Sikujua kama presha ikipanda kuishusha Ni kazi tofauti Na kupandisha presha iliyoshuka

Sikujua kama presha ikipanda kuishusha Ni kazi tofauti Na kupandisha presha iliyoshuka

Pole kwa wifi..hyo ni hatari...japo anaweza kuonekana yupo normal anafanya kazi zake n.k ila humo ndani injini imechemka hatarii...
Thanks a lot on behalf dear, tatizo ni msiri sana huwa hasemagi mpaka aje kusema basi ameshikwa sana yaani. MUNGU atusimamie tu my dear.
 
Thanks a lot on behalf dear, tatizo ni msiri sana huwa hasemagi mpaka aje kusema basi ameshikwa sana yaani. MUNGU atusimamie tu my dear.
Mungu ni mwema..atakaa vizuri kikubwa azingatie mlo..maji..mazoezi kidogo kidogo
..
 
Habari za Leo wakuu
Nimerealize presha YA kupanda is the worst Kuliko ya kushuka ...no siku YA 4 Leo napambana presha haijakaa Sawa nilipima ilikua 140 Kwa 89 Kuna Dawa nlipewa inaitwa amlodipine nilivotumia hoi Dawa nlizidi kujiskia Vibaya nikaamua kuiacha nkawa natumia vitunguu swaum lakini naona bado sijatengamaa..........kipindi presha ilivokua ikishuka nlikua nakoroga mchanganyiko wa chumvi Na sukari within minutes nakaa Sawa lakini Hii ya kupanda naona kushuka Ni mbinde
Pole Sana, pambana na Lishe itakaa sawa binafsi nimepata Msaada mkubwa Sana na hawa wanaitwa Happy Gut ingia Facebook page utawapata utajifunza Lishe, kupambana na stress na mazoezi.
 
Shukran sana kiongozi, tatizo ni msiri sana kuna vitu huwa mgumu kuvisema hata kama vinamuumiza deep inside.

Mpaka hali iwe mbaya sana ndio utakuta anakueleza hilo jambo mkuu. Binafsi huwa anasema yeye yupo sawa tu ila akienda kupimwa unakuta hayupo sawa kabisa, siku akisema hayupo vizuri basi anakuwa kwenye hali mbaya na huwa anamaanisha kabisa.
Hivi unajuaje kama una presha mkuu ?

Achilia mbali kutumia stethoscope kupima presha na kuona yale manambanamba je mbsli na hiko kipimo na hayo manamba ungrjijuaje kama una presha ?
 
Habari za Leo wakuu
Nimerealize presha YA kupanda is the worst Kuliko ya kushuka ...no siku YA 4 Leo napambana presha haijakaa Sawa nilipima ilikua 140 Kwa 89 Kuna Dawa nlipewa inaitwa amlodipine nilivotumia hoi Dawa nlizidi kujiskia Vibaya nikaamua kuiacha nkawa natumia vitunguu swaum lakini naona bado sijatengamaa..........kipindi presha ilivokua ikishuka nlikua nakoroga mchanganyiko wa chumvi Na sukari within minutes nakaa Sawa lakini Hii ya kupanda naona kushuka Ni mbinde
Nani aliyekuongopea (140/89)mmhg pressure yako ipo juu?
 
Mkuu. BICHWA KOMWE - naomba uweke japo neno hapa kuhusu huu ugonjwa wa presha A.K.A hypertension.

Binafsi naona kama kuna kitu sikielewi kuhusu presha wanasema haina dawa ya kuponesha kabisaa ila dawa za kupunguza zipo.
 
Back
Top Bottom