Silaha na askari wamiminika mipakani mwa Israel. Biden ashtushwa. Aenda Israel mwenyewe huku akitaka Palestina wapewe nchi yao

Ni aibu, Sudan kupereka majeshi kumsaidia Palestina, Si hawa hawa ndio bado wanachinjana na Janjaweed wao kwa wao. sasa uwezo wa kumsaidia mjahidine or mfia dini Mwenzao wameupata wapi. Tuwaache wafu wazikane.
Mi,naona aibu pale nchi inapojinasibu duniani kuwa na jeshi na upelelezi Bora kupigwa counteroffensive mchana peeee🤣🤣🤣
 
Ili mradi kujifurahisha tuu, yaani Russia anatech nzuri kuzidi Israel wakati Israel ndio mvumbuzi wao? [emoji38]
 
Si rahisi, mara ya mwisho Myahudi alitandikwa vibaya sana na Hezbollah wa Lebanon, rudia homework yako.
Unajidanganya kienyeji hivyoo,
Umesahau wavaa kobazi mlivyoungana mataifa yenu yoote na mkapigwa kwa KO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…