Sasa Daktari wa Binadamu unaenda kumpeleka Porini miezi mitatu kulima Choroko na kusafisha mapori eti awe Mzalendo?
Aliekataa Hussein asiende JKT ni Amiri Jeshi wa wakati huo na ndio sababu akafuta huo upuuzi baadae
Kuna Mijitu mijinga inadhan uzalendo ni kazi za kutumia nguvu bila ya malipo
Aliekataa Hussein asiende JKT ni Amiri Jeshi wa wakati huo na ndio sababu akafuta huo upuuzi baadae
Kuna Mijitu mijinga inadhan uzalendo ni kazi za kutumia nguvu bila ya malipo
hivi alivyokataa intern ndipo alipoajiriwa na dr kariuki?