Sikujua kichaa anayelala nje ya jengo langu ni mpelelezi anayemtafuta gaidi wa Kizungu niliyemuoa bila mimi kujua ni gaidi

Sikujua kichaa anayelala nje ya jengo langu ni mpelelezi anayemtafuta gaidi wa Kizungu niliyemuoa bila mimi kujua ni gaidi

SIKUJUA KICHAA ANAELALA NJE YA JENGO LANGU NI MPELELEZI ANAEMTAFUTA GAIDI WA KIZUNGU NILIYEMUOA BILA MIMI KUJUA NI GAIDI😳🔥
Sehemu ya Kwanza ( 1 )
***************

KILA Mtu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

Ilikuwa takribani siku nne zimekatika tangu nianze kumuona mwanaume kichaa nje ya jumba langu akiwa ameketi na makorokoro yake, siku ya kwanza niliogopa kidogo kwani alilala hapo na makorokoro yake mpaka kukakucha, siku ya pili pia alifanya hivyo lakini siku ya tatu nilianza kumuhisi vibaya maana vichaa wengi wamekuwa wakitumiwa na majambazi katika kazi zao atakuja karibu na nyumba yako atapiga kambi wewe utajua ni kichaa kumbe ni msoma ramani. Basi nikataka kwenda kunfukuza lakini roho yangu ilisita kwa woga kwani sura yake ilikuwa inatisha vibaya mno, rundo la nywele chafu lilijikusanya kichwani mwake na isitoshe alikuwa anavuta mamisokoto sijui ni bangi au ni gonzo mwenzenu nikajihami hata kumsogelea.

Basi bwana usiku wa siku hiyo kulinyesha mvua kubwa sana, mvua ilipokatika nikatoka nje na tochi kuzunguka nyumba yangu niangalie usalama maana sikuwa na mlinzi bali nilikuwa naishi mimi tu na mke wangu Clara ambaye ni mzungu, naye tulikutana tu hotelini miezi miwili iliyopita nikiwa kwenye safari zangu za kikazi nikamtongoza akaubali basi nikamkaribisha kwangu na mabegi yake niishi naye wakati tukiendelea kufanya mchakato wa kwenda kutambulishana kwa wazazi. Sikukagua mabegi yake kwani sisi waafrika mila zetu ni mwiko kukagua mabegi ya mgeni japo yalikuwa chumbani kwangu.

Basi bwana wakati nazunguka nyumba yangu huku nikitembeza mwanga wa tochi huku na kule ghafla nikamuona yule kichaa akiwa amekaa palepale anapopenda kukaa na alikuwa amenyeshewa na mvua vibaya mno, nikasema potelea mbali hata awe jambazi siwezi kuruhusu binadamu mwenzangu ateseke vile mimi nimelala ndani, kama anaiba aibe tu, mali hizi ni za kutafuta na tutaziacha duniani. Kwanza angekuwa jambazi asingekubali anyeshewe vile yule ni mwendawazimu" Nilijisemea nafsini mwangu na kwa huruma nikaenda kumchukua, lakini kuna kibegi chake chakavu na kilikuwa kimeloana sana aliking'ang'ania licha ya kumtaka akitupe lakini alikataa katakata, nikaona kubishana na chizi ni kujipa kazi nikamchukua vile vile na kibegi chake, nilienda kumuogesha vizuri bila kujali kwani wote ni wanaume, nilimpa nguo zangu safi avae usiku ule kisha nikamuonyesha chumba alale, aliingia chumbani na hakutaka kuachia kibegi chake nilijiuliza "Kwani hicho kibegi kina nini mbona huyu kichaa hataki kukiachia" nilijiuliza sana lakini mwisho niliona ni tabia ya vichaa kung'ang'ania vitu wanavyovipenda.

Basi nilipohakikisha yule kichaa Kalala na mimi nikarudi chumbani kwangu alipo Clara mke wangu ambapo alikuwa amelala tangu mchana, nilipoingia chumbani nikamkuta anajiandaa maana kuna baadhi ya siku alikuwa akitoka usiku kwa madai ya kwamba anaenda kumpa kampani rafiki yake wa kike kule hotelini asibaki mpweke nami sikuwa namkatalia maana huyo rafiki yake ambaye walikuwa wanakaa naye hotelini ndiye aliyeniruhusu niishi naye na hata siku nilipotoka safarini na Clara tulikuja na rafiki yake lakini yeye alifikia hoteli ya mtaa wapili na kwangu. Alidai ana mtu wake mara kwa mara anamtembelea hivyo anataka amkute hotelini na si kwa mtu.

Basi Clara alipoondoka usiku ule nikabaki na maswali kichwani mwangu." Huyu mwanamke licha ya mvua yote hii kunyesha lakini hajaona haja ya kulala hivi ni kweli huwa anaenda kwa rafiki yake? Na begi lake dogo kabeba mbona hili kubwa limetiwa kufuli kuna nini ndani yake? Mh🤔 huku kukaribisha watu usiowafahamu vizuri ndani na mabegi huku hapana?" Niliwaza kisha nikaenda kuchukua plaizi ili nivunje lile kufuli nione ndani ya begi kuna nini halafu nirudishie kufuli kitaalam maana kazi hizo niliziweza.

Basi nikahangaika na kufuli mpaka likachomoka. Nikaanza kufungua nzipu taratibu huku mikono ikinitetemeka, ile natupia macho ndani ya begi😳 ghafla moyo wangu ulipasuka paaa mithili ya ukuni mkavu baada ya kuona slaha kali za kivita ambazo toka nizaliwe sijawahi kuziona. Macho yalinitoka 😳 kama dudumizi lilikabwa na kiazi cha moto kooni, ghafla uso wote ukaloa jasho licha ya chumba changu kuwa na kiyoyozi.. haraka nika.....

Niliyenda kuchukua plaizi ili nivunje lile kufuli kwenye begi la Clara ili nione ndani ya begi kuna nini halafu nirudishie kufuli la watu kitaalam maana kazi hizo niliziweza. Basi nikahangaika na kufuli mpaka likachomoka. Nikaanza kufungua nzipu taratibu huku mikono ikinitetemeka mithili ya mtu aliyeshika kambale ambaye bado yupo hai, basi ile tu natupia macho ndani ya begi😳 ghafla moyo wangu ulipasuka paaa mithili ya ukuni mkavu baada ya kuona slaha kali za kivita ambazo toka nizaliwe sijawahi kuziona. Macho yalinitoka 😳 kama dudumizi lilikabwa na kiazi cha moto kooni, ghafla uso wote ukaloa jasho licha ya chumba changu kuwa na kiyoyozi.. haraka nikaanza taratibu za kulirudishia lile kufuli kwa utaalam zaidi lakini wakati huo mtungo wa mawazo yalikuwa yakipenyeza kichwani kwangu sio kawaida.

"Mh huyu mwanamke anafanya kazi gani, mbona ana silaha kali hivi? au ni jambazi lakini mbona ni mpole vile na sura yake imejaa utashi wa kimahaba kiasi kile, hapana pengine kuna mtu anamtumia lakini jambazi hawezi kuwa na sura tamu kiasi kile" Niliongea mwenyewe kimoyomoyo na kujijibu mwenyewe kiufupi nilikuwa nimepagawa. "Lakini pengine huyu Clara ni jambazi nisijipe moyo kwa upole wake na mapenzi anayonipa kitandani nikamuona ni mwema laaaa hasha ! Hata simba ni hatari sana lakini kwenye mapenzi anatulia kama maji mtungini, hapa nisijipe moyo Brighton nimeangukia kwenye penzi la jambazi yani nimeyakanyaga kama sio kuyatimba" nilijisemea baada ya kumaliza kurudishia kufuli kwenye lile begi.

Nikakaa kitandani kisha nikavuta pumnzi ndefu na kushusha huku mkono ukiwa shavuni kwa mawazo "Mh na huyu kichaa ni kichaa kweli au geresha, kichaa gani anakubali kuogeshwa na apewe nguo nyingine avae bila kuleta utata wowote, sasa mbona na kile kibegi chake chakavu kilichonyeshewa na mvua ameking'ang'ania? kina nini ndani yake? Mbona sura yake ni kama mzungu chotara?

Kuna kitu si bure🤔 huenda ikawa huyu kichaa ni mpelelezi maana ndio kawaida yao unalikuta jitu linajidai chizi kumbe lipo kazini usione minywele ile ukasema chizi hapana ni askari wa usalama aliambiwa afuge manywele na mandevu maana kuna kazi anatakiwa kupewa miaka miwili badae hivyo anatakiwa awe katika muonekano wa kichaa. Inawezekana kabisa na huyu ni mpelelezi, anampeleleza Clara. Jamani Bryhton mimi si nitaambiwa nashirikiana na Clara wakati sijawahi kuiba hata kuku?" Niliwaza huku moyo ukinidunda vibaya mno.

Basi usiku huo wa manane nikatoka chumbani kwangu taratibu kwa mwendo wa kinyonga, nikaenda kusimama mlangoni mwa yule kichaa na kuaikilizia, nilimsikia akkoroma hapo nikabaini Kalala, basi nikajaribu kufungua mlango ajabu mlango ulikuwa umefungwa kwa ndani na funguo, kidogo nikashangaa na kujiuliza " kichaa gani anafunga mlango kwa ndani au kuna taarifa gani anaficha zisijulikane?" Hapo nikagundua yule si kichaa bali ni mtu maalum katika kitengo maalumu. Basi nikajiongeza kuchungulia ndani kupitia tobo la kuingizia funguo.

Kumbe alifunga mlango na kutoa funguo mlangoni, hapo nikasema yes acha nikachukue funguo ya ziada nifungue taratibu mlango wa huyu kichaa, nichukue kile kibegi nione ndani yake kuna nini ili kujihakikishia kwamba naishi na watu wa aina gani ndani ya nyumba yangu. Nikafanya hivyo hatimaye nikafanikiwa kuingia ndani ya chumba kile..... Jamani Nyieeee..... Nyiee acheni tu kwani baada ya kuzama ndani haraka nika.

" Mh kichaa gani anaetambua kwamba muda wa kulala mlango unatakiwa ufungwe kwa ndania? 🤔Hapana huyu si kichaa bali kuna kitu au ama taarifa anaficha zisijulikane?" Niliwaza na hapo nikagundua yule si kichaa bali ni mtu maalum katika kitengo maalumu na kujifanya kote ni kichaa si kichaa bali pale yupo kazini. Basi mimi nikajiongeza kuchungulia ndani kupitia tobo la kuingizia funguo. Kumbe alifunga mlango na kutoa funguo mlangoni, hapo nikasema yes acha nikachukue funguo ya ziada nifungue taratibu mlango wa huyu kichaa, nichukue kile kibegi nione ndani yake kuna nini ili kujihakikishia kwamba naishi na watu wa aina gani ndani ya nyumba yangu.

Nikafanya hivyo hatimaye nikafanikiwa kuingia ndani ya chumba kile, huku nikitetemeka. Mara ghafla akaacha kukoroma😳 haraka nikakichukua kile kibegi na kutoka nacho nje taratibu kisha nikasimama pale mlangoni kwa muda kidogo nikisikilizia kama ataamka ama laa, mara akaanza tena kukoroma, taratibu nikaufunga ule mlango kwa nje na funguo. Haraka nikaelekea chumbani na kile kibegi chakavu ambacho hata mtoto wa fukara hawezi kubebea madaftari maana kilichakaa mno.

Basi nilipofika chumbani nikaketi Kitandani na kukifungua kile kibegi, kwanza nilikuta mfuko wa plastick uliofungwa, hapo nikagundua mfuko ule ni kwaajili ya kuzuia mvua isiloanishe vitu vilivyopo ndani yake. Nikautoa ule mfuko nje na kuufungua, kwanza nilishangaa 😳 kukuta simu na vitabu viwili, kimoja likiwa ni cha katiba ya America. Nikaikagua ile simu ilikuwa na paswed na iliwekwa vibration, bado tomaso nikaendelea kukagua zaidi ndani ya kile kitabu cha katiba, nilikuta picha ya yule kichaa akiwa amevalia gwanda la Marekani lenye nyota tano, na alikuwa nazifu huwezi kumdhania.

