moja tu kwani nyie timu za mikoani malengo yenu yanakuwa nini?
 
Yupo sahihi, ana mission yake pia. Kutambua umuhimu wa jambo alilofanya inategemea na upeo wa mtu, mwingine (kama wewe) inawezekana unashangaa kabisa na huoni kabisa kama kulikuwa na haja.

Kuna kiongozi mmoja wa chama cha soka nchini aliachiwa huru kutoka kifungo cha jela kwa msamaha wa Rais, lakini pamoja na kuwa huru aliendelea na mchakato wa rufaa ya kesi hiyo, na akaja kushinda. Wapo wenye upeo mdogo wa mambo walimshangaa hivyo hivyo, lakini yeye na wenye akili walijua kwa nini amekata rufaa

Ni wewe kwa ID nyingine? Hatumfahamu na hatujui kama alifukuzwa au aliacha coz hakuna tofauti.
 
Watu wa Soka,

Umofia kwenu.

Nimekuwa nikipokea SMS nyingi na maswali kwenye mitandao ya kijamii kuhusu nini kimetokea kati yangu na Klabu ya Singida Fountain Gate ambayo nilikuwa naitumikia kama Msemaji na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano.

Kuweka rekodi sawa tu, sijafukuzwa kazi wala hapakuwahi kuwepo mgogoro wowote kati yangu na Klabu. Nimefanya kazi kwa weledi na uadilifu ili kufikia maono ya klabu katika eneo la kuisemea, kujenga mahusiano chanya na kuiweka timu karibu na wadau.

Kilichotokea ni makubaliano tu ya kuvunja mkataba na tulifikia makubaliano hayo pande zote mbili. Hivyo nilipata baraka zote kutoka kwa uongozi wa klabu.

Kwa sasa nipo mbioni kusaini mkataba na klabu nyingine kubwa ambako naenda kutumia ujuzi na uzoefu nilioupata kama nilivyoeleza kwenye taarifa yangu kwa umma niliyoitoa tarehe 05/05/2024.

Asanteni.

View attachment 2996745


Sikufaham, sikujui, wala sijajua una mgogoro, wewe sio mkubwa kama unavyojiwazia.
 
Taarifa hii ilitakiwa itolewe na mwajiri wako (huyo wa zamani), na sio wewe mwajiriwa. Vinginevyo itakuwa vigumu kuamini kama ulifukuzwa au mlivunja mkataba kwa makubaliano

Sifikirii taarifa yake inamzuia mwajiri wake wa zamani kuelezea kilichotokea, kama ni tofauti na alichokiandika. Ana haki ya kutoa taarifa, ameelezea kwamba, amefikia haya maamuzi baada ya maswali na mijadala mingi kuhusu maamuzi yake ya kuondoka kwenye hiyo club.
 
Jicho la mwerevu huona jambo kabla ya kutokea (Wahenga walisema).

Ukweli ni kwamba, ulipiga picha. Ukaona Singida FG, inaenda kupitia hali ngumu hapo baadae.

Kabla ya msimu kutamatika, ukajitoa na kujiweka sokoni. Wewe ni kama parachichi linalotamani kuliwa. Wakati bado halijaiva, likaamua kujidondosha liminywe minywe mpaka litakapoiva.

Nakutakia kila la kheri kwenye majukumu yako mapya Singids BS.
 
HATA HATUKUWA TUNAJUA KUWA UPO SINGIDA WALA UMETOKA. WEWE HUNA IMPACT HATUKUFAHAMU NA HATUONI TOFAUTI YOYOTE. NADHANI UMEJISHTUKIA TU NA KUJA NA HUU UZI. HAKUNA ANAYEKUFAHAMU.

Aisee Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi kwenye gumu lolote unalopitia Mkuu Komeo Lachuma! Mtu wa maana kabisa wewe.
 
Back
Top Bottom