Kuna waislamu swala tano na Sigda kubwa usoni na ma ustaadhi na maimamu malofa utakuta kutwa wanapinga riba lakini kutwa hujipanga foleni kwa Bakheresa kuomba michabgo ya ujenzi misikiti na madrasa na tende na chakula cha kufuturu Ramadhani hadi michango ya kanzu ma kobaz zao wanazovaaMeli za ngano anapo agiza kutoka nje huwa halipi Cash, huwa anatumia Letter of Credit (LC) kutoka KCB Bank.
Kwenye biashara kubwa ni vitu vya kawaida