Tomaso niliendelea kukagua huku mikono ikinitetemeka mithili ya mgonjwa wa degedege, nikakuta vitambulisho vingi, usalama wa Taifa na vitengo vingi ambavyo yule kichaa alipitia akiwa kama mtumishi Marekani, nikakuta pasport ya kusafiria na nakala kadhaa. "Mh Mungu wangu yani vitu vyote hivi muhimu asiwe na hata bastola ya kumlinda je akivamiwa maana vyote ni Orginal na sio copy🤔 au bastola kaitoa akaweka uvunguni? Inawezekana" Niliwaza huku nikiendelea kupekua pekua.

Na ndipo ghafla😳 nikakutana na picha ya Clara imewekewa X na kwa nyuma iliandikwa "most wanted" yani anatafutwa kwa udi na uvumba, pia nikaona karatasi inayomuelezea Clara, macho yalinikodoka 😳 huku nikisoma, looo kumbe Clara ni jambazi kuu lililoua mamia ya watu nnchini Marekani yeye na mwenzake, pia akavunja mabenki mengi na kuiba pesa nyingi lakini haitoshi akamuua mtoto wa mbunge wa jimbo la California na ndipo akamua kutoroka yeye na mwenzake na inasemekana walitoroka na silaha kali walizoziiba kwenye kambi ya jeshi la kimarekani, Dah hakika nilikosa nguvu maana ni dhahiri zile silaha kwenye begi la Clara ndizo zilizoibiwa kwenye kambi ya jeshi la kimarekani.

"Mh Bryhton mie sasa nimeingia mkenge huku kushobokea wazungu hovyo na kukaribisha watu nisiowafahamu kwa undani nyumbani kwangu sasa kumeniweka pabaya sijui nifanyaje?🤔" Niliwaza na hapo nikaamua nirudishe taratibu vitu vya yule kichaa chumbani kwake maana alionekana ni mtu hatari sana, kabla sijaamka kitandani pale nilipoketi ili nirudishe vitu vya watu mara 😳 nikamsikia akiongea kwa jazba chumbani kwake tena kwa kingereza "aaaa! Nimeibiwa aaaa hapana haiwezekani" aliongea mwenyewe huku akifungua ule mlango wa chumba chake kwa ufunguo kwani alikuwa na funguo yake tofauti na ile yangu ya ziada niliyotumia kwenda kuchukua kibegi chake ili nimpekue.

Wakati anafungua mlango wake, haraka nikakitupia kile kibegi uvunguni kwangu huku nikitetemeka mpaka meno. Mara nikamsikia akitembea kwenye korido ya kuja chumbani kwangu. Mweee! Mweee ! Mweee Nilizidi kutetemeka na kuhisi haja kubwa ghafla, mara mlango wa chumba changu ukagongwa 😳 hapo nika...

Acheni nirudi maana ingekuwa ni wewe tayari ungeshajinyea walahi?
Unajua nini kiliendelea hakikisha unapomaliza kusoma unalike na kucoment ili usipitwe na moto huu🔥🔥🔥🔥🔥

Muendelezo soma: Sikujua kichaa anayelala nje ya jengo langu ni mpelelezi anayemtafuta gaidi wa Kizungu niliyemuoa bila mimi kujua ni gaidi
Uandishi wako umepoteza uhalisia maeneo mengi
 
Title ni kama imeshaeleza story nzima , ungeiweka kinamna hivi
Nikichokiona nikuwa title imeeleza kilakitu afu na yeye anaelezea. Nilizan kwenye story hasa hapa sehem ya kwanza tutakuwa tunasoma kitu kingine kbsa kisichoendana na title. Nikama unaweka tu movie unakuta vita ni kaliii sana [emoji1]
 
SIKUJUA KICHAA ANAELALA NJE YA JENGO LANGU NI MPELELEZI ANAEMTAFUTA GAIDI WA KIZUNGU NILIYEMUOA BILA MIMI KUJUA NI GAIDI[emoji15][emoji24] 29&30

Wakati usingizi unataka kunipitia ghafla[emoji15]tukashtuliwa na mingurumo ya simba[emoji881]haraka tukakurupuka na kutoka usingizini, ile natupa jihcho kulia na kushoto, nilishangaa [emoji15] kuona tumezungukwa na simba wengi mno wasio na idadi, haraka wote tukashika bunduki huku simba [emoji881]wakizidi kunguruma na kutusogelea "Jamani[emoji15] tusijaribu kumpiga simba hata mmoja risasi, hapo tutakuwa tumeyakanyaga maana watazidi kupata hasira, cha msingi tulipue risasi angani wakisikia milio ya risasi wataogopa na kurudi nyuma" Nilitoa wazo, na wote tukanza kulipua risasi angani kwa pamoja huku zikitoa milio mikubwa sana iliyowafanya simba[emoji881]waingiwe na woga waanze kurudi nyuma lakini kumbe kile milio ya risasi ni kama ilikuwa inawaita simba wengine ambao wapo mafichoni, ghafla ndani ya eneo lile tulizungukwa na simba wengi kama utitiri. "Jamani hapa tukicheza wote tunaishia kwenye midomo ya simba, mimi hapa nilipo nina mabomu matano, tutumieni bomu moja kuwalipua hawa simba, najua msitu utangua lakini mwanga wa moto utatusadia kuona gizani haya wote kaeni tayari kwa kukimbia,alisema mwanajeshi mmoja kisha akatoa bomu kwenye kibegi chake, haraka mwanajeshi mwingine mwenye mwili wa miraba minne akamuweka Clara mabegani kwake[emoji123]baada ya hapo yule mwanajeshi aliyeshika bomu akaling'ata na kulirusha katikati ya wale simba, simba walipoona moto[emoji91]kila mmoja alisambaratika nakutafuta chaka, hapo na sisi tukapata upenyo wa kuanza kukimbia[emoji2089]

Jamani wanajeshi[emoji3167]‍[emoji439]wanakimbia nyie acheni tu, yani waliniacha mbali kabisa huku nikiwa nakimbia na bunduki yangu mkononi, ghafla nilishtukia nakimbizwa na dume la simba[emoji881] niligeuka haraka[emoji15] na kuanza kulimiminia risasi za uso, kwa bahati nzuri zile risasi zililenga kwenye macho, yule simba [emoji881] akapoteza muelekeo na kudondoka chini hapo nikaongeza mbio[emoji2089] na kuwafikia wenzangu japo pumzi ilikuwa imenibana lakini sikuwa na jinsi niliendelea kukimbia nao kwani ningesema nibweteke wangeniacha msituni, tulikimbia usiku kucha na hatimaye tukaucha moto mbali sana, hatimaye tulifika sehemu ambayo ni nyika yani tambarare, ikabidi tupumzike kwanza maana nilikua nimechoka mithili ya punda aliyebebeshwa magunia sita ya kokoto kwenye safari ya mbali, ile nakaa tu chini palepale nikapoteza fahamu[emoji17] Wanajeshi walinipa huduma ya kwanza mpaka fahamu zikarejea, nilipozinduka niliwakuta wananisifia kila mmoja akiongea lake "Lakini huyu mtanzania yupo vizuri amejitahidi sana japo hajapitia jeshi[emoji2] angekuwa ni raia mwingine tayari angeshapoteza maisha, hivyo basi kwa juhudi zake alizoonyesha wote tunamchagua kuwa kapteni wa hii safari mpaka mwisho[emoji3167]‍[emoji439], hatimaye wakanichagua kuwa kapteni wao.

Basi bwana tukapumzika pale kwa masaa kadhaa, huku njaa zikisokota utumbo vibaya mno kiasi kwamba ilifikia wakati kila mmoja akakaa kimya shauri ya njaa [emoji3] yani ukimtazama Clara usoni alikuwa anatia huruma, moyoni nikasema "kama njaa tu ndio anatia huruma hivi je hayo mateso atakayoenda kupewa Marekani itakuwaje?" Basi baada ya kupumzika vya kutosha tuliendelea na safari katika nyika ile, huku mzigo wetu ukiwa ni Clara, tulimbeba kwa kupokezana na kuna wakati tuliwaza tumuulie kulele maana tulikuwa tumechoka sana huku njaa zikiwa zinatutesa lakini mimi kapteni nikawashauri wenzangu na kuwatia moyo kwamba lazima tumfikishe Marekani, maana ni most wanted yani gaidi anayetafutwa mpaka na serikali na anatakiwa apatikane akiwa hai hivyo tukimuua tutakuwa tumefanya kazi bure na serikali haitatuamini kwamba tumemuua pia nikawa mawaza kimoyomoyo baada ya kutoa ushauri kwa webwenzangu "Hata hivyo tukimuua Clara nitayakosa maokoto[emoji389] yangu niliyoahidiwa na Mr. Michael na yale ambayo ningeyapata kwa mkuu wa vikosi vya jeshi Marekani, basi tukatembea kwenye mbuga kwa takribani siku nne bila kunywa wala kula kitendo ambacho kilisababisha kuwapoteza wanajeshi watatu wa kike kwa kifo [emoji24] baada ya kuzidiwa na njaa, iliniuma sana kwani mmoja kati yao waliokufa alikuwa ananipenda sana[emoji7] licha ya kwamba tulikutana kwa muda mfupi tena katika kipindi kigumu na tukaahidiana tukimaliza kazi tutafuta muda tuongee ila ndio hivyo tena Mungu akamchukua hata kabla hatujamaliza kazi[emoji24] ama kweli kazi ya jeshi yataka moyo.

Basi kwa ubinadamu wa kijeshi, tulizibeba maiti za wenzetu licha ya kwamba tulikuwa tumechoka sana na maiti zilikuwa nzito balaa lakini tulijikaza na kuendelea na safari[emoji123] Hatimaye tukafika sehemu simu zetu wote zikasoma mtandao, lakini iliupige simu Marekani ni lazima uwe na bando, kwa bahati mbaya wote hawakuwa na bando isipokuwa mimi ambaye nilikuwa na mb 5 nazo zisingetosha kuwasiliana na watu wa Marekani, nikawaza nitumie mbinu gani ili tufanikiwe kuwasiliana na watu wa marekani[emoji848] nikapata wazo, nikatumia zile mb 5 kudownlod file la VPN kisha nikaconet ili nitumie internet ya bure, hatimaye nikafanikiwa[emoji1] wenzangu walishangilia[emoji119] na kunikumbatia mithili ya mchezajj aliyefunga goli dakika ya tisini kwenye fainali ya kombe la dunia. Hatimaye tukawasiliana na mkuu wa vikosi vya jeshi Marekani, alifurahi sana kusikia tupo hai lakini alihuzunika [emoji17] baada ya kumwambia wenzetu watatu wamefariki[emoji24], hata hivyo tuliirejesha furaha yake baada ya kumwambia gaidi Clara bado tunaye, aliahidi tusiondoke sehemu tulipo watatumia location pamoja na darubini za kijeshi kututafuta, na kweli baada ya masaa mawili kupita wote tulitabasamu[emoji3] na kushangilia baada ya.......

