Silaha na askari wamiminika mipakani mwa Israel. Biden ashtushwa. Aenda Israel mwenyewe huku akitaka Palestina wapewe nchi yao

Silaha na askari wamiminika mipakani mwa Israel. Biden ashtushwa. Aenda Israel mwenyewe huku akitaka Palestina wapewe nchi yao

IMG-20231016-WA0037.jpg
 
Kuna taarifa kuwa wanamgambo kutoka Iraq na Iran wamekuwa wakimiminika kwenye mipaka ya Israel hasa upande wa Lebanon.Pamoja nao ni malori yenye shehena za silaha.

'Very clear' Iran is moving people, weapons to Israel's northern border: Benjamin Hall

Hali hiyo inaonekana kumshtusha rais Joe Biden wa Marekani na kumfanya afunge safari haraka kuelekea Israel ikiwa ni siku moja tu tangu kukamilika kwa ziara ya mjumbe wake wa ngazi za juu,Anthony Blinken inayoonekana kutibua zaidi hali ya hewa katika eneo hilo.

The US is mounting a frantic effort to head off a wider Middle East war

Suala la kujiuliza jee Israel itasikiliza nasaha za kuacha ubabe na kurudisha nchi ya watu au watachagua kunyeshewa na mvua ya droni za Shaheed zile zinazoitesa Ukraine ?

View attachment 2784165
Tony Blinken wakati akiondoka Cairo baada ya mazungumzo na raisi Elsisi.
  1. US President Joe Biden will visit Israel on Wednesday to be briefed on its plans for war against Hamas militants
  2. Biden will hear from Israel how it will conduct its operations in a way that "minimises civilian casualties", the US says
 
Toka Hamas wakiwashe,paliangaziwa mambo mawili tu,waisrael wafie ndani au wahamishwe.

Kwa Nini waliliona Hilo?Hamas na washirika wao hawatotaka kusikiliza la muadhini Wala la mnadi swala mpaka kieleweke.
 
Kuchakaza ni kazi ya ndege za kivita kama F16 na lazima utokee angani au urushe mizinga kutoka ardhini.Vita hivyo kwa sasa kama viko nyuma kidogo ya wakati.Ogopa vita vya droni.
Droni hazina vishindo na zinanyemelea angani kwa muda mrefu kama kipanga.Urusi ina teknolojia iliyoendelea zaidi kuliko Israel na bado kuna muda droni za Ukraine zinapenya.Jee Israel inataka iingie mapigano hayo ilhali miji yake yote iko karibu sana na maadui zake.
Huo Ni uwongo ndugu, Israel ipo mbele ya Russia kwa tech za drone Hilo liko bayana.
 
Kuna taarifa kuwa wanamgambo kutoka Iraq na Iran wamekuwa wakimiminika kwenye mipaka ya Israel hasa upande wa Lebanon.Pamoja nao ni malori yenye shehena za silaha.

'Very clear' Iran is moving people, weapons to Israel's northern border: Benjamin Hall

Hali hiyo inaonekana kumshtusha rais Joe Biden wa Marekani na kumfanya afunge safari haraka kuelekea Israel ikiwa ni siku moja tu tangu kukamilika kwa ziara ya mjumbe wake wa ngazi za juu,Anthony Blinken inayoonekana kutibua zaidi hali ya hewa katika eneo hilo.

The US is mounting a frantic effort to head off a wider Middle East war

Suala la kujiuliza jee Israel itasikiliza nasaha za kuacha ubabe na kurudisha nchi ya watu au watachagua kunyeshewa na mvua ya droni za Shaheed zile zinazoitesa Ukraine ?

View attachment 2784165
Tony Blinken wakati akiondoka Cairo baada ya mazungumzo na raisi Elsisi.
Tulisema HAMAS hawezi kwenda kumchokonoa sehemu za kukalia za Israel.


Wapo watu nyuma ya hao jamaa
 
Hiyo lebanon itachakazwa na kuwa ukanda wa Gaza...!

Hakuna mtu ana taka kununua ugomvi ili kwake kuwe uwanja wa vita!

USA mwenyewe hapigan kwake ni anakufata huko huko sababu anajua shida ya kuwa uwanja wa vita

Hii Lebanon hawezi kukubali kuwa kama Syria, Iraq, Afghanistan nk
Waache wajinga wafarijiane maisha yamebana
 
Kama wa mama'ke Yesu eeh?
Ezekiel 38
18 Itakuwa katika siku hiyo, Gogu atakapokuja kupigana na nchi ya Israeli, asema Bwana MUNGU, ghadhabu yangu itapanda katika mianzi ya pua yangu.
19 Kwa maana katika wivu wangu, na katika moto wa ghadhabu yangu, nimenena, Hakika katika siku ile kutakuwako tetemeko kubwa katika nchi ya Israeli;
20 hata samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama wa kondeni, na vitu vyote vitambaavyo juu ya nchi, na wanadamu wote walio juu ya uso wa nchi, watatetemeka mbele ya uso wangu; nayo milima itatupwa chini, na magenge yataanguka, na kila ukuta utaanguka chini.
21 Nami nitaita upanga, uje juu yake katika milima yangu yote, asema Bwana MUNGU; nao upanga wa kila mtu utakuwa juu ya ndugu yake.
22 Nami nitamhukumu kwa tauni, na kwa damu; nami nitanyesha mvua ifurikayo, na mvua ya mawe makubwa sana, na moto na kiberiti juu yake, na vikosi vyake, na watu wa kabila nyingi walio pamoja naye.
23 Nami nitajitukuza, na kujitakasa, na kujidhihirisha, mbele ya macho ya mataifa mengi; nao watajua ya kuwa mimi ndimi Bwana.
 
Msikilize waziri mkuu wa Uyahudi wa zamani alisema nini:
 
Back
Top Bottom