Hussein Massanza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,016
- 2,195
- Thread starter
- #61
Mimi swali langu ni moja tu kwani nyie timu za mikoani malengo yenu yanakuwa nini?
Kunyoa vipara kama wewe mdau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi swali langu ni moja tu kwani nyie timu za mikoani malengo yenu yanakuwa nini?
Mkuu usemaji si ni ajira? Kwa nini uweke msimamo wa "kiSimba na Yanga". Unaweza kuweka sababu ya huu msimamo?
Sema haumfahamu. Wapenda soka wanamfahamu
Kila lenye heri liwe kwako
Kwa kuwa umeweka public lazima tukuulize sababu ni nini. Usimba na Yanga kwa sababu mtu wa Simba hawezi kamwe kuruhusiwa kufanya kazi Yanga, labda ajitoe akili kama HajiKwahiyo kwa sababu ni ajira tu mtu huwezi kuwa na msimamo? Pia sijaelewa Kisimba na Yanga umemaanisha nini.
Jicho la mwerevu huona jambo kabla ya kutokea (Wahenga walisema).
Ukweli ni kwamba, ulipiga picha. Ukaona Singida FG, inaenda kupitia hali ngumu hapo baadae.
Kabla ya msimu kutamatika, ukajitoa na kujiweka sokoni. Wewe ni kama parachichi linalotamani kuliwa. Wakati bado halijaiva, likaamua kujidondosha liminywe minywe mpaka litakapoiva.
Nakutakia kila la kheri kwenye majukumu yako mapya Singids BS.
HATUMFAHAMU MAANA HATA MTOTO WANGU MPENDA SOKA. ANASEMA HAJAWAHI MSIKIA, NA MKE NAYE. SO HATUMFAHAMU. HII NI ID YAKE NYINGINE?Sema haumfahamu. Wapenda soka wanamfahamu
Kwa kuwa umeweka public lazima tukuulize sababu ni nini. Usimba na Yanga kwa sababu mtu wa Simba hawezi kamwe kuruhusiwa kufanya kazi Yanga, labda ajitoe akili kama Haji
Ume mind mkuu unatakiwa ujibu swali sio kujibu kwa jazba kama vile hukuwa msemaji mwadilifuKunyoa vipara kama wewe mdau
Ume mind mkuu unatakiwa ujibu swali sio kujibu kwa jazba kama vile hukuwa msemaji mwadilifu
Vyema kabisa!Kunyoa vipara kama wewe mdau
Lakini hapo kejeli iko wapi unatakiwa kuwa mstahamilivu kama ukiwa kwenye press ndio maana mnafeli mnageuka vituko badala ya weledi wasemaji au mafsa habari wa ajabu unawapa tanzania hawana tofauti na mashabiki wa vijiwe vya kahawa!Swali likiulizwa kwa kejeli linastahili kujibiwa kwa kejeli mkuu wangu
Lakini hapo kejeli iko wapi unatakiwa kuwa mstahamilivu kama ukiwa kwenye press ndio maana mnafeli mnageuka vituko badala ya weledi wasemaji au mafsa habari wa ajabu unawapa tanzania hawana tofauti na mashabiki wa vijiwe vya kahawa!
NIlijua utajibu vile sababu huwa mnajigeuza makocha wachezaji hapo hapo wapiga ngoma mtaani na vijisipika unategemea utajibu nini ukiulizwa malengo yenu!😅😅😅😅 mbona wewe hujawa mstahamilivu? Nimekujaribu kidogo tu umezidi kumwaga kashfa na kejeli. Kumbe nilikuwa sahihi
NIlijua utajibu vile sababu huwa mnajigeuza makocha wachezaji hapo hapo wapiga ngoma mtaani na vijisipika unategemea utajibu nini ukiulizwa malengo yenu!
kwani ulikuwa msemaji wa kilabu cha uganda nyote sitaili yenu moja role model wenu haji manara!Mimi sifanyi yote hayo kama kuna unayemlenga mtaje tu
Sawa mkuuSwali likiulizwa kwa kejeli linastahili kujibiwa kwa kejeli mkuu wangu
kwani ulikuwa msemaji wa kilabu cha uganda nyote sitaili yenu moja role model wenu haji manara!
Haya katulie tunangoja uitwe hiyo timu sijui ni ipi kati ya simba ,yanga ,coastal!Looh sawa