Meza kwanza mate ndo tuendelee usije ukapaliwa[emoji23][emoji1787][emoji119]

USIPITE BILA KUACHA LIKE NA COMENT YAKO ILI NIKUITE SEHEMU IJAYO[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
HAPA NDIO MWISHO WA SEASON 01

SEASON TWO IPO KWA SH 1000
0784468229
 
SIKUJUA KICHAA ANAELALA NJE YA JENGO LANGU NI MPELELEZI ANAEMTAFUTA GAIDI WA KIZUNGU NILIYEMUOA BILA MIMI KUJUA NI GAIDI[emoji15][emoji24] 31

Tulikaa pale kwenye ile mbuga kwa takribani masaa mawili, huku jua kali likitukaanga vilivyo[emoji17] kwani eneo lile lilikuwa ni eneo la uwanda wa tambarare hakukuwa na mti hata mmoja wa kujinga na kivuli. Tulikaa kwa takribani masaa mawili mara ghafla[emoji15] tukashangaa kuona helcopter [emoji576] tatu zikizunguka angani kama vile zinataka kutua katika eneo lile, mwanajeshi mmoja akatoa darubini yake[emoji327] kwenye begi lake na kuzichunguza zile ndege angani, "Jamani ni ndege za kijeshi za Marekani, nao wanazunguka angani wakitutafuta kwa darubini oneni," alisema yule mwanajeshi, nikaichukua ile darubini kisha na mimi nikachunguza angani ili nijionee mwenyewe[emoji1] laaaa haulaaa kweli zilikuwa ni ndege za kijeshi za jeshi la Marekani, wote tulianza kushangilia mithili ya mashabiki ambao timu yao imesawazisha goli dakika ya 80 na kuongeza goli katika dakika za nyongeza[emoji2]. Wakati huo Clara alikuwa amenuna, uso wake ulipoteza nuru na furaha kabisa, ile haiba ya uzuri wa sura yake ulipotea kabisa, alikuwa amenuna[emoji17] mithili ya mtu aliyesikia jirani yake aliyemzidi maendeleo yupo hoi kitandani kama sio wa leo wa kesho, basi mtu huyo akawa anazunguka kutangaza mitaani kwamba mwaka huu jiranj yake hatoboi lakini ajabu baada ya wiki kadhaa anashangaa[emoji15] kumuona jirani yake anadunda barabarani ndio mfano wa Clara, aliombea tufie wote msituni baada ya kuona eneo tulipo hamna mtandao, na hata tulipomgeukia Mungu na kumuomba atuokoe yeye alikuwa anacheka, Mungu akaamua kumuonyesha kwamba yeye ni muweza wa kila kitu akaamua kumuaibisha waziwazi. Basi bwana hatimaye helcopter[emoji576] zile zikafanikiwa kutua, makomando[emoji3167]‍[emoji439]wale wa jeshi la Marekani walituletea chakula[emoji478] pamoja na maji, hapo tukaanza kula wakati huo wao wakiendelea kuipakia kwenye helcopter ile miili ya wanajeshi watatu waliokufa tukiwa njiani.

Clara alikuwa anakula huku akiwa na mawazo, hata kumeza chakula kwake ilikuwa tabu na chakula chenyewe alipewa tu kusudi asije akafa njiani kabla hajafikisha kwenye kambi ya jeshi la Marekani, alikula huku machozi yakimtiririka[emoji24] nadhani alikuwa anajutia madhambi yake aliyoyafanya hakutegemea kwamba arobaini yake ingefika angali bado ni msichana mdogo kabisa tena mrembo kupindukia, basi tulipomaliza kula Clara akachukuliwa na kurushwa ndani ya helcopter kisha na sisi tukapanda na hapo rubani akaianza safari, tulichana mawimbi angali kwa takribani masaa mawili na nusu, hatimaye tukafanikiwa kufika kwenye uwanja wa mazoezi wa kambi ya jeshi la Marekani, vikosi vya majeshi vilikuwa vimejaa uwanjani kwa ajili ya mapokezi yetu,yani kitendo cha helcopter niliyopanda kutua chini pale mlangoni kulitetwa redi capet ambayo ilikuwa inaenda moja kwa moja mpaka kwenye jukwaa kuu walipo viongozi wakubwa wa vikosi vya jeshi. Nikashuka kwenye helcopter[emoji576] na kuanza kutembea kwenye red capet kuelekea kwenye jukwaa kuu huku kulia kwangu na kushoto kwangu wakiwa wamejipanga wanajeshi wananipigia saluti[emoji3167]‍[emoji439] nilipokuwa napita kuelekea jukwaa kuu. Nilisalimiana na viongozi wakubwa wa kijeshi jukwaani kisha nikakaa kwenye kiti nilichoandaliwa. Mkuu wa vikosi vya jeshi alipewa maiki na Mc atoe tamko lake baada ya sisi kufika salama kwenye kambi ya jeshi.

Mkuu wa vikosi vya jeshi alishika maiki kisha akawasalimia wanajeshi wote waliokuwepo pale akaniita mbele, "huyu ndiye shujaa wetu aliyehakikisha anapambana kwa akili mpaka tukafanikisha kumnasa gaidi mkuu wa kiitaliano aliyetesa taifa letu Clara Agustino, pongezi kwake[emoji3167]‍[emoji439]" alisema mkuu vya vikosi vya jeshi kisha wanajeshi wote wakanipigia saluti kwa pamoja kisha nikapewa maiki nijitambulishe mbele ya vikosi vya jeshi na niseme chochote angalau kwa uchache. Nikaichukua maiki na kuanza kuongea huku mkuu wa vikosi vya jeshi akiwa amesimama pembeni yangu. "Mimi naitwa Brighton Lymo ni mtanzania ambaye nilijitolea kumsaidia kichaa aliyekuwa ameweka kambi nje ya nyumba yangu jua lake mvua yake lakini kwa ubinadamu nikaona si vizuri nimuache aendelee kuteseka nnje kwangu na jua pamoja na mvua hali ya kuwa nina nyumba kubwa hapo nikaamua kumsaidia kibinadamu kwani pesa na mali ni vitu vya kupita tu lakini badae nikagundua kichaa huyo ni askari mpelelezi na pale nje kwangu alikuja kwa ajili ya kufanya upelelezi dhidi ya Mwanamke jambazi niliyekutana naye kwa muda mfupi nikaanza kuishi naye bila hata kumchunguza kumbe ni gaidi la kimataifa mimi siju...." Kabla sijamalizia kuongea ghafla[emoji15] mkuu wa vikosi vya jeshi akatandikwa risasi ya kichwa, ubongo pamoja na damu vikanirukia, kabla sijakaa sawa nikakoswa koswa na risasi ya shingo, weeee wanajeshi wote walikimbilia ndani ya mahandaki kujificha maana hakuna aliyegundua huyo sniper aliyekuwa alisimama kwa wapi, nikakimbia[emoji2089] na kuingia ndani ya handaki aliloingizwa Clara na wanajeshi wanne, ile naingia nikapigwa na butwaa na kushangaa sana baada ya kuona[emoji15].........

Je kipi tena kimetokea cha kumshangaza Brighton, [emoji848] usikose sehemu ijayo maana moto[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] ndio kwanza unaanza[emoji3167]‍[emoji439]

Full 1000
0784468229
 
SIKUJUA KICHAA ANAELALA NJE YA JENGO LANGU NI MPELELEZI ANAEMTAFUTA GAIDI WA KIZUNGU NILIYEMUOA BILA MIMI KUJUA NI GAIDI[emoji15][emoji24] 32&33

Wakati naendelea kjiambulisha pale kwenyek jukwaa kuu kabla sijamalizia kujieleza na kukabidhi maiki[emoji441]kwa Mc, ghafla[emoji15] nikashtukia mkuu wa vikosi vya jeshi ametwangwa risasi, ubongo pamoja na damu vikanirukia kwani alikuwa amesimama pembeni yangu, wanajeshi[emoji3167]‍[emoji439] walijaribu kuangalia huku na kule kuangalia kwamba ile risasi imetokea wapi, lakini wakati tukiwa bado kwenye mshangao, ghafla[emoji15] nikakoswa koswa na risasi ya shingo ambayo ilinipita na kwenda kumtoboa jicho kiongozi wa mwingine wa jeshi aliyekuwa pale jukwaani, hapo sasa kila mmoja akaanza kukimbilia ndani mahandaki yaliyokuwa pale kwenye uwanja wa mazoezi wa kambi ya jeshi, nililimbia na kuingia kwenye handaki ambalo wanajeshi wanne walimuingiza Clara ili wamfiche, ajabu nilipoingia kwenye handaki lile nikashangaa[emoji15] kuona wale wanajeshi wanne ambao walimzunguka Clara wakipambana kumfungua pingu kwa vifaa maalumu, "Haiwezekani mtu mweusi aje aheshimishwe kwenye taifa letu hali ya kuwa sisi wazawa tupo" niliwakuta wakiongea lakini bado walikuwa hawajanionaa maana walikuwa bize kuifungua ile pingu mikononi mwa Clara. Rohoni nikajisemea, hapa nimeingia choo cha kike acha nirudi nje kabla hawajanionaa" nilisema kimomoyo lakini ile nageuka ili nitokee nje ya handaki lile ghafla[emoji15] nikasikia milio ya mabomu nje ya handaki lile, hali ambayo ilinijaza woga nikabaki nimesimama, nimeduwaaa nisiamini kabisa mambo yalivyobadilika kwa sekunde chache tu hali ya kuwa nilijua tayari nishamaliza kazi.

Nikiwa bado nimesimama nimeduwaa [emoji15] mara wale wanajeshi wakageuka na kuniona kwani tayari walikuwa wamekwishamaliza kumfungua Clara pingu. " Enhee mtu mwenyewe si huyu hapa, kwanza huyu tunamuulia humuhumu ndani haiwezekani mtu mweusi aje atunukiwe tunzo ya heshima kwenye taifa letu tena kwenye kambi ya jeshi isitoshe hata jeshini hajapitia, hii ni kudhalilisha jeshi letu hali ya kuwa jeshi la America ndio tunasifika ulimwenguni kwa kutengeneza mabomu ya nyuklia na silaha nyinginezo za kivita, leo hii mtu kutokea kataifa kadogo kama Tanzania anakuja kupewa tunzo nchini kwetu eti kwa kufanikisha kumkamata gaidi ambaye sisi wanajeshi tumehangaika kumtafuta kwa muda mrefu, habari hii hata muheshimiwa raisi Joe biden akisikia wanajeshi wote tutaachishwa kazi kwani ataona hana jeshi imara kwahiyo ili yote hayo yasitokee huyu afie humu humu" alisema yule mwanajeshi kisha akachomoa bastola kibindoni kwake[emoji15] wakati anataka kunipiga risasi Clara akamzuia. "Hapana usimuue haiwezekani huyu fala afe kifo kirahisi namna hii, kwanza huyu ni msaliti na ndiye alisababisha nikavunjika goti sasa inatakiwa tuondoke naye akapate adhabu yake inayomstaili kwanza mlegezeni mwili ili tuondoke naye" Clara aliwaambia wale wanajeshi akimaanisha wanipige mpaka nilegee ili iwe raisi wao kuondoka na mimi. Clara alipotoa kauli hiyo ghafla[emoji15] mwanajeshi mmoja aliruka teke la hewani hewa, buti lake zito[emoji3067] likatua kifuani kwangu, chini nilianguka kabla sijasomama alinipiga mabuti ya mbavu nikatapika chakula chote nilichokula, yule mwanajeshi akaninyanyua kutoa pale chini, nikiwa tayari nimesimama, alinisukumia ngumi nzito ya mdomo iliyoning'oa meno mawili ya mbele ambapo nilitema damu zilizoambatana na yale meno mawili, hapo hasira zikazidi kunipanda[emoji3525] kwani kabla sijapata hasira nilikuwa naogopa kupigana nao maana walikuwa wanne lakini nilivyong'olewa meno nikasema kimoyomoyo "hapa nikiwa mzembe wananiharibu sura hawa kama ni kufa acha nife kishujaa lakini siwezi kuruhusu nipigwe kiasi hiki kama ngoma"

Nilitema haraka damu iliyoambatana meno mawili, kisha kwa hasira nikafurumusha ngumi nzito ambayo iliishia kwenye mikono ya mwanajeshi yule baada ya kuweka hadi, yani kukinga kwa mikono yake naye bila kuchelewa akarusha ngumi akiielekezea usoni kwangu haraka nikainamaa na kumshona ngumi [emoji2936] nzito maeneo ya juu kidogo ya tumbo lake yani kwenye chembe cha moyo, maeneo ambayo ni hatari na isitoshe ile ngumi [emoji123] yenye uzito wa kilo moja ilimuingia vilivyo, alianza kuyumba yumba mithili ya mlevi wa mataputapu, bila kuchelewa nilimparamia na mateke kama vile napanda ngazi, nilikaanyaga tumbo lake na mguu wa kushoto kisha nikamalizia na mguu wa kulia kifuani kwake alianguka chini kama gunia la mahindi. Wenzake walipoona vile wakaona waingilie ligi[emoji2] maana mwanzo walimuacha kwanza apigane na mimi ili waupime uwezo wangu.
Ile wanajileta wazima wazima niliruka mateke ya angani angani, mmoja nikamzibua teke nzito la sikio, na mwingine nikamkanyaga teke la pua, isitoshe nilikuwa nimevaa mabuti ya jeshi, walianguka chini, yule niliyempiga teke la sikio sijui nilimlimpiga karibu na mshipa wa fahamu maana hakuchukua muda akapoteza fahamu, huyu mwingine alikuwa amelala chini huku akiwa ameshikilia pua nahisi ilikuwa imevunjika, na yule niliyemshindilia ngumi ya chembe cha moyo akashindwa kabisa kunyanyuka chini akawa anagaragara tu chini, akabaki mmoja ambaye alikuwa amekunja ngumi, na mimi nikakunja[emoji2936]

