Hilo neno umejibu vizuri hayo mambo ya riba za mikopo kuwa haramu hao maimamu ma ustaadhi ndio yanawahusuKwani bakhressa ni imamu?
Anayehukumu Mungu tu kila mtu atabeba mzigo wake waache kuhukumu waislamu kuchukua mikopo ya riba wao sio Allah mhukumu viumbe wake .Usiku mwema.Wamuachie Allah