Sikutegemea kama Mtwara ina fursa kiasi hiki

Danganya wengine kwa mashudu yako. Nishafika Mtwara
Hapo Mtwara kuna waislamu wengi tena wale wamwinyi. Wamekalia kupanda miti ya mikorosho tu mazao mengine hawataki kulima.
 
Danganya wengine kwa mashudu yako. Nishafika Mtwara
Hapo Mtwara kuna waislamu wengi tena wale wamwinyi. Wamekalia kupanda miti ya mikorosho tu mazao mengine hawataki kulima.
Ninavyoandika hivi nimetoka Mtwara juzi tarehe 25/11/2024. Waambie wenzako wa huko Karatu hizo pumba zako kwamba Mang'ola ya karatu imeendelea kuliko Mtwara but huwezi kutudanganya watanzania.
 
Ninavyoandika hivi nimetoka Mtwara juzi tarehe 25/11/2024. Waambie wenzako wa huko Karatu hizo pumba zako kwamba Mang'ola ya karatu imeendelea kuliko Mtwara but huwezi kutudanganya watanzania.
😀😀😀😀😀
Naona umetoka kwenu kuvuna mikorosho. Si ungebaki Mtwara ufanye maisha😀😀😀.
Hata wewe unajua Mtwara hakuna maisha ndiyo maana umetoka juzi Ungebaki uone Mtwara ilivyo haina maendeleo.
Konde boy hata kwa bunduki umrudishi Mtwara😀😀😀😀
 
Uwe unatoka nje na vijiji vya Wamburu ili ujionee maendeleo na fursa zilizopo nje ya vijiji vya Wamburu.
 
Nina mashaka makubwa mnooo na uwezo wa kufikiri wa viongozi wetu, maana hata nikisema wapigaji, basi wangetumia hata hizi fursa kupiga, kiwanda cha bilioni 10, wao waseme bilioni 25, famililah tayari kuna ajira zimetengenezwa kule, kuna ulinzi wa wa fedha za kigeni.

Viongozi wetu hawafikiri nje ya box.
 
Uwe unatoka nje na vijiji vya Wamburu ili ujionee maendeleo na fursa zilizopo nje ya vijiji vya Wamburu.
Huko kuna fursa nyingi, umeme mpk mashambani. Maji ya visima vya kumwaga. Hawatumii maji ya mvua na wanalima mwaka mzima.
Mtu wa Mtwara hawezi kukanyaga huko mazao yote kuanzia vitunguu, viazi ulaya, mahindi, maharagwe, mbaazi n.k ndiyo sehemu yake.
Baki Mtwara kama wewe ni mwanaume kweli Mtwara, Lindi, Tanga, Morogoro, Pwani na Shinyanga mjini siyo sehemu za kutafuta maisha. Hiyo miji imeshalaaniwa
 
Wewe Ni Mburu kweli. Mango'la ipi nina hizo huduma zote.
 
H Hilo ni tatizo la mfumo wa maendeleo ya kibepari tu. Maendeleo ya kibepari yanakuaga na mgawanyiko unaoelezeka vizuri kabisa kikabila, kikanda, kidini. So unavyoona hapa hata ukienda Sudan, Kenya, Uganda yapo mamikoa na makabila yanahanya kwelikweli.
 
Ukitaka kupata pesa pwani weka bango uandike "Mganga kutoka sumbawanga" utapata maokoto sn kwa sbb pwani wanaishi kwa kutegemea kuchawiana.u

Ukitaka kupata pesa pwani weka bango uandike "Mganga kutoka sumbawanga" utapata maokoto sn kwa sbb pwani wanaishi kwa kutegemea kuchawiana.
Kwani Dar siyo Pwani?? Yale magofa na viwanda vote vya tanga na Mtwara ni watu waliweka mabango wa uganga wa Kienyeji??
 
Kwani Dar siyo Pwani?? Yale magofa na viwanda vote vya tanga na Mtwara ni watu waliweka mabango wa uganga wa Kienyeji??
Witchcraft consipiracy aliyoiacha Kinjekitile ya kuwaambia risasi za wazungu zitageuka kuwa maji ingalipo hadi leo Undengereko, Umatumbi,Ungindoni na pwani karibia yote.
 
Witchcraft consipiracy aliyoiacha Kinjekitile ya kuwaambia risasi za wazungu zitageuka kuwa maji ingalipo hadi leo Undengereko, Umatumbi,Ungindoni na pwani karibia yote.
Watanzania wote mnapenda Ushirikina. Msiwasingizie watu wa Mwambao. Wasukuma wapo bara lakini kila demu ana chale ya uganga mgongoni na matakoni
 
Nilitegemea nitakutana na fursa humu ila naona Uzi umeshaaribika.na log off
Humu fursa zitajwe mikoa ya wakiristo ndio mada itaenda poa ila ikiguswa ya waislam majungu yanaanza

Jf ina udini sana aiseeeh
 
Watanzania wote mnapenda Ushirikina. Msiwasingizie watu wa Mwambao. Wasukuma wapo bara lakini kila demu ana chale ya uganga mgongoni na matakoni
Heri Wasukuma wanaamini katika dini za jadi.. vipi kuhusu hao wanaoamini katika dini mnazoziita za haki huku wakishinda misikitini na kuswali swala tano huku ni washirikina wakubwa.
 
Ukitaka kupata pesa pwani weka bango uandike "Mganga kutoka sumbawanga" utapata maokoto sn kwa sbb pwani wanaishi kwa kutegemea kuchawiana.
Aisee ushasikia pwani kuna mauaji ya vikongwe na albino?
 
Heri Wasukuma wanaamini katika dini za jadi.. vipi kuhusu hao wanaoamini katika dini mnazoziita za haki huku wakishinda misikitini na kuswali swala tano huku ni washirikina wakubwa.
Mbona magufuli alikuwa mkristo na alikuwa anavaa hirizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…