"Aaaaaaaaaaaaaa" alipiga kelele kwa hasira huku akiruka juu na kujileta mzima mzima akiwa ametanguliza teke na ngumi zake kakunja, nilimkwepa kiaina[emoji3] akadondoka chini haraka kama kicheche anavyomrukia kuku nami nikamrukia juu yake nilimtwangwa ngumi nyingi za macho mpaka macho yake yakafunga[emoji43], huku yakitoa damu , mikono yake nikaikanyaga kwa mabuti yangu mpaka ikapoteza nguvu nikamsachi mfukoni alikuwa na sindano[emoji419] yenye sumu, nikaanza kumdunga yeye kisha nikamalizia kwa wenzake, baada ya hapo nikasimama na kumwangalia Clara huku nikiwa bado nimeshika ile sindano yenye sumu mkononi[emoji3525], Clara aliniangalia kwa woga huku akiwa ametoa macho[emoji15] kwani licha ya kufunguliwa pingu alikuwa hana uwezo wa kusimama kwasababu goti lake lilivunjika, wakati huo nje ya handaki lile ilisikika milio ya mabomu, majangili walikuwa wanaharibu miundo mbinu ya kambi ya jeshi, basi nikiwa nimebaki na Clara wawili tu ndani ya handaki nikawaza na yeye nifamfanyaje maana wenzake tayari nilishawaua kwa sindano yenye sumu[emoji848] bila kuchelewa nikaamua ku..................

Je kama wewe ndio ungekuwa Brighton ungefanyaje? Hakika mambo ni moto

Full 1000
0784468229
 
SIKUJUA KICHAA ANAELALA NJE YA JENGO LANGU NI MPELELEZI ANAEMTAFUTA GAIDI WA KIZUNGU NILIYEMUOA BILA MIMI KUJUA NI GAIDI[emoji15][emoji24] 34&35

Ndani ya lile handaki nilibaki mimi na Clara pekee wengine wote nilishawaua kwa sindano[emoji419] yenye sumu kali sana, nilisimama mbele ya Clara huku nikiwa bado nimeshika ile sindano ambayo bado ilibakiza sumu kwenye bomba lake, Clara alitoa macho ya mshangao [emoji15] mithili ya songombinyo baada ya kuona nimewaua wale wanajeshi waliokuwa wakimuunga mkono na sasa nimesimama mbele yake nikiwa na hasira[emoji3525] isiyo kifani, wakati huo nje ya handaki lile ilikuwa ikisikika milio ya mabomu ikirindima kila kona "Unadhani ukiniua ndio na wewe utakuwa umesalimia, hebu sikiliza huko nje milio ya mabomu inavyorindima kama milio ya radi kipindi cha masika[emoji2] ukiniua utatokea wapi, maana upande wa pili wa hili handaki linatokea Mexico tena msituni ambapo wanajeshi wa hapa wakizidiwa wanaenda kujificha huko kwenye msitu wa nchi ya Mexico na kutoka hapo msituni mpaka ufike Mexico city ambapo ndio mji mkuu wa Mexico unaweza kutumia takribani siku thelathini, kwahiyo mimi nachokushauri hakuna haja ya kununua maana na wewe utakufa[emoji2] cha msingi ungana na mimi ili tuone namna ya kujikomboa sisi kama sisi, maana wewe unatafutwa na watu wangu wakuue na mimi natafutwa na wanajeshi wa kambi ya hapa Marekani ili waniue, sasa cha kufanya wewe achana na kundi lako la wanajeshi na mimi niachane na kundi langu la majambazi tujenge maisha Mr. Brighton maana hata hivyo nimeyachoka haya maisha ya ujambazi" alisema Clara[emoji848] nikawaza na kuona hizi ni porojo, maana tabia ni kama ngozi ya mwili hata ujichubue vipi ipo siku uchumi wa kununua vipodozi utayumba na hapo ndipo ngozi itakapokumbua, vivyo hivyo na kwenye ujambazi ipo siku ataishiwa na atatamani tena akavunje ili apate maokoto kama yale aliyokuwa anapata kipindi akiwa jambazi, nikawa nimuue au nifanye nini[emoji848] wakati huo milio ya mabomu ilikuwa inasikika kabisa karibu na mdomo wa handaki.

Huku zikisikika sauti zikiita kwa karibu karibu kabisa "Clara.... Clara" nadhani walianza kumtafuta Clara kwenye mahandaki[emoji15] "Hapa nikiendelea kumsikiliza huyu mpuuzi mwishowe nitakutwa na watu wake hapa" Nikajisemea kimoyo moyo kisha nikamuweka Clara mabegani kwangu na kukimbia[emoji2089] ndani ya lile handaki ili nikatokee upande wa pili wa handaki lile ambapo ni msitu wa nchi ya Mexico, moyoni nishaamua moja kwamba huko msituni nitajitahidi kujificha nikiwa na Clara mpaka hali ya hivi vita ipoe ndipo nijitokeze naye nimlete kwenye kambi ya jeshi kusudi nipate maokoto yangu" Niliwaza huku nikikimbia ndani ya lile handaki nikiwa nikiwa nimembeba Clara. Nilikimbia umbali mrefu sana nikafika sehemu nikawa natembea maana nilikuwa nimechoka balaa[emoji45] huku nikihema kama hata aliyetoka kukmbizwa ili achinjwe afanywe kitoweo, giza likaingia nikiwa ndani ya handaki lile, sikutaka kulala nililembea ndani ya handaki lile usiku mzima kwa kutumia mwanga wa tochi wa simu yangu. Na kweli palikua mbali kwasababu nilitumia siku tatu mpaka nikafanikiwa kutoka ndani ya handaki lile na kuingia kwenye msitu wa Mexco. Nikiwa napita mule msituni kwa mbali sana nilisikia sauti za watu wakielekezana [emoji15] "Nyie piteni na njia hiii na sisi tupite na njia hii" nilisikia sauti hizo huku milio ya mbwa ikisikika kila kona. Nikawaza watakuwa labda ni wanajeshi na mbwa wao lakini hapana hawa ni majambazi wenzie na Clara kwasababu Clara asishawahi kuniambia kwamba endapo mwenzao wa muhimu atapotea basi mara nyingi huwa natumia mbwa wao wanaowafuga na kuwapa mafunzo ya kumtafuta mtu kwa kunusa aidha apatikane akiwa hai ama mfu.

Hapo nikaamua nisitembee na njia bali mikate njia yangu pekee yangu katika vichaka, nikatoa bastola kibindoni mwangu ambayo nilichukua kwa wale wanajeshi niliowaua ndani ya handaki, nikawa natembea kwenye vichaka huku nikiwa nimeishikilia mkononi na Clara nikiwa nimembeba mabegani, mabuti yangu ya kijeshi yalinisaidia dhidi ya miiba mikali katika pori lile, Nilitembea umbali mrefu sana ambapo nilifika sehemu ambayo kulikuwa na jiwe kubwa sana na chini yake kulikuwa na pango kubwa, nikaamua kujificha hapo na Clara, kwa bahati nzuri mbele ya pango hilo kulikuwa na kichaka ambacho kilikuwa na miti yenye matunda ya porini ambayo yanaliwa na chini kulikuwa na maji, tuliyatumia matunda na maji kama chakula, kwa kweli tulikaa mule kwa takribani siku saba, mapenzi yangu na Clara yakarejea tena[emoji7] kiasi kwamba tukawa tunafanya michezo ya kikubwa kaka baba na mama, mguu wa Clara ukaanza kupata nafuu japo sio kivile, basi mchana mmoja nikiwa nimekaa na Clara kimahaba [emoji7] nje ya pango lile ghafla nikashtukia[emoji15] tumezungukwa na mbwa wakubwa kama saba hivi, walianza kubweka, sijakaa sawa wakatokea watu waliovaa kininja yani walifunika nyuso zao na kuacha sehemu ya macho tu🥷 moja kwa moja nikatambua ni wenzake na Clara lakini moyoni nikasema kwa jinsi nilivyokuwa namkoleza Clara na mapenzi[emoji2][emoji3059] mpaka anatoa matusi akijitukania mwenyewe mama yake basi anaweza kunitetea. Niliwaza🥱hivyo....

Je itakuaje? Narudi[emoji2089]

Full 1000
0784468229
 
( 36-38)
SIKUJUA KICHAA ANAELALA NJE YA JENGO LANGU NI MPELELEZI ANAEMTAFUTA GAIDI WA KIZUNGU NILIYEMUOA BILA MIMI KUJUA NI GAIDI[emoji15][emoji24] 36.

Ilikuwa ni majira ya saa tisa alasiri mimi Clara tulikuwa tumeketi nje ya pango ambao tulijificha kule msituni, tulikuwa tumekaa kimahaba huku Clara akichezea chezea ndevu zangu kwa viganja vyake[emoji3], nikiwa sina hili wala lile ghafla[emoji15] nikashtukia tumezungukwa na mbwa wakubwa kama saba hivi, walianza kubweka kwa nguvu sana, punde wakatoka watu waliovalia mavazi ya kininja, yani mavazi ambayo yalifunika miili yao yote na kuacha sehemu ya macho tu🥷moja kwa moja nikagundua ni wenzake na Clara, wote wakaninyooshea bunduki walizokuwa wamebeba, sikuwa na shaka wala wasiwasi maaana nilijua kwa mahaba na mapenzi motomoto ambayo nilikuwa nikipa Clara atanitetea lakini ghafla nikashangaa Clara anacheka[emoji23] na waambia wale watu wake "Mfungeni mikono tuondoe naye " alisema Clara. "[emoji21] Clara yani kabisa umedhamiria kunigeuka[emoji3064]" Nilimuuliza. "Sijakugeuka ila mwanzo nilikuvumilia tu kwasababu tulikuwa wawili msituni isitoshe mguu wangu mmoja ni mbovu hivyo singeweza kuleta pingamizi lolote juu yako zaidi ya kukubali chochote ambacho ungekita, lakini sasa nimepata tena nguvu baada ya kuwaona watu wangu[emoji12]" Alisema Clara hapo nikayakumbuka maneno ya babu aliyonihusia kuhusu wanawake, babu aliniambia kwamba "Silaha kubwa ya mwanamke anayoitumia kumpiga nayo mwanaume ni mapenzi, yani daima usijaribu kumrudia mwanamke ambaye mliachana naye katika mazingira ya shari, mazingira ya kutendeana mabaya kamwe usimrudie na kuanzisha naye mapenzi kwani hujui amerudi akiwa na dhamira ipi, pengine anataka kutumia mapenzi kama silaha ya kukuadhibu ama kulipiza kisasi kwa yale uliyomtendea" Niliyakumbuka[emoji848]maneno hayo ya babu na kujilaumu sana kwamba kwanini nilijisahau na kurudiana na Clara, basi watu walinifunga minyororo migumu sana mikono kisha wakaninyanyua kwa vibongo na kuanza kuniongoza njia, huku wengine wakimbeba Clara kwani bado alikuwa hajaweza kutembea vizuri. Niliongozwa njia ghafla huku nikichapwa viboko kama ng`ombe anayeswagwa kwenda machinjioni.

