Kuna waislamu swala tano na Sigda kubwa usoni na ma ustaadhi na maimamu malofa utakuta kutwa wanapinga riba lakini kutwa hujipanga foleni kwa Bakheresa kuomba michabgo ya ujenzi misikiti na madrasa na tende na chakula cha kufuturu Ramadhani hadi michango ya kanzu ma kobaz zao wanazovaaMeli za ngano anapo agiza kutoka nje huwa halipi Cash, huwa anatumia Letter of Credit (LC) kutoka KCB Bank.
Kwenye biashara kubwa ni vitu vya kawaida
Sasa shida yenu nini mbona sioni hapo ugomvi bakhressa anaishi maisha yake na biashara zake mnacholalamika hapa ni nini mbona kama makasiriko yamezidiKuna waislamu swala tano na Sigda kubwa shingoni na ma ustaadhi na maimamu malofa utakuta kutwa wanapinga riba lakimi kutwa hujipanga foleni kwa Bakheresa kuomba michabgo ya ujenzi misikiti na madrasa na tende na chakula cha kufuturu Ramadhani hadi michango ya kanzu ma kobaz zao wanazovaa
Mwinyi alitaka kuwaelimisha na kuyakumbusha kondomu yakienda kupuyanga akala makofi.Nilidhani ustadhi ni wale watu wa dini wasiojihusisha na riba kumbe ni mdau mzuri wa benki za biashara.
Ninapenda Bakhresa afanye kuwaelimisha wale wenye misimamo mikali tuwe na taifa endelevu.
Nilidhani ustadhi ni wale watu wa dini wasiojihusisha na riba kumbe ni mdau mzuri wa benki za biashara.
Ninapenda Bakhresa afanye kuwaelimisha wale wenye misimamo mikali tuwe na taifa endelevu.
kwa hiyo uislam wa kujielewa ndio wa kwenda kinyume na maagizo ya Muumba (Allah)!Waislamu feki wasiojielewa ndio hawakopi
Halafu utakuta wao hawakopi halafu mbio wanaenda kwa Bakhresa au Mo Dewji awape msaada kujenga misikiti au madrasa au awasaidie.Wakati benki zipo na wao hawataki kukopa lakini biashara za Azam na Mo zikistawi sababu ya mikopo.wao mbio kutaka wapewe msaada ikiwemo kufuturishwa Ramadhani nk
siku za ijumaa hujaa wakiomba misaada na huku wakiwaombea dua ndeeefu za kuwa wazidi kubarikiwa kwenye biashara zao zilizojengwa na mikopo ya riba.
Bado hamjasema, na mtasema tuNilidhani ustadhi ni wale watu wa dini wasiojihusisha na riba kumbe ni mdau mzuri wa benki za biashara.
Ninapenda Bakhresa afanye kuwaelimisha wale wenye misimamo mikali tuwe na taifa endelevu.
Hapa sio kesi tunaongelea hao maimamu na maustaadhi wapiga yowe misikitini tena kwenye loud speaker kuwa hata wakristo wanawaita makafiri wasikie kuwa riba haramu natunasikia mawaidha yao sababu spika zao zina nguvu sana hadi kanisani . tunaishi karibu na misikiti halafu kesho wanaenda kutaka msaada kwa Bakheresa na Mo Dewji kuomba hela za misaada toka biashara zake zimejengwa kwa mikopo ya riba kuomba wajengewe misikiti, madrasa ,wafuturishwe Ramadhani nkSasa shida yenu nini mbona sioni hapo ugomvi bakhressa anaishi maisha yake na biashara zake mnacholalamika hapa ni nini mbona kama makasiriko yamezidi
Umemwaga povu zito, tulia mrembo.Bado hamjasema, na mtasema tu
Bado hamjaonesha chuki zenu dhidi ya uislamu na mtaonesha tu
Halafu uislamu upo imara na hauyumbi kwa ajili ya maadui/makafiri.
NB
Bakhresa ni sio icon ya uislamu, chochote atachofanya Bakhresa ni maisha yake binafsi
ila PAPA ni icon ya ukristo, hivyo acheni kupoteza muda hapa
NENDENI MKABARIKIWE NA KUFUKULIWA MTARO
Mtajijua wenyewe huko misikitini kwenukwa hiyo uislam wa kujielewa ndio wa kwenda kinyume na maagizo ya Muumba (Allah)!
hii haiwezi kuwa akili ya kawaida.
