Sikuwahi kujua majina ya wanyakyusa yana maana😀

To yeye-penzi kwenda kwake yeye nimpendae
sema nimeoa tu.
Ningekuja kuchukua Mke huko😀
Na Kwanini kabla ya kunywa chai mnaanza na parachichi?

Tupeni Siri kwenye parachichi kuna nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…