Basi hatimaye tukatumia masaa 12 tukafanikiwa kutoka mule msituni, tulifika barabara walipopaki magari [emoji594]yako nikaingiwa ndani ya gari na bila kupoteza muda tukaondoka eneo lile, safari yetu ilikuwa ndefu sana hatimaye tukafika kwenye jengo moja kubwa sana lenye uzio mrefu kwenda juu kama ule wa yeriko, nikaingizwa ndani kumbe jengo lile ilikuwa ndio kambi ya majambazi wa Clara, maana tulipoingia ndani walipomuona tu Clara walishngilia mithili ya watu wanaoshangilia kuuona mwaka mpya[emoji3064], ndani ya jengo lile walikuwepo majambazi wengi sana wasio na idadi kama utitiri, walikuwa wamezagaa ndani ya jengo lile huku wengine walikuwa wanavuta bangi, wengine waikuwa wanafanya mazoezi ya kuimarisha miili yao kwa kunyanyua vyuma[emoji2132] kuruka sarakasi[emoji2223]na wengine walikuwa wanacheza kamari huku wakinywa pombe kali[emoji967] lakini walipomuona Clara kabebwa juu juu wote walikusanyika sehemu moja huku nyuso zao zikionekana kuhuzunika[emoji18] Clara aliletewa kiti na kuketishwa mbele yao. "Ni matumaini yangu kwamba hamjambo vipenzi vyangu, ee kama mjuavyo katika hii kazi yetu hapakosi changamoto, lakini safari hiii nilipoingia kazini nimepitia changamoto kubwa sana, wanajeshi wa kambi ya marekani wameniandama sana mpaka wakaniwekea na mpelelezi ambaye alijifanya kichaa ili aweze kuninasa, lakini nilifanikiwa kumdhibiti nikajua kwamba nimemuua akaja tena kwa njia nyingine ya kufanya sajari yani kubadilisha sura huku akishirikiana na mtu ambaye nilimwamini na kumuona kama mpenzi wangu kumbe anashirikiana na maadui zetu watuangamize, mtu mwenyewe ni huyu hapa tumekuja naye" alisema Clara watu wote wakanigeukia na kunitazama kwa macho makali[emoji15] mpaka utumbo ukawa unacheza cheza[emoji32] kutokana na jinsi walivyokuwa wananiangalia kikatili, Clara akaendelea kuongea " Si hayo tu huyuhuyu mtanzania ndiye kasababisha pesa zangu benki zimechukuliwa na ndiye kasabavisha goti langu limevunjika hivyo siwezi kupigana tena hata na mtoto wa miaka kumi" alisema Clara kwa kunishtakia kwa watu wake huku machozi yakimtoka[emoji24] baadhi ya watu wake ambao walikuwa ni mabaunsa waliuma meno kwa hasira[emoji51] baada ya Clara kuwaambia maneno hayo.

Basi Kapteni waoo akatoka mbele kuongea "Jamani huyu mchumba kajichanganya yani hapa ameyakanyaga[emoji3525] tuliahidiana kwamba kiumbe yeyote atayejaribu kuingilia kwenye kazi yetu ili aturudishe nyuma au atuangamize adhabu ya kwanza kabla ya nyingine tutamgeuza mke wetu" alisema yule kapteni wa majambazi, nikashtuka sana[emoji32]kusikia hivyo huku nikitetemeka mpaka meno, akaendelea kuongea " Adhabu ya pili huyu mchumba atapitia makali kaba ya kwake kwa kutobolewa macho na chuma cha moto [emoji91] chenye ncha kali na mwisho atanyongwa mbele ya halaiki yote," alisema yule kapteni wa majambazi na watu wote walishangilia sana huku wakipiga vifijo na nderemo. "Kwanza tumtoeni wenge kidogo" Kapteni wa jeshi alisema na bila kuchelewa jopo la watu wake likanivamia na kuanza kunishushia kipondo cha mbwa mwizi, sikuchukua hata dakika mbili nilipoteza fahamu, basi nilipozinduka nikapelekwa kwenye chumba cha mateso ambacho kilipewa jina la black room, ndani ya chumba hicho niliwakuta wanaume watatu wenye miili mikubwa kama tembo na iliyojazia kimazoezi, kazi ya wanaume hao ilikuwa ni kutoa mateso kwa maadui watakaofikishwa kambini hapo, basi nikafungiwa nao ndani ya chumba kile, mmoja akasema "Mchumba vua nguo tukupe mimba " rohoni nikasema hapa bora nife kishujaa kuliko kulawitia, nikaruka mateke ya kuwashukiza, mmoja nilimpiga teke la macho,vumbi lote la viatu likaishia machoni kwake akadondoka chini huku akiyafikicha macho yake, na mwingie nilimpiga teke la pua akababiza ukutani na kupoteza fahamu, yule wa tatu nikamrukia mateke ya dabodabo moja likatua kifuani na lingine likamaliza kwenye paji la uso, akadondoka chini, nikamrukia juu yake na kumpiga ile minyororo niliyofungwa nayo mikonononi kichwani mwake mpaka akazimia, nikasogea sehemu ambapo walitumia kuwafungulia watuhumiwa minyororo baada ya kuhakikisha wamewalegeza kila kitu, hapo nikang`ang`ana kufungua mpaka minyororo ikafunguka, haraka nikachukua bunduki kubwa iliyokuwa ndani ya chumba kile na kuwamininia risasi zakichwani wote, kisha nikawavua mavazi yao kabla hayajaingia damu, nikayavaa mimi mavazi yale ya kininja tena kwa kuyasunda[emoji16] yote matatu ili nionekane bonge kama walivyo wao, hapo nikajaza risasi zilizokuwa mule ndani mmifukoni mwangu huku mikononi nikiwa nimeshikilia mtutu basi, "kama nitakufa basi lakini n itahakiisha Clara anarudi marekani, acha nikapambane na huo utitiri wa majambazi nje" nikajisemea kimoyomoyo kisha nika[emoji15].........

Meza mate kwanza[emoji23] usije ukaloanisha simu kwa udenda unaokutoka kama mtu aliyeona embe bichi. Just a joke [emoji23] narudi

SIKUJUA KICHAA ANAELALA NJE YA JENGO LANGU NI MPELELEZI ANAEMTAFUTA GAIDI WA KIZUNGU NILIYEMUOA BILA MIMI KUJUA NI GAIDI[emoji15][emoji24] 37&38

Baada ya kufanikisha kuwaua wale manyemera kwenye chumba cha mateso kilichopewa jina la black room, niliwavua mavazi yako ya kininja🥷na kuyavaa mimi, tena niliyavaa mavazi ya wote watatu[emoji16] ili nionekane bonge kama walivyo wao, baara ya kuvaa kila kitu na kuwa sawa nikajaza risasi nyijngi kwenye yale mavazi ambayo yalikuwa na mifuko kila kona kama sare za polisi kisha nikatoka nje huku nikiwa nimeshikilia mtutu wa bunduki, ile natoka tu nje nilianza kuwamiminia risasi za kutosha[emoji95] wate niliwapukutisha akabaki Clara na walinzi wake watatu ambao aliwaamini, ile nataka kufyatua risasi ili niwamalizie walinzi wa Clara niondoke na Clara ajabu nikashangaa[emoji32] risasi hazitoki, nilikuwa tayari nimekwishaishiwa na risasi nilizozikomba ndani ya chumba cha mateso, kwa bahati nzuri wao hawakuwa na bunduki, mikononi mwao walibeba majamvia yani mapanga maalumu kwa ajili ya kupigania, mmmoja akanikimbilia[emoji2099] niliposimama huku akiwa ameushikilia upanga wake, ile anataka anifyeke shingo niliiinama [emoji3] haraka nikaudaka ule mkono wake ulioshikilia upanga bila kumremba nilimshindilia ngumi ya uso na pasina hiyari yake aliuachia mwenyewe upanga maana ngumi ya pua niliyomshindilia ilimpa mawenge mawenge na kumtupa chini[emoji1784] huku damu zikimtoka puani, walinzi wawili wa Clara waliobakia walipoona vile kwa pamoja wakaanza kuja kwa kukimbia na mapanga yao mkononi[emoji1733] ili wanikabili, ile wanataka tu kunikaribia haraka nikainama na kuzoa mchanga mwingi wa vumbi kwa mikono tangu nikawamwagia machoni[emoji43] walitupa mapanga chini na kuanza kubabaika huku wakifikicha macho, hapo ikawa rahisi kwangu mimi kuwapiga ngumi[emoji109] kama ngoma za mchiriku, hakuna aliyeweza kusimama ndani ya lile jengo nzima, Clara kuona vile, haraka akachukua sindano[emoji419] ili ajimalize mwenyewe, na sijui ile sindano aliitoa wapi, nahisi aliiandaa kwa ajili yangu kwamba nitakapopewa mateso vya kutosha animalizie kunidunga sindano ile yenye sumu kali zaidi za sumu ya mamba ili nife kabisa[emoji16] moyoni nikasema siku zote mcheza na tope humrukia Clara hana tofauti na mcheza na tope ama mchimba kisima ambaye mwisho wa siku huingia mwenyewe kwani dhamira yake ilikuwa ni kuniangamiza sasa anajiangamiza mwenyewe.

Wakati anataka kujidunga sindano ile ili afilie mbali haraka nilikimbia na kumuwahi kwasababu nilijua akijidunga sindano ile nitakuwa nimekosa malundo niliyoahidiwa na wamarekani na nitakuwa nimevunja miiko ya kabila langu la kichaga yani kuzingatia maokoto[emoji16] ile namkaribia, laaaaaa haulaaaa[emoji15] tayari alishajidunga sindano mkoni, haraka nikachana ile lastiki ya kininja niliyokuwa nimejifunika nayo usoni kisha nikamfunga nayo mkononi kwa nguvu sana kusudi sumu isiendelee kusambaa maeneo mengine hatari ya mwili kama vile kichwani na kwenye moyo, kwa ushapu wa hali ya juu nikambeba na kumuweka ndani ya gari lililokuwepo pale na kwa bahati nzuri gari lenyewe lilikuwa sailensa, nikaliwasha na kutoka nje ya geti lile na kukimbilia hospitali za mexco, nilienda kwa kuulizia ulizia kutokana na ugeni wangu, hatimaye nikafanikiwa kumfikisha Clara hosmatairi madaktari pamoja na manesi[emoji3168]‍[emoji505]walisaidiana na mimi kumtoa Clara kwenye gari kisha wakamuweka juu ya kitanda cha matairi mbio mbio walimkimbiza kwenye chumba cha huduma ya dharura baada ya kuwaeleza kwamba alijidunga sindano ya sumu, basi mimi nikabaki nje sehemu ya mapokezi nikiwaachia madaktari wafanye kazi yao, yalipita masaa kama mawili hivi nikamuona daktari akitoka kwenye mlango wa chumba cha huduma ya dharura, haraka nikamkimbilia na kumuuliza "Samahani daktari mgonjwa anaendeleaje?" Nilimuuliza "eee kwa sasa anaendelea vizuri tumefanikiwa kuokoa maisha ya mama na pia kichanga kilichopo tumboni kwake alisema daktari, kidogo nikapigwa na butwaa kwa mshangao[emoji15] baada ya daktari kunieleza kwamba Clara ana mimba tena ya mwezi mmoja na nusu. " Huenda ikawa kweli ana mimba maana hizi wiki chache zilizopita amekuwa ni mtu wa visirani sana lakini je [emoji848] mimba ni yangu au ni ya Mr. Michael maana ametembea na sisi kwa kipindi chote hiki cha mwezi mmoja na nusu" Nilijiuliza lakini akilini nikajiambia kwamba itajulikana tu nikimfikisha marekani, basi madaktari walimhudumia na kuniambia itabidi nimuache Clara pale hospital wamlaze aendelee kujiskilizia kwani amelegea sana mwili kiasi kwamba hawezi hata kuongea" waliniambia madaktari nikawatukana kimoyomoyo [emoji16] "Nyie wagonjwa nini yani mnataka nimuache afie hapa ili nikose maokoto yangu, hapa ni heri akafie kwenye ardhi ya kambi la jeshi la marekani kidogo nitaonekana ni shujaa" Niliwaza, kisha nikawaambia. " Kama ni kujisikilizia hali yake ataenda kujisikilizia nyumbani na kama atazidiwa basi nitamrudisha " Niliwaambia madaktari, wakaniruhusu niondoke naye licha ya kwamba alikuwa amelegea kama mlenda wa bamia na nyanya chungu hali kadhalika sauti yake ilikuwa haitoki lakiini niliondoka naye bila kumuonea huruma kwamba aendelee kutibiwa mpaka apone.

