Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
- Thread starter
-
- #41
wanasema usitukane mwamba kabla hujavuka mto, ipo siku na yaja saaa watafuta kauli zao. Nilikuwa kama wao ila kwa tukio ambalo nimepigwa aah! inategemea umekutana na nani πππBro hujawah kukutana na mwanamke wewe...kuna madem mna match kila sector maongez, utan, sex tamu ,..hakuegemei kwenye outing ama matumiz ya kawaida Yan raha sana sasa achana na demu wa hiv kutana na akina ndala ndefu....
Mkuu ghorofa kubwa lazima liwe na backup generator, najua tofautisha sex na mapenzi ila kuna kipindi backup zinaelemewa ndipo hapo tatizo huzidi πππTatizo ulichukulia mapenzi ni sex pekee ndio maana unaona ata backup zote sio kitu kwa huyo aliekuacha.
Epuka kuachana na mtu mliekuwa mnapendana alaf hapo hapo ukajidai kwenda kutafta backup yake haraka haraka
Asante sana kwa ushuru mzuri sana ni msaada kwa ushauri huu, point number 2 na 3 umepiga mle mlePole sana kijana ushauli wangu
1.kitu kwanza kubali kwanza hakuna jambo lenye mwanzo lisilo kuwa na mwisho hivyo kubaliana na matokeo
2.pili chochote kilichotokea mwachie MUNGU na endelea na maisha mengine
3.tatu futa kumbukumbu zote za wewe na mpenzi wako na kubali kuanza upya kwani moja ya faida ya kuanza upya inaweza kukutanisha na mtu ambaye bora zaidi ya huyoo
4.epuka kumsema vibaya mpenzi wako kwa watu waliokuwa wanafahamu mahusiano yenu
Haikuwa nyege hata, maana machaka ya kuziondoa mengi na baadhi ya wachezaji wa akiba wakali kuliko hata namba moja, nilipatiwa kwenye angle yangu pigo takatifu. All in all niliweka mambo sawa japo kwa gharama kubwa ππππMbona kama nyegezi ndio inakusumbua na si mapenzi?!
Mkuu hiyo picha wameniwekewa mod, ukija otewa panapo sehemu ya udhaifu wako ndio utajua chozi hata Adamoo alitoa.. mtu akijua sehemy ya udhaifu wako hupindui atakuumiza tuSkuizi wavulana mmekua na machozi ya karibu kukiko dadazenu eehhh...π€
hela kiasi gani ππTafuta hela kijana. Wanawake wapo tu
Umeongea point, nilikuwa namzingua sana kipindi namzingua sikuwa najua kama yupo deep moyoni mwangu. alipo fanya kweli ndani yangu pakawaka. But nime solve haraka sana mambo ni murua yaaniSasa bora uwe innocent lakini sio uwe wewe ndo matatizo siku zote.
Unaambiwa afu husikii unajiona wewe ndo wewe huwezi achika unapendwa sana.
*****.
Hapa mkuu umepuyanga, hela haikufanyi kutembea na mwanamke yoyote na sex au ngono sio solution ni sawa na kwenda kulewa pombe zikiisha mambo yapo pale paleUkiwa nahela una nafuu Sana.
maana utatembea name mwanamke yeyote unayemtaka. Shida mapenzi mnayakutia ukubwani
Jino sijawahi kuumwa, ila mwili kama unawaka moto amani ya ndani inatoweka moyo unaenda vibaya vibaya hasira kama zoteMaumivu yake kama ya jino??
πππππππKuna mtu anamuwinda hapa....ππππ
Ebu nitake radhi kwanza ππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ SAFI SANA.
Karma mtu kakutwa na jambo huku. Si ni huyu ndiye alisema hatumsumbui anapiga na kusepa? Hehehe haloooo baharia analia π€£π€£π€£
Saint Anne
Sex na pisi nyingine hata ziwe kali vipi haitatui maumivu ya moyo wallahi. Yani haigusi.Hapa mkuu umepuyanga, hela haikufanyi kutembea na mwanamke yoyote na sex au ngoni sio solution ni sawa na kwenda kulewa pombe zikiisha mambo yapo pale pale
Watu wanaongea tu, ukiotewa kwenye angle yako hauchomoi hata uwe nani utaumia tu, unaweza toka hapa ukachakaza pisi unatoka maumivu ndio kwanza yanaongezeka πππSex na pisi nyingine hata ziwe kali vipi haitatui maumivu ya moyo wallahi. Yani haigusi.
kuchomoa hapo ni kujisalimisha kwa pilato kama inawezekana akutibu moyo wako , maisha yaende ila kama pilato nae akatia ngumu basi hapo ni kupata tiba ya moyo mdogo mdogoSex na pisi nyingine hata ziwe kali vipi haitatui maumivu ya moyo wallahi. Yani haigusi.
Yani mtu anakupatia mahala unakubali nimepatikana. Kuchomoka hapo panahitaji nguvu za ziada na msaada wa wadauWatu wanaongea tu, ukiotewa kwenye angle yako hauchomoi hata uwe nani utaumia tu, unaweza toka hapa ukachakaza pisi unatoka maumivu ndio kwanza yanaongezeka [emoji3][emoji3][emoji3]
SitakiEbu nitake radhi kwanza πππ
ππππ mwisho wa siku nikavimba kwanza nina kitukuu cha mtume alafu bado kipyaa , ohoo hata chenyewe kilichemsha mapema kwanza nilikuwa nikakaa nacho naenjoy kwa mda ile network inakuja na kupotea ππππ.. nikajaribu hata kumahirikisha maana alikuwa anajua nina mtu yaani ndio kwanza kama nikawa naongeza maumivuYani mtu anakupatia mahala unakubali nimepatikana. Kuchomoka hapo panahitaji nguvu za ziada na msaada wa wadau
Yes maana hata sisi wapiga vyombo ndio tunabet. Inaweza saidia au kubomoa kutegemeana na mawazo anayoyapitia mtu akiwa kapiga vyombo.kuchomoa hapo ni kujisalimisha kwa pilato kama inawezekana akutibu moyo wako , maisha yaende ila kama pilato nae akatia ngumu basi hapo ni kupata tiba ya moyo mdogo mdogo