25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
Wenye pesa nchi hii wanafahamika tutajie jina lako tuingie Google kuone utajiri wakoNinayo maendeleo makubwa sana ila hayo sio mjadala uliopo mezani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye pesa nchi hii wanafahamika tutajie jina lako tuingie Google kuone utajiri wakoNinayo maendeleo makubwa sana ila hayo sio mjadala uliopo mezani.
Juzi nilienda kwa mwamposa waislamu ndo walikua wengi wakipata uponyajiKama ulikuwa ujui fahamu sasa wakirito akiwa fukara aendi kanisani kama mpaka hapo atakapo pata hela akashona suluali ya kitambaa na viatu na shati na koti na tai utamuona kabeba kitabu kwenye kwapa huku akijiona tajiri msomi mkubwa atabeba zege aibe anyanganye hili akajionyeshe kwa mchungaji kama hana chochote kanisa alimtabui ndio maana wanaabudu watu wenye hela
Ukuna ulazima wa kukopa benki bhanaKuna baadhi ya project nchi hii huruhusiwi kufanya bila kukopa benki za Biashara, ni Lazima.
Zipo benki za kiisilamu ambao hao hao matajiri wanatumia.
Pia hizo hizo benki za Biashara kama NBC wana sharia bank, huwezi jua anakopeshwaje.
Duuh kwahiyo kwa uelewa wako wewe mtu kukopa kwa riba ndio kuwa tajiriDini aiwezi kumzui mtu kuwa tajiri kama ndivyo watu wengi wanakopa mikopo benki na kwenye vikoba lakini bado wako na ukata wa kipato tu riba ni dhuruma ni wizi ujambazi,dini inayo zuiya riba ni 1tu ndio kusema mafukara nchii wako kwenye hiyo dini tu?
Tatizo lako unajitia kujua kumbe ujui lolote,nani kahukumiwa hapa?maimamu kazi yao kunukuu maandiko mfano riba pombe banghe uzinzi nk ni haramu wakisema hivyo wamehukumu?Hilo neno umejibu vizuri hayo mambo ya riba za mikopo kuwa haramu hao maimamu ma ustaadhi ndio yanawahusu
Anayehukumu Mungu tu kila mtu atabeba mzigo wake waache kuhukumu waislamu kuchukua mikopo ya riba wao sio Allah mhukumu viumbe wake .Usiku mwema.Wamuachie Allah
Watu wanakosoa dini kama wanavyokosoa ujinga mwingine uliopo kwenye jamii, kwani watu wa dini ni kina nani hadi wasikosolewe wewe ndio uache kusikiliza wakosoaji, komaa kushikilia dini yako kwa sababu watu hawataacha kukosoa hadi mwisho wa dahariHivi kwan si kila mtu ashinde MECHI zake mwenyewe
Kila mtu aishi kwa maisha aliyoyachagua
Na ueshimu maamuzi ya mtu
Mm nawaonaga nyinyi mnaokosoa kuhusu mtu kuwa yupo katika DINI yake na kufuata maandiko ya DINI yake
Nawaonaga mna matatizo ya AKILI (Mentally disorders)
Focus na mambo yako kumzodoa mtu aliyeamua kuishi maisha yake na ishu kwake zinaenda ni upotevu wa RASILIMALI AKILI
tumia RASILIMALI AKILI vizuri kujenga maisha yako
Ndio unaambiwa ,kwa nn usiwashauri wazazi wako wachukue kwa riba ila usiwe na chuki inayosababishwa na umaskini.Maswala ya wazazi wake yanatoka wapi na unauhakika gani sio matajiri je
Usitake kupindisha mada uislamu hauruhusu riba kwanini wao wanatumia riba
Hakuna mfumo wa unyonyaji kama wa ujamaaKunyonya na kuumiza wengine Sio
Kweli kabisa mtaani kwangu kuna nyumba zaidi 10 zitapigwa mnada na benki vikoba navyo kila kukicha vinasafisha viumba via watu mafukara kuwanyanganya thamani za ndaniBakhresa sio reference ya Uislam, iwe kweli kakopa Bank au laa hiyo haina uhusiano wowote na katazo la Uislam kwny masuala ya riba
athari za riba hivi sasa zipo wazi kuliko miaka ya mwanzo ya katazo hili
Kwani bakharesa ninani katika uisilamu?Waislamu hawaruhusu riba ni dhambi kwa hiyo mleta uzi anashangaa bakheresa anachukuaje riba
Kupigwa ilikuwa haki yake sababu alileta ushenzi kwenye mkusanyiko wa dini pia ufahamu kuwa serikali haina diniNa kweli toka Tanzania ipate uhuru raisi pekee akiyewahi pigwa kibao na watu wa dini yake kwenye shughuli ya dini yake ni Mwinyi tu swala tano ni mwinyi tu
Toka hapo walinzi wakuuu wa raisi lazima watoke dini tofauti na kabila tofauti na lake raisi
Akiwa muislamu walinzi wanakuwa wakristo ili hata akiwa msikitini wakristo wanalinda mtu wao tu hawatiririki na aya na akiwa mkristo raisi walinzi wakuu wanakuwa waislamu padre au mchungaji hata asalishe vipi wao ni kulinda mtu wao tu hawana agenda ya kusali sababu sio dini yao after all
Hakuna tajiri mkubwa asiyekopa nimefanya kazi makao makuu NMB na NBC ,najua nachokiandika.Biashara haina diniNilidhani ustadhi ni wale watu wa dini wasiojihusisha na riba kumbe ni mdau mzuri wa benki za biashara.
Ninapenda Bakhresa afanye kuwaelimisha wale wenye misimamo mikali tuwe na taifa endelevu.
SANA..Umasikini mbaya sana
Ukiona mwanaume umeanza kumchunguza mwanaume wenzako kavaa nguo gani fahamu wewe sio mwanaume yani sio rizikiKuna wale wanapigaga visuruali flani hivi amazing.....wanamisimamo sio poa
Kwani wameja kuomba kwako,mungu alie kuumba ndio maana kukufanya kuwa mnyonge fukara kama angekupa utajiri watu tungeishi kwa shida sanaKama kapuuza msiende kwenda kuomba michango ya ujenzi wa misikiti au madrasa au kufuturishwa Ramadhani au kuomba asaidie wahitaji na kupanga foleni akitokea iwe msikitini ,nyumbani au barabarani au popote kuzitendea haki nafsi zenu
Tueleze riba yaizo benki za kiisilamu ni asilimia ngapi?Hata hizo benk unasikia cjui benk za kiislam cjui mikopo bila riba ni uongo zipo riba Sheikh usidanganyike. Ile ni sanaa
FafanuaHakuna mfumo wa unyonyaji kama wa ujamaa
Hata wewe nadhani dini huna mbona uko fukara?kama kigezo ni diniDini ni Kwa mtu mweusi.. Hawa weupe hawana dini. Dini zao ni Mali na mafanikio
mambo ya mikopo binafsi we unayajiaje?Nilidhani ustadhi ni wale watu wa dini wasiojihusisha na riba kumbe ni mdau mzuri wa benki za biashara.
Ninapenda Bakhresa afanye kuwaelimisha wale wenye misimamo mikali tuwe na taifa endelevu.