Nilitoka pale hospitali na gari nililombeba nalo Clara wakati wa kumpeleka hospitali, moja kwa moja nikaenda naye mpaka kwenye station ya treni za umeme zinazotoka mexco kwenda marekani, nikiwa pale station nikatoa kikaratasi kwenye boxer yangu na kutoa namba za Michael, kwasababu simu yangu ilivunjwa vunjwa siku ile niliyochezea kiligo cha mbwa mwizi kutoka kwa majambazi wenzie na Clara, na kikaratasi kile cheye namba ya ya Mr. Michael nilikihifadhi kama akiba kwani uwapo vitani kupoteza simu sio jambo la kuulizia,. Basi nikaomba simu pale station na kumpigia Michael, nikamueleza kwamba nipo station ya treni na Clara nimefanikiwa kuwaua wenzake wote na sasa nataka nimlete mareani ila nauli ndio sina " Sawa kamanda mimi nakuja hapo hapo station baada ya masaa mawili kamanda" alisema Michael, tukakaa pale station kumsubiri Michael afike, kweli ndani ya masaa mawili Michael alifika lakini baada ya kumueleza kwamba Clara ana mimba ya mwezi mmoja na nusu na sikumueleza kwamba nahisi ni yangu ama ni yake, kitu cha ajabu [emoji15] na cha kushangaza Michael aka.............

Jamani acheni ninywe kwaza chai maana kuna wanaume wanapenda watoto hata wa kusingiziwa [emoji23] Nyie nyie acheni tu, unahisi kipi cha ajabu Michael alikifanya mbele ya Brighton?
Offer soma yote kwa 500
0784468229
 
SIKUJUA KICHAA ANAELALA NJE YA JENGO LANGU NI MPELELEZI ANAEMTAFUTA GAIDI WA KIZUNGU NILIYEMUOA BILA MIMI KUJUA NI GAIDI[emoji15][emoji24] 39&40

"Mr Brighton[emoji848] hivi unadhani kama Clara ana mimba yangu nitakubali akahukumiwe, yani nikubali tu kirahisi mtu ahukumie hali ya kuwa ana kichanga changu tumboni[emoji16] haiwezekani kabisa" alisema Mr. Michael. "Kwa maana hiyo unataka kusemaje[emoji848]?" Nilimuuliza. "Ah mimi naona tu uachane na hizi habari za kumpeleka Clara kwenye kambi ya jeshi la marekani kwasababu kwa sasa Clara ni mama mtoto wangu mtarajiwa" alisema Mr. Michael "Wewe una uhakika gani kwamba mimba ya Clara ni ya kwako?" Nilimuuliza, wakati huo Clara alikuwa anacheka tu [emoji23] kwa jinsi tunavyobishana. "Sasa unataka tufanyaje?" Aliniuliza Michael. "Mi naona katika zile bilioni 20 ambazo ilitakiwa tugawane unipatie bilioni 10 nirudi zangu Tanzania kuhusu mimba mtajuana wenyewe iwe yako mama isiwe yako mimi sitaki kujua" Nilimwambia Mr. Michael. "Sasa kwani hizo bilioni 20 unazotaka tugawane ni zakwako ama ni za Clara alitoa kwenye account yake na kunipatia nifanye biashara kipindi nipo Oman?" Aliniuliza Michael na kuzidi kunipandisha hasira[emoji3525] "Sililiza Mr. Michael izo bilioni 20 tulizipata kwa kuuza meli ya mizigo ambayo tuliiteka, tena katika hizo bilioni 20 ilitakiwa tugawane watu watano, mimi Clara pamoia na watu wake watatu sasa inakuaje leo hii unaingilia suala ambalo hulijui kiundani?" Nilimuuliza Mr. Michael. "Wewe kwanza unazitaka hizi pesa za wizi ili zikusaidie nini, jipange urudi Tanzania laa sivyo nitakupa kesi kwanza upo kwenye nchi yangu huna pasport ya kusafiria halafu unataka kukoroma kwenye nchi za watu, tafuta kazi upate pesa za kurudi nchini kwako , mambo ya nchi yangu yaache kama yalivyo" alisema Michael, moyoni nikasema huyu hanijui, nilimpiga ngumi[emoji109] ya jicho la kushoto, kabla hajakaa sawa nilimrukia teke la tumbo alibamiza ukutani na kudondoka chini[emoji3525] nilimfuata palepale chini na kuanza kumshindilia ngumi za uso, damu zilianza kumtoa puani na masikioni, kwa hasira[emoji3525] alinisukuma kwa nguvu sana nikaanguka pembeni yeye akasimama, ile nataka kunyanyuka pale chini alinishindilia teke nzito la mbavu mpaka nikahisi bandama zimeoka, nilirudi tena chini, wakati najizoazoa pale chini ili nisimame tena alinirukia teke la uso kwa bahati nzuri kabla teke lile halijatua usoni kwangu nilifanikiwa kulidaka, alidondoka chini kama mzigo wa kuni.

Haraka nikamrukia juu yake, na kumkaba shingo yake kwa nguvu sana[emoji123] huku nikiichomoa pingu yake aliokuja nayo kwenye Luksi ya suruali yake nikafanikisha kunfunga mikono yake na ile pingu aliokuja nayo kisha funguo ya pingu nikaweka mfukoni kwangu, wakati huo Clara alokuwa amenitolea macho ya mshangao[emoji15] baada ya kuona nimefanikisha kumdhibiti Michael. "Nisikilize Michael haijalishi Clara ana mimba yako ama sio yako, Clara ni muhalifu na ni lazima ahukumiwe kwa mujibu wa sheria, lakini sasa naona na wewe unataka kumtetea muhalifu mtu aliyeua mamia ya watu kisa eti unahisi ana mimba yako, hapa brother umeyakanyaga lazima wewe na Clara wote wawili muhukumiwe" Nilimwambia Mr. Michael. "Ni sawa lakini unadhani ukitupeleka kwenye kambi ya marekani ndio utapata sifa kwa viongozi wa nchi, sasa kwa taarifa yako nchi ya marekani, mwafrika ama black amerika yoyote hata afanye vipi hawezi kuthaminiwa, wewe unadhani viongozi wa jeshi ni wapumbavu kiasi hicho wakubali wewe muafrica utangazwe shujaa kwa kumkamata jambazi aliyetesa nchi ile hali wao wapo?, kwanza watadharaulika na hata kuachishwa kazi kwa kigezo kwamba wanajeshi wa taifa kubwa kama la marekani wanashindwaje mbinu na mtu ambaye ni mtu mweusi isitoshe sio hata mwanajeshi brother kwa taarifa yako hutatangazwa popote zaidi ya kusifkusifiwa tu palepale kambini na kupewa kifuta jasho chako kisha watakuaga halafu wao ndio watajimwambafai kwa viongozi wa nchi kwamba wao ndio wamefanikisha kumkamata Clara, mimi naona uachane tu na hizi habari , nitakupa bilioni moja urudi nchini kwako hizo ni pesa nyingi pia" alisema Michael. "Acha janja janja wewe kwasababu nimeshakufunga pingu ndio unasema utanipa bilioni moja, lengo lako nishalijua unataka nikufungue pingu ili upate namna nyingine ya kunigeuka hilo haliwezekani acha nifanye mpango niwafikishe wewe na Clara marekani mengine tutajulia huko mbele[emoji848]" Nilimwambia Mr. Michael.

Nilifanya mpango wa kuwatafuta polisi wa palepale station ya treni na kuwaelezea kila kitu, lakini wao wakadai hawawezi kufanya lolote kwasababu Michael ni usalama wa Taifa na cheo chake kipo juu yao wenye mamlaka ya kumkamata Michael ni mahakama ya kijeshi pekee endapo Michael anahatia, hivyo labda kwa kunisaidia wapige simu makao makuu ya kambi ya jeshi la marekani niongee nao wao ndio watajua wapi waanzie, "Sawa hata kwa msaada huo nitashukuru" niliwaambia, basi wakapiga simu[emoji336] niliongea na viongozi wa kambi ya jeshi la marekani na kuwaeleza kwamba nimemkamata gaidi Clara na nipo station ya treni mjini Mexico hivyo nilihitaji msaada wao, sikuwaambia chochote kuhusu Michael maana ningewaambia kwamba nipo na Michael wangesema Michael atumie pesa ambazo alipewa kama adivansi ya kufanya upelelezi ili jambazi Clara apatikane, jambo ambalo Michael asingekubali sasa nikatumia mbinu huzo ili wakija wakute na Michael ninemfunga pingu, endapo wataniuliza sababu nitawajibu kwamba Michael alitaka kunigeuka ili ashirikiane na Clara kisa anahisi mimba aliyonayo Clara ni ya kwake. Basi waliahidi ndani ya masaa mawili watakuwa wamefika, nikakaa kusubiri. "Mr Brighton hii ni vita umeanzisha dhidi yangu na wewe, nitaachishwa kazi lakini na wewe sitakuacha salama" alisema Mr. Michael kwa kunipa maneno ya vitisho, sikumjibu kitu zaidi ya kumkalia kimya, hatimaye baada ya masaa mawili na dakika kadhaa kupita helicopter[emoji576] ya jeshi la marekani iliwasili, kwanza wanajeshi walishangaa sana baada ya kushuka kwenye helicopter na kukuta nimemfunga pingu mr Michael, walipouliza kulikoni niliwapa sababu kwamba Michael alitaka kunigeuka ili ashirikiane na Clara baada ya kuhisi Clara ana mimba yake hivyo nikamdhibiti Michael kwa kufanya vile ili Clara afikishwe kwanza kwenye vyombo vya dola maana ni muhalyeye "Hongera sana kijana wewe ni shujaa, Mr Michael kwanza umeenda kinyume na sheria za kuwa askari wa usalama wa Taifa, kwanz hutakiwi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na muhalifu, nafikiri suala hili litashughulikiwa na mahakama ya kijeshi tuondokeni" alisema mkuu wa kikosi kile cha jeshi kilichokuja kutoa msaada, tulipakia kwenye helcoper na safari ya kuelekea marekani ilianza, siku hiyohiyo, maamuzi juu ya Clara na Michael yalitolewa baaada ya kufika marekani. Ilitakiwa Clara ateswe kwa siku saba ndipo auwawe kwa kunyongwa lakini ilipobainika kwamba anamimba aliswekwa gerezani kwa miezi tisa mpaka ajifungue ndipo atasomewa tena mashtaka yake na atahukumiwa tena kwa mujibu wa vifungu vya sheria, Michael aliachishwa kazi kabisa kwa kujihusisha kimahusiano na muhalifu, hivyo mimi nilibaki kwenye kambi ya jeshi nikila bata tu[emoji16] huku nikisubiri Clara ajifungue ahukumiwe nipewe mavumba yangu nirudi TZD, Miezi tisa si haba Clara alishikwa na uchungu na kujifungua, ajabu Michael alituma barua za maombi kwenye ofisi kuu ya kambi ya jeshi akidai kwamba anataka tufanye vipimo vya DNA kati yangu na yeye ili ijulikane ni nani baba wa mtoto kati yangu na yeye, "[emoji848] Mh mara pap vipimo vya DNA vinaonyesha mtoto wa Clara ni wangu itakuwaje?" Niliwaza sana wakati huo tulikuwa tunasubiri majibu kutoka kwa daktari, baada ya lisaa daktari alituita wote ndani[emoji32]

Nyieeee! Nyieee acheni tu itakuwaje ? Like coment nije chaaaaap
SIKUJUA KICHAA ANAELALA NJE YA JENGO LANGU NI MPELELEZI ANAEMTAFUTA GAIDI WA KIZUNGU NILIYEMUOA BILA MIMI KUJUA NI GAIDI[emoji15][emoji24] 40.