Waislamu wengi wenye maendeleo hapa Tanzania wamejitenga na imani kali za kidini. Wanapeleka watoto wao shule za seminari za kikristo aidha hapa nchini au kwenye nchi zilizoendelea.Hapa sio kesi tunaongelea hao maimamu na maustaadhi wapiga yowe misikitini tena kwenye loud speaker kuwa hata wakristo wanawaita makafiri wasikie kuwa riba haramu natunasikia mawaidha yao sababu spika zao zina nguvu sana hadi kanisani . tunaishi karibu na misikiti halafu kesho wanaenda kutaka msaada kwa Bakheresa na Mo Dewji kuomba hela za misaada toka biashara zake zimejengwa kwa mikopo ya riba kuomba wajengewe misikiti, madrasa ,wafuturishwe Ramadhani nk
Ndio tunashangaa hamna ugomvi tunawashangaa wao maustaadhi na maimamu wenye sigda kubwa usoni swala kumi hao wapiga yowe miskitini kuwa riba marufuku ni ukafiri kama ukafiri wa wakristo na wanapiga yowe tusikie wanaotuita makafiri waendekeza riba
Taja hao mashehe wanao enda kwa Bahareesa kuomba misaada.Hapa sio kesi tunaongelea hao maimamu na maustaadhi wapiga yowe misikitini tena kwenye loud speaker kuwa hata wakristo wanawaita makafiri wasikie kuwa riba haramu natunasikia mawaidha yao sababu spika zao zina nguvu sana hadi kanisani . tunaishi karibu na misikiti halafu kesho wanaenda kutaka msaada kwa Bakheresa na Mo Dewji kuomba hela za misaada toka biashara zake zimejengwa kwa mikopo ya riba kuomba wajengewe misikiti, madrasa ,wafuturishwe Ramadhani nk
Ndio tunashangaa hamna ugomvi tunawashangaa wao maustaadhi na maimamu wenye sigda kubwa usoni swala kumi hao wapiga yowe miskitini kuwa riba marufuku ni ukafiri kama ukafiri wa wakristo na wanapiga yowe tusikie wanaotuita makafiri waendekeza riba
Ninadhani ungejikita kuongelea biashara na mikopo kuliko kuwashambulia wasiohusika. Kuna watu waliowahi kuja kujipanga kwako kuomba msaada? Wewe ni maskini mwenye roho chafu sana.Kuna waislamu swala tano na Sigda kubwa usoni na ma ustaadhi na maimamu malofa utakuta kutwa wanapinga riba lakimi kutwa hujipanga foleni kwa Bakheresa kuomba michabgo ya ujenzi misikiti na madrasa na tende na chakula cha kufuturu Ramadhani hadi michango ya kanzu ma kobaz zao wanazovaa
Ww usiye kuwa na imani kali una maendeleo gani?Waislamu wengi wenye maendeleo hapa Tanzania wamejitenga na imani kali za kidini. Wanapeleka watoto wao shule za seminari za kikristo aidha hapa nchini au kwenye nchi zilizoendelea.
Ninayo maendeleo makubwa sana ila hayo sio mjadala uliopo mezani.Ww usiye kuwa na imani kali una maendeleo gani?
kweli kabisa na wewe ujijue na vijiwe vyako vya bangi.Mtajijua wenyewe huko misikitini kwenu
Kwani bakhressa ni imamu? Huwezi ukafuatilia mambo binafsi ya mtu ambayo huna hata ushahidi nayo unayaleta hapa kufanya umbea wakati haikusaidii chochote kwenye maisha yako wala familia yakoHapa sio kesi tunaongelea hao maimamu na maustaadhi wapiga yowe misikitini tena kwenye loud speaker kuwa hata wakristo wanawaita makafiri wasikie kuwa riba haramu natunasikia mawaidha yao sababu spika zao zina nguvu sana hadi kanisani . tunaishi karibu na misikiti halafu kesho wanaenda kutaka msaada kwa Bakheresa na Mo Dewji kuomba hela za misaada toka biashara zake zimejengwa kwa mikopo ya riba kuomba wajengewe misikiti, madrasa ,wafuturishwe Ramadhani nk
Ndio tunashangaa hamna ugomvi tunawashangaa wao maustaadhi na maimamu wenye sigda kubwa usoni swala kumi hao wapiga yowe miskitini kuwa riba marufuku ni ukafiri kama ukafiri wa wakristo na wanapiga yowe tusikie wanaotuita makafiri waendekeza riba
Hilo la ww kuwa na maendeleo au kuto kuwa nayo siwezi kudhibitisha maana binadamu anaweza kutumia mdomo wake kujimilikisha dunia wakati yeye hata pa kulala hana.Ninayo maendeleo makubwa sana ila hayo sio mjadala uliopo mezani.
Kuna baadhi ya project nchi hii huruhusiwi kufanya bila kukopa benki za Biashara, ni Lazima.Nilidhani ustadhi ni wale watu wa dini wasiojihusisha na riba kumbe ni mdau mzuri wa benki za biashara.
Ninapenda Bakhresa afanye kuwaelimisha wale wenye misimamo mikali tuwe na taifa endelevu.
Huna lolote unalojua, Benki za kiisilamu zipo everywhere na zipo very successfull, badala ya kuwa na chuki, jifunze bank ya kiisilamu inaendeshwaje na jinsi gani inakufaidisha compare na benki ya kawaida.Kukumbatia dini ni kukumbatia umasikini kwa sababu dini nyingi zinahamasisha ujamaa, na kuna mstari mwembamba sana kati ya ujamaa na umasikini, hii dunia kwa mifumo ya sasa ukitaka kutajirika hauna budi kuwa bepari
Hata ya kiisilamu haikwepeki, sasa hivi ipo Dunia nzima,Mikopo ya mabeberu haikwepeki hata uwe ustadh vipi!