Sikuwahi fahamu mapenzi yanaumiza hivi

Yes maana hata sisi wapiga vyombo ndio tunabet. Inaweza saidia au kubomoa kutegemeana na mawazo anayoyapitia mtu akiwa kapiga vyombo.

Tiba ya moyo ina take time na ina hatua refere 5 stages of grief

Denial
Anger
Bargaining
Depression
Acceptance
Acceptance na Denial hivi ndio mtihani wenyewe sasa na ni mzito kweli kweli πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Bado yuko kichwani huyo ndio maana unataka aone mambo yako asikie wivu. Bado unamuwaza. Ukipona kabisa atakuwa sio part ya mawazo yako tena. Utafanya yako. Sema ni taratibu mpaka kufikia hatua hiyo.

Mkiona mnashindana kuonesheana mlivyo move one basi hamna kitu hapo bado sana kukubali
 
Wanaume tunajifanya masoja kwenye mapenzi ooh chukua kisu kipya ila achana na ile human connection nyie! Ukija ground tunafyatuliwa vibaya mno ni ile hatulalamiki sana online kama pisi.

Tunapigwa japo ni mara chache ila vipigo vitakatifu. Ndio kujifunza
 
Usema kweli nili solve ila ilibidi niwe mnyonge sana na kutumia nguvu kubwa sana πŸ˜€πŸ˜€
 
Jifunze kujitegemea kwanza, ndio utajiondoa ktk utumwa wa Mapenzi.
Wengi wenu mnaumizwa sio kwa shida ya kupendwa, ila kwa shida ya kukosa tegemeo katika maisha yako.
Tegemeo sio lazima liwe la pesa, linaweza kuwa la upweke, la maarifa, la maongezi, la ushirika flani nk.

Jifunze kuwa hilo tegemeo linaweza kukuacha muda wowote kwakuwa sio Malaika.
Jifunze kujitegemea na kuishi wewe kama wewe na sio kwa kutegemea kiridhishwa na mtu uliyekutana naye Ukubwani.

Tatizo la watu dhaifu wanaishi kwa kumtegemea mtu flani, wanadiriki hata kusema.

"bila mtu fulani maisha yangu hayana maana"

Utadhani huyo ndiye aliyekuleta duniani.
Mjifunze kujitegemea kifikra, upo duniani wewe kama wewe.
 
Na huu ndio ukweli, watu wanaona wao wameyapatia au haya wasumbui. Ni swala la mda tu πŸ˜€πŸ˜€
 
Ulisolve kwamba umemrudisha kwako kwa kutumia nguvu kubwa?
Ndio nili solve na mda anatoka kwenda kazini πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ nishakula na kiss mwanana . Ilibidi niwe mdogo kama piliton na nilisimamisha mambo kadha wa kadha kwa mda ili nimalizane nalo siku nimechezea maumivu nilikuwa na ka min trip asee ni hatari nilikuwa nakanyaga kibati kinaenda hadi 240 bila kujua
 
Sawa mtaalamu, huu ni ushuru na ni theoly zaidi uje kwenye practical sasa ndio utaona mambo yake
 
Ukiona hivyo ujue huo ni ujauzito wenu....wewe na huyo anayemfanya asipatikane.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole sana mkuu. Jikaze kiume utazoea.
Mimi mchepuko ana ujauzito wangu leo karibia mwezi hapatikani kwenye simu. Napoza maumivu kwa wife tu.
 
Sawa mtaalamu, huu ni ushuru na ni theoly zaidi uje kwenye practical sasa ndio utaona mambo yake
We endelalea kutegemea Practical inayotokana na hiari ya mtu mwingine na kujiwekea guarantee ya maisha yako binafsi.
Utaishia kuchoma nyumba za watu moto, kuuwa, kujiua au kufungwa jera maisha.
Ukifika huko ndio itaona umuhimu ya hiyo Theori yangu.
 
Mbona kwenye avatar unafurahi?
Mapenzi hayajakutesa wewe mimi yakinitesa hadi avatar hua naweka ya ex wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…