Baada ya daktari kukamilisha kufanya vipimo vyake ndani ya ofisi yake, alitoka nje na kutuita tuingie ndani kwa ajili ya kupokea majibu ya vipimo vya DNA, tuliingia ndani wote wanne, mimi, Clara, mr Michael pamoja na mtoto ambaye bado alikuwa hajapewa jina mpaka ajulikane baba yake[emoji17] tuliingia ndani na kukaa kwenye viti vilivyokuwa mbele ya meza ya doctor wakati huo mapigo ya moyo wangu yalikuwa yanapiga kite kuliko kawaida yake, nilisali kimoyomoyo matokeo ya DNA yaonekane mtoto sio wangu, Doctor yule mwenye asili ya kiafrika aliniangalia machoni na kuniuliza "Mbona wewe kama unatetemeka sana shida nini" nilimwangalia sura yake nikagundua doctor yule ni mpare nikamjibu kwa kipare "Henaicho ivyo vipimo vitidhe[emoji23]" Nilimuuliza kwa kipare nikimaanisha kwahiyo vipimo vinasemaje?. "Avae mwana ni wako[emoji16]" Doctor alinijibu kilugha kwamba mtoto ni wa kwangu "[emoji32]Weeee mvwire uu mndu iti mwana ni wake, ambu wekimvira iti ni wangu henevuka vita ambu uu jamaa emanje iti mwana ni wake nivonia huruma ili ni isanga la vandu[emoji24]" Nilimwambia doctor amwambie Mr. Michael kwamba mtoto ni wake, maana Mr Michael anajua mtoto ni wake ili tu niepushe shari na nipokee maokoto yangu mengine yatafuata baada ya kushika maokoto yangu. "Daktari mbona siwaelewi mnaongea kilugha halafu nasikia maneno kama huruma mnamaanisha nini sasa[emoji3525]" aliuliza Michael kwa ukali sana kwasababu kiswahili alikijua na isitoshe kuna maneno ya kilugha ambayo niliyatamka kiswahi kwa kutojua yanatamkwaje kilugha. "Ahhh unajua huyu jamaa kule kwetu Tz kimakabila ni mtani wangu sasa nimemwambia mtoto sio wake anasema eti nimuonee huruma maana anampenda sana Clara hivyo nikisema mtoto ni wake wewe utamuacha Clara hivyo atafanikiwa kuwa na Clara, na mimi siwezi kumwambia mtoto ni wake kamwe maana kwenye kazi hii nilikula kiapo" Doctor alimlaghai Mr. Michael kwa maneno ili mr. Michael asigundue chochote lakini ukweli ni kwamba mtoto alikuwa ni wangu ila nilicheza mchezo na Doctor na kumuahidi atapata malipo yake baada ya mimi kulipwa fungu langu.

Basi bwana Mr. Michael alifurahi sana [emoji16] baada ya kuambiwa mtoto ni wake, walikumbatiana na Clara kisha askari jela wa kike akamchukua Clara na kuondoka naye, akampeleka kizuizini ambapo alipewa muda wa kumlea mtito kwa miaka minne ili akuekue ndipo akabidhiwe baba yake Mr. Michael na ndiposa Clara ahukumiwe kwa mujibu wa sheria. Basi ilikuwa ni siku ya jumamosi kambi ya jeshi iliamuamua kunifanyia sherehe kubwa sana [emoji3059] kunipongeza kufanikisha kupatikana kwa Clara, na pia licha ya Mr. Michael kuachishwa kazi lakini alialikwa kwenye sherehe hiyo kusudi apewe pesa za mishahara yake ya huko nyuma ili aache kazi rasmi, hata hivyo kwa furaha ya moyo wangu nilimwalika Doctor shedy ambaye tulikula naye njama aseme mtoto ni wa Mr. Michael. Sherehe ilienda vizuri makomando wa kimarekani walionyesha uwezo wao wa kimazoezi mbele yangu mithili ya makomando wa kitandania wanavyoonyesha mbwembwe zao mbele ya muheshimiwa raisi[emoji16] wapo walioruka sarakasi, wapo waliolalia ncha za misumari kwa migongo yao, hakika walikomaa migongo kama ngozi ya mamba maana misumari ilikuwa mikali sana, hata hivyo wapo waliotua chini kwa kamba helcopter ikiwa angani juu sana, kiufupi bwana [emoji16] nilienjoy, tulikula na kusaza kwani sherehe ile ilihusishwa wanajeshi tu na hapakuwa na kiongozi wa serikalini na sijui kwanini walifanya vile hata hivyo sikutaka kuuliza nilichotaka ni kupata maokoto[emoji389][emoji385] yangu kwanza na sio vinginevyo, basi mkuu mpya wa vikosi vya jeshi akasimama kuhutubia kisha mbele ya halaiki ya watu niliwekewa bilioni 50 kwenye account yangu pesa ambayo ningekula mpaka kifo changu na bado ikabaki[emoji16], si hiyo tu pia kuna wanajeshi waliungana na kuchanga bilioni ishirini nayo ikawekwa kwenye account yangu, yani kiufupi wengi walifurahishwa na ushujaa wangu kutokana na kwamba sikupitia mazoezi yoyote yale ya jeshi hivyo waliona kama ni kipaji ambacho ninacho na ilistahili kupongezwa

Basi, baada ya kukabidhiwa pesa zangu, mr Michael naye alilipwa pesa zake na kuachishwa kazi paleple, alipewa siku tano awe amerudisha sare ya jeshi pamoja na maganbuti ya jeshi kwani kutoka wasaa ule yeye ni raia kama raia wengine, pia mkuu wa jeshi alinieleza kwamba iwapo kesho yake nitasafiri kurudi Tanzania basi nisisahau kuacha mawasiliano yangu maana mimi kwao ni kama ndugu na iwapo baada ya miaka minne kupita kama watanihitaji kwa ushahidi zaidi juu ta hukumu ya Clara basi nitatakiwa nirudi tena marekani nitoe ushahidi. Nilikubaliana naye na kumueleza kwamba nitatoa ushirikiano kadri ya uwezo wangu endapo watanihitaji, basi mchana tulikula na kusaza hatimaye usiku tukakusanyika kwenye bwalo kubwa la kijeshi ambapo wanajeshi walitakiwa kunywa na mimi vinywaji ili waniage kwa mara ya mwisho kwani kesho yake nilipanga kurudi TzD, Ndani ya bwalo pia Mr, Michael alikuwepo, hata Doctor shedy naye alikuwepo , watu walikunywa pombe balaa ila mimi nilikuwa soda, kwa kawaida wanajeshi vichwa ngumu sana hawalewi walikunywa mpaka saa sita usiku lakini bado walikuwa fiti, mimi nilikunywa tu maji kwa siku hiyo sikutaka kulewa lakini doctor Shedy alilewa mithili ya mlevi wa mataputapu, mara akaanza kuropoka mbele ya Mr. Michael na wanajeshi wengine [emoji15]...........

Kiruuuuuuuuuu je itakuwaje sasa hili nalo ni Tatizo[emoji23] acheni kwanza nimeze funda la soda niliyokuwa nakunywa maana imekwama kooni baada ya doctor Sheddy kuanza kubwabwaja.Nyieeee nyieeee acheni nirudi[emoji2099][emoji419]

Malizia kwa 500
Sitaendelea Tena kuipost lipia 500
Number 0784468229 Airtel money jina neema alafu njoo whatsp kwa namba hii hiii
 
SIKUJUA KICHAA ANAELALA NJE YA JENGO LANGU NI MPELELEZI ANAEMTAFUTA GAIDI WA KIZUNGU NILIYEMUOA BILA MIMI KUJUA NI GAIDI[emoji15][emoji24] 39&40

"Mr Brighton[emoji848] hivi unadhani kama Clara ana mimba yangu nitakubali akahukumiwe, yani nikubali tu kirahisi mtu ahukumie hali ya kuwa ana kichanga changu tumboni[emoji16] haiwezekani kabisa" alisema Mr. Michael. "Kwa maana hiyo unataka kusemaje[emoji848]?" Nilimuuliza. "Ah mimi naona tu uachane na hizi habari za kumpeleka Clara kwenye kambi ya jeshi la marekani kwasababu kwa sasa Clara ni mama mtoto wangu mtarajiwa" alisema Mr. Michael "Wewe una uhakika gani kwamba mimba ya Clara ni ya kwako?" Nilimuuliza, wakati huo Clara alikuwa anacheka tu [emoji23] kwa jinsi tunavyobishana. "Sasa unataka tufanyaje?" Aliniuliza Michael. "Mi naona katika zile bilioni 20 ambazo ilitakiwa tugawane unipatie bilioni 10 nirudi zangu Tanzania kuhusu mimba mtajuana wenyewe iwe yako mama isiwe yako mimi sitaki kujua" Nilimwambia Mr. Michael. "Sasa kwani hizo bilioni 20 unazotaka tugawane ni zakwako ama ni za Clara alitoa kwenye account yake na kunipatia nifanye biashara kipindi nipo Oman?" Aliniuliza Michael na kuzidi kunipandisha hasira[emoji3525] "Sililiza Mr. Michael izo bilioni 20 tulizipata kwa kuuza meli ya mizigo ambayo tuliiteka, tena katika hizo bilioni 20 ilitakiwa tugawane watu watano, mimi Clara pamoia na watu wake watatu sasa inakuaje leo hii unaingilia suala ambalo hulijui kiundani?" Nilimuuliza Mr. Michael. "Wewe kwanza unazitaka hizi pesa za wizi ili zikusaidie nini, jipange urudi Tanzania laa sivyo nitakupa kesi kwanza upo kwenye nchi yangu huna pasport ya kusafiria halafu unataka kukoroma kwenye nchi za watu, tafuta kazi upate pesa za kurudi nchini kwako , mambo ya nchi yangu yaache kama yalivyo" alisema Michael, moyoni nikasema huyu hanijui, nilimpiga ngumi[emoji109] ya jicho la kushoto, kabla hajakaa sawa nilimrukia teke la tumbo alibamiza ukutani na kudondoka chini[emoji3525] nilimfuata palepale chini na kuanza kumshindilia ngumi za uso, damu zilianza kumtoa puani na masikioni, kwa hasira[emoji3525] alinisukuma kwa nguvu sana nikaanguka pembeni yeye akasimama, ile nataka kunyanyuka pale chini alinishindilia teke nzito la mbavu mpaka nikahisi bandama zimeoka, nilirudi tena chini, wakati najizoazoa pale chini ili nisimame tena alinirukia teke la uso kwa bahati nzuri kabla teke lile halijatua usoni kwangu nilifanikiwa kulidaka, alidondoka chini kama mzigo wa kuni.

Haraka nikamrukia juu yake, na kumkaba shingo yake kwa nguvu sana[emoji123] huku nikiichomoa pingu yake aliokuja nayo kwenye Luksi ya suruali yake nikafanikisha kunfunga mikono yake na ile pingu aliokuja nayo kisha funguo ya pingu nikaweka mfukoni kwangu, wakati huo Clara alokuwa amenitolea macho ya mshangao[emoji15] baada ya kuona nimefanikisha kumdhibiti Michael. "Nisikilize Michael haijalishi Clara ana mimba yako ama sio yako, Clara ni muhalifu na ni lazima ahukumiwe kwa mujibu wa sheria, lakini sasa naona na wewe unataka kumtetea muhalifu mtu aliyeua mamia ya watu kisa eti unahisi ana mimba yako, hapa brother umeyakanyaga lazima wewe na Clara wote wawili muhukumiwe" Nilimwambia Mr. Michael. "Ni sawa lakini unadhani ukitupeleka kwenye kambi ya marekani ndio utapata sifa kwa viongozi wa nchi, sasa kwa taarifa yako nchi ya marekani, mwafrika ama black amerika yoyote hata afanye vipi hawezi kuthaminiwa, wewe unadhani viongozi wa jeshi ni wapumbavu kiasi hicho wakubali wewe muafrica utangazwe shujaa kwa kumkamata jambazi aliyetesa nchi ile hali wao wapo?, kwanza watadharaulika na hata kuachishwa kazi kwa kigezo kwamba wanajeshi wa taifa kubwa kama la marekani wanashindwaje mbinu na mtu ambaye ni mtu mweusi isitoshe sio hata mwanajeshi brother kwa taarifa yako hutatangazwa popote zaidi ya kusifkusifiwa tu palepale kambini na kupewa kifuta jasho chako kisha watakuaga halafu wao ndio watajimwambafai kwa viongozi wa nchi kwamba wao ndio wamefanikisha kumkamata Clara, mimi naona uachane tu na hizi habari , nitakupa bilioni moja urudi nchini kwako hizo ni pesa nyingi pia" alisema Michael. "Acha janja janja wewe kwasababu nimeshakufunga pingu ndio unasema utanipa bilioni moja, lengo lako nishalijua unataka nikufungue pingu ili upate namna nyingine ya kunigeuka hilo haliwezekani acha nifanye mpango niwafikishe wewe na Clara marekani mengine tutajulia huko mbele[emoji848]" Nilimwambia Mr. Michael.

