Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Jibuni maana ya tumpale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibuni maana ya tumpale
Tena maana nzuri sanaWakuu habari za asubuhi?
Nafika kazini asubuhi hii, namsalimu jirani yangu ananiambia Tuntufye.
Namuuliza hao si wanyakyusa, anasema majina yote ya wanyakyusa yana maana
Tuntufye ni - tumsifu😀
Gwamaka- mwenye nguvu
Embu wanyakyusa tupeni maana ya majina yenu?
Hili swali naomba akujibu Saint Anne 😂😂sema nimeoa tu.
Ningekuja kuchukua Mke huko😀
Na Kwanini kabla ya kunywa chai mnaanza na parachichi?
Tupeni Siri kwenye parachichi kuna nini?
Kooh..kooh..koh!Tununu and@Toyeye are the same at lenghtening the lips while articulating them.😎Naomba maana ya
1.Mwakasakafyuka
2. Mwaipopo
3. Mwakaleli
4. Mwakabungu
5. Mwamposa
Tununuu
To yeye come this way
Kooh..kooh..koh!Tununu and@Toyeye are the same at lenghtening the lips while articulating them.😎
Hata SinaUna swali lingine mpendwa?
Ma bad!I love that "kiss-me" type of pouting!🤣🤣🤣🤣🤣
Wanyaki tunaita , Tupokigwe,Tupokile, Tupoke,Mpoki ni jina la kinyaki?
Hakika wee ni mwalimu wa kiswahili uko vzr mm hvyo vitenzi vilainishi sijui sijui kbsa na Nina phd
- Kissa - Huruma
- Gwakisa - Mwenye huruma
- Lugano - Upendo
- Gwalugano - .....malizia
- Tupeligwe - Tumepewa
- Asajile - Amenisaidia/amenibariki
- Andendekisye - Ametengeneza
Kwakifupi majina mengi ya kinyakyusa tukiyatazama katika kiswahil fasaha, sio majina (NOMINO) , mengi sana ni Vitendo (VITENZI), VIELEZI au VIVUMISHI.
Mfano hayo majina nimeyaweka hapo, ukitoa
- Kisa
- Lugano
Yaliobaki hapo ni Vitenzi na Vivumishi
Nkamu tusiwape siri za kambi unyakyusani😂Hili swali naomba akujibu Saint Anne 😂😂
Mkuu Saint,Nkamu tusiwape siri za kambi unyakyusani😂
DaaahWanyaki tunaita , Tupokigwe,Tupokile, Tupoke,
MkuuMkuu Saint,
Msitufanyie hivi, maana hapa kariakoo majirani zangu ni wanyakyusa baadhi ya maduka huwa wananitania nahitaji kurudisha mashambulizi 😀
Nimewauliza hawajanijibu.
Maana za hayo majina?Wanyaki tunaita , Tupokigwe,Tupokile, Tupoke,
Mbona mna unyama mwingi sana, na mwaisa je?Tumsifu
To yeye tuoane tu bestiMimi nataka kujua maana ya "kiringo" ktk mila na tamaduni za waafrika
Cc Bujibuji Simba Nyamaume To yeye