Sikufukuzwa kazi Singida Fountain Gate, nilivunja mkataba kwa makubaliano

Mkuu usemaji si ni ajira? Kwa nini uweke msimamo wa "kiSimba na Yanga". Unaweza kuweka sababu ya huu msimamo?

Kwahiyo kwa sababu ni ajira tu mtu huwezi kuwa na msimamo? Pia sijaelewa Kisimba na Yanga umemaanisha nini.
 

Asante sana mkuu ila mbona umenifananisha na parachichi daah πŸ˜…
 
Kwa kuwa umeweka public lazima tukuulize sababu ni nini. Usimba na Yanga kwa sababu mtu wa Simba hawezi kamwe kuruhusiwa kufanya kazi Yanga, labda ajitoe akili kama Haji

Ooh sawa. Nilipata ofa kutoka Ihefu lakini haikunivutia nikaachana nayo. Ndio maana nikasema sitakuja kuisemea maana wengi walidhani kituo kinachofuata ni Ihefu.
 
Swali likiulizwa kwa kejeli linastahili kujibiwa kwa kejeli mkuu wangu
Lakini hapo kejeli iko wapi unatakiwa kuwa mstahamilivu kama ukiwa kwenye press ndio maana mnafeli mnageuka vituko badala ya weledi wasemaji au mafsa habari wa ajabu unawapa tanzania hawana tofauti na mashabiki wa vijiwe vya kahawa!
 
Lakini hapo kejeli iko wapi unatakiwa kuwa mstahamilivu kama ukiwa kwenye press ndio maana mnafeli mnageuka vituko badala ya weledi wasemaji au mafsa habari wa ajabu unawapa tanzania hawana tofauti na mashabiki wa vijiwe vya kahawa!

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… mbona wewe hujawa mstahamilivu? Nimekujaribu kidogo tu umezidi kumwaga kashfa na kejeli. Kumbe nilikuwa sahihi
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… mbona wewe hujawa mstahamilivu? Nimekujaribu kidogo tu umezidi kumwaga kashfa na kejeli. Kumbe nilikuwa sahihi
NIlijua utajibu vile sababu huwa mnajigeuza makocha wachezaji hapo hapo wapiga ngoma mtaani na vijisipika unategemea utajibu nini ukiulizwa malengo yenu!
 
NIlijua utajibu vile sababu huwa mnajigeuza makocha wachezaji hapo hapo wapiga ngoma mtaani na vijisipika unategemea utajibu nini ukiulizwa malengo yenu!

Mimi sifanyi yote hayo kama kuna unayemlenga mtaje tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…