Nilifanya mpango wa kuwatafuta polisi wa palepale station ya treni na kuwaelezea kila kitu, lakini wao wakadai hawawezi kufanya lolote kwasababu Michael ni usalama wa Taifa na cheo chake kipo juu yao wenye mamlaka ya kumkamata Michael ni mahakama ya kijeshi pekee endapo Michael anahatia, hivyo labda kwa kunisaidia wapige simu makao makuu ya kambi ya jeshi la marekani niongee nao wao ndio watajua wapi waanzie, "Sawa hata kwa msaada huo nitashukuru" niliwaambia, basi wakapiga simu[emoji336] niliongea na viongozi wa kambi ya jeshi la marekani na kuwaeleza kwamba nimemkamata gaidi Clara na nipo station ya treni mjini Mexico hivyo nilihitaji msaada wao, sikuwaambia chochote kuhusu Michael maana ningewaambia kwamba nipo na Michael wangesema Michael atumie pesa ambazo alipewa kama adivansi ya kufanya upelelezi ili jambazi Clara apatikane, jambo ambalo Michael asingekubali sasa nikatumia mbinu huzo ili wakija wakute na Michael ninemfunga pingu, endapo wataniuliza sababu nitawajibu kwamba Michael alitaka kunigeuka ili ashirikiane na Clara kisa anahisi mimba aliyonayo Clara ni ya kwake. Basi waliahidi ndani ya masaa mawili watakuwa wamefika, nikakaa kusubiri. "Mr Brighton hii ni vita umeanzisha dhidi yangu na wewe, nitaachishwa kazi lakini na wewe sitakuacha salama" alisema Mr. Michael kwa kunipa maneno ya vitisho, sikumjibu kitu zaidi ya kumkalia kimya, hatimaye baada ya masaa mawili na dakika kadhaa kupita helicopter[emoji576] ya jeshi la marekani iliwasili, kwanza wanajeshi walishangaa sana baada ya kushuka kwenye helicopter na kukuta nimemfunga pingu mr Michael, walipouliza kulikoni niliwapa sababu kwamba Michael alitaka kunigeuka ili ashirikiane na Clara baada ya kuhisi Clara ana mimba yake hivyo nikamdhibiti Michael kwa kufanya vile ili Clara afikishwe kwanza kwenye vyombo vya dola maana ni muhalyeye "Hongera sana kijana wewe ni shujaa, Mr Michael kwanza umeenda kinyume na sheria za kuwa askari wa usalama wa Taifa, kwanz hutakiwi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na muhalifu, nafikiri suala hili litashughulikiwa na mahakama ya kijeshi tuondokeni" alisema mkuu wa kikosi kile cha jeshi kilichokuja kutoa msaada, tulipakia kwenye helcoper na safari ya kuelekea marekani ilianza, siku hiyohiyo, maamuzi juu ya Clara na Michael yalitolewa baaada ya kufika marekani. Ilitakiwa Clara ateswe kwa siku saba ndipo auwawe kwa kunyongwa lakini ilipobainika kwamba anamimba aliswekwa gerezani kwa miezi tisa mpaka ajifungue ndipo atasomewa tena mashtaka yake na atahukumiwa tena kwa mujibu wa vifungu vya sheria, Michael aliachishwa kazi kabisa kwa kujihusisha kimahusiano na muhalifu, hivyo mimi nilibaki kwenye kambi ya jeshi nikila bata tu[emoji16] huku nikisubiri Clara ajifungue ahukumiwe nipewe mavumba yangu nirudi TZD, Miezi tisa si haba Clara alishikwa na uchungu na kujifungua, ajabu Michael alituma barua za maombi kwenye ofisi kuu ya kambi ya jeshi akidai kwamba anataka tufanye vipimo vya DNA kati yangu na yeye ili ijulikane ni nani baba wa mtoto kati yangu na yeye, "[emoji848] Mh mara pap vipimo vya DNA vinaonyesha mtoto wa Clara ni wangu itakuwaje?" Niliwaza sana wakati huo tulikuwa tunasubiri majibu kutoka kwa daktari, baada ya lisaa daktari alituita wote ndani[emoji32]

Nyieeee! Nyieee acheni tu itakuwaje ? Like coment nije chaaaaap
SIKUJUA KICHAA ANAELALA NJE YA JENGO LANGU NI MPELELEZI ANAEMTAFUTA GAIDI WA KIZUNGU NILIYEMUOA BILA MIMI KUJUA NI GAIDI[emoji15][emoji24] 40.

Baada ya daktari kukamilisha kufanya vipimo vyake ndani ya ofisi yake, alitoka nje na kutuita tuingie ndani kwa ajili ya kupokea majibu ya vipimo vya DNA, tuliingia ndani wote wanne, mimi, Clara, mr Michael pamoja na mtoto ambaye bado alikuwa hajapewa jina mpaka ajulikane baba yake[emoji17] tuliingia ndani na kukaa kwenye viti vilivyokuwa mbele ya meza ya doctor wakati huo mapigo ya moyo wangu yalikuwa yanapiga kite kuliko kawaida yake, nilisali kimoyomoyo matokeo ya DNA yaonekane mtoto sio wangu, Doctor yule mwenye asili ya kiafrika aliniangalia machoni na kuniuliza "Mbona wewe kama unatetemeka sana shida nini" nilimwangalia sura yake nikagundua doctor yule ni mpare nikamjibu kwa kipare "Henaicho ivyo vipimo vitidhe[emoji23]" Nilimuuliza kwa kipare nikimaanisha kwahiyo vipimo vinasemaje?. "Avae mwana ni wako[emoji16]" Doctor alinijibu kilugha kwamba mtoto ni wa kwangu "[emoji32]Weeee mvwire uu mndu iti mwana ni wake, ambu wekimvira iti ni wangu henevuka vita ambu uu jamaa emanje iti mwana ni wake nivonia huruma ili ni isanga la vandu[emoji24]" Nilimwambia doctor amwambie Mr. Michael kwamba mtoto ni wake, maana Mr Michael anajua mtoto ni wake ili tu niepushe shari na nipokee maokoto yangu mengine yatafuata baada ya kushika maokoto yangu. "Daktari mbona siwaelewi mnaongea kilugha halafu nasikia maneno kama huruma mnamaanisha nini sasa[emoji3525]" aliuliza Michael kwa ukali sana kwasababu kiswahili alikijua na isitoshe kuna maneno ya kilugha ambayo niliyatamka kiswahi kwa kutojua yanatamkwaje kilugha. "Ahhh unajua huyu jamaa kule kwetu Tz kimakabila ni mtani wangu sasa nimemwambia mtoto sio wake anasema eti nimuonee huruma maana anampenda sana Clara hivyo nikisema mtoto ni wake wewe utamuacha Clara hivyo atafanikiwa kuwa na Clara, na mimi siwezi kumwambia mtoto ni wake kamwe maana kwenye kazi hii nilikula kiapo" Doctor alimlaghai Mr. Michael kwa maneno ili mr. Michael asigundue chochote lakini ukweli ni kwamba mtoto alikuwa ni wangu ila nilicheza mchezo na Doctor na kumuahidi atapata malipo yake baada ya mimi kulipwa fungu langu.

Basi bwana Mr. Michael alifurahi sana [emoji16] baada ya kuambiwa mtoto ni wake, walikumbatiana na Clara kisha askari jela wa kike akamchukua Clara na kuondoka naye, akampeleka kizuizini ambapo alipewa muda wa kumlea mtito kwa miaka minne ili akuekue ndipo akabidhiwe baba yake Mr. Michael na ndiposa Clara ahukumiwe kwa mujibu wa sheria. Basi ilikuwa ni siku ya jumamosi kambi ya jeshi iliamuamua kunifanyia sherehe kubwa sana [emoji3059] kunipongeza kufanikisha kupatikana kwa Clara, na pia licha ya Mr. Michael kuachishwa kazi lakini alialikwa kwenye sherehe hiyo kusudi apewe pesa za mishahara yake ya huko nyuma ili aache kazi rasmi, hata hivyo kwa furaha ya moyo wangu nilimwalika Doctor shedy ambaye tulikula naye njama aseme mtoto ni wa Mr. Michael. Sherehe ilienda vizuri makomando wa kimarekani walionyesha uwezo wao wa kimazoezi mbele yangu mithili ya makomando wa kitandania wanavyoonyesha mbwembwe zao mbele ya muheshimiwa raisi[emoji16] wapo walioruka sarakasi, wapo waliolalia ncha za misumari kwa migongo yao, hakika walikomaa migongo kama ngozi ya mamba maana misumari ilikuwa mikali sana, hata hivyo wapo waliotua chini kwa kamba helcopter ikiwa angani juu sana, kiufupi bwana [emoji16] nilienjoy, tulikula na kusaza kwani sherehe ile ilihusishwa wanajeshi tu na hapakuwa na kiongozi wa serikalini na sijui kwanini walifanya vile hata hivyo sikutaka kuuliza nilichotaka ni kupata maokoto[emoji389][emoji385] yangu kwanza na sio vinginevyo, basi mkuu mpya wa vikosi vya jeshi akasimama kuhutubia kisha mbele ya halaiki ya watu niliwekewa bilioni 50 kwenye account yangu pesa ambayo ningekula mpaka kifo changu na bado ikabaki[emoji16], si hiyo tu pia kuna wanajeshi waliungana na kuchanga bilioni ishirini nayo ikawekwa kwenye account yangu, yani kiufupi wengi walifurahishwa na ushujaa wangu kutokana na kwamba sikupitia mazoezi yoyote yale ya jeshi hivyo waliona kama ni kipaji ambacho ninacho na ilistahili kupongezwa

Basi, baada ya kukabidhiwa pesa zangu, mr Michael naye alilipwa pesa zake na kuachishwa kazi paleple, alipewa siku tano awe amerudisha sare ya jeshi pamoja na maganbuti ya jeshi kwani kutoka wasaa ule yeye ni raia kama raia wengine, pia mkuu wa jeshi alinieleza kwamba iwapo kesho yake nitasafiri kurudi Tanzania basi nisisahau kuacha mawasiliano yangu maana mimi kwao ni kama ndugu na iwapo baada ya miaka minne kupita kama watanihitaji kwa ushahidi zaidi juu ta hukumu ya Clara basi nitatakiwa nirudi tena marekani nitoe ushahidi. Nilikubaliana naye na kumueleza kwamba nitatoa ushirikiano kadri ya uwezo wangu endapo watanihitaji, basi mchana tulikula na kusaza hatimaye usiku tukakusanyika kwenye bwalo kubwa la kijeshi ambapo wanajeshi walitakiwa kunywa na mimi vinywaji ili waniage kwa mara ya mwisho kwani kesho yake nilipanga kurudi TzD, Ndani ya bwalo pia Mr, Michael alikuwepo, hata Doctor shedy naye alikuwepo , watu walikunywa pombe balaa ila mimi nilikuwa soda, kwa kawaida wanajeshi vichwa ngumu sana hawalewi walikunywa mpaka saa sita usiku lakini bado walikuwa fiti, mimi nilikunywa tu maji kwa siku hiyo sikutaka kulewa lakini doctor Shedy alilewa mithili ya mlevi wa mataputapu, mara akaanza kuropoka mbele ya Mr. Michael na wanajeshi wengine [emoji15]...........

Kiruuuuuuuuuu je itakuwaje sasa hili nalo ni Tatizo[emoji23] acheni kwanza nimeze funda la soda niliyokuwa nakunywa maana imekwama kooni baada ya doctor Sheddy kuanza kubwabwaja.Nyieeee nyieeee acheni nirudi[emoji2099][emoji419]

Malizia kwa 500
Sitaendelea Tena kuipost lipia 500
Number 0784468229 Airtel money jina neema alafu njoo whatsp kwa namba hii hiii
Kwa story hii sitoi hata 100 Haina uhalisia

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom