Silaha za Masafa Marefu Zinazomilikiwa na JWTZ

Silaha za Masafa Marefu Zinazomilikiwa na JWTZ

Unaamini kitu gani boss ?
Watu wanaoshangilia kupasua matofali uwanjani unadhani nikisema kitu wataamini. Kenya wana procurement kubwa za silaha wanafanya, kuna muda Obama alizuia wasiuziwe light helicopters ila Trump aliruhusu. Wamenunua MRAPs kutoka Uturuki mwaka huu, mwaka jana walianza kupokea ndege zao za Skytruck walinunua 14. Mwaka jana mwishoni pia walianza kuunda meli kwenye naval base yao, kama zinaundwa kwenye naval base maana yake hata meli za kivita wataunda, ni base kubwa zaidi in Sub-Saharan Africa.

Training zao naziamini zaidi na wanapokea za ziada kutoka UK na US waliopo kwao ingawa sipendi kuwaona pale. Hao si ndio zaidi wameifundisha Ukraine. Kingine Kenya ni nchi yenye changamoto kiulinzi na inakuwa na missions chache ndogondogo kwa hiyo experience yao ni tofauti na nchi isiyo na changamoto imetulia. Duniani huwa naamini nchi iliyo na changamoto mara zote inapata uzoefu na kuwa standby. Kilichowafanya Kenya wanunue silaha zaidi na kubadilisha mbinu za mafunzo, kununua communication gear na kuunda dedicated special force yenye silaha za uhakika ni kufeli kwa jeshi lake mwanzoni mwa kupambana na Al Shabaab. Aibu waliyopata pale Westgate usitarajie itajirudia tena, wala usitarajie kuna nchi hapa East Africa ina uwezo wa kupambana na tukio kama lile kuizidi Kenya.

Mambo ni mengi
 
Mkuu, hujui kitu.
Nyamaza na tafuta muda ujiridhishe mwenyewe kwa kutafuta habari.
Weka unazi wa unaowapenda pembeni. Sifaidiki na chochote kwa kukupa wewe taarifa hizo ambazo ni dhahiri huna, halafu unajifanya wewe ni mjuwaji katika maswala hayo.

Hii ndiyo tabia ya kiTanzania isiyofaa kabisa. Kajiridhishe mwenyewe. Katafute taarifa hiyo, imejaa tele kama unajua jinsi ya kutafuta habari.
Narudia kukwambia bado una safari ndefu kama unaamini North Korea ana hypersonic missiles na Marekani hana kama ulivyosema. North Korea walisema wamefanya testing, kufanya test na kuwa na silaha ni vitu viwili tofauti kabisa. Urusi anayo Sukhoi Su-47 Berkut kama demonstration fighter na kashindwa kufanya production, anayo T-14 Armata tangu 2015 anaionyesha kwenye parade hadi leo hajafanya production. Sasa kama ungehesabu tangu mwishoni mwa miaka ya 1990s ilipoanza kuruka Berkut si hadi leo ungesema Urusi anazo forward swept wing supersonic fighters. Au tangu 2015 si ungesema Urusi ana T-14 Armata zipo tiyari kupigana. Unaweza shangaa kina Japan, UK na wengine wenye development pia wanapata hypersonic missile kabla ya North Korea, ndio maana hatuhesabii prototype, demonstration au testing vehicle kama silaha tiyari kwa matumizi.

Marekani mwenyewe anafanya testing na mwaka huu wametumia B-52 kurusha hypersonic cruise missile na ikafanikiwa. Hao wote wapo kundi moja la testing, sio North Korea amefanya test unasema anazo alafu Marekani amefanya test vilevile unasema hana. Wote kwa sasa hawana hizo silaha.

Wenye hizo silaha kwa sasa ni China na Urusi tu ndio ukiwaanzishia vita hata leo wanazitumia. Hao North Korea wametengeneza prototype ya testing tiyari unashangilia wana silaha. Kwenye inventory yao si ajabu hupati hata hypersonic missile zaidi ya moja, its either ipo kwenye factory inatengenezwa au imepelekwa kwenye arsenal kusubiri test launch nyingine.
 
Usichukie,nukuu point yangu,Tanzania haina uwezekano wa kuvamiwa kama Ukraine,ukiangalia historia ya Ukraine na Tanzania tuko tofauti sana,Tanzania inafanana na nchi kama Uswisi,tukitumia fedha nyingi kwenye zana za kivita ni upotezaji wa fedha,zana zilizopo zinatosha kwa ajili ya maonyesho ya tarehe 9 December na siku ya uhuru.
Unasema tunafanana na nchi kama Uswizi unajua inatumia gharama kiasi gani kwenye ulinzi? Last year iliagiza F-35 stealth fighters zaidi ya 30 kwa gharama zaidi ya $5 billion na hapo inaongezea ndege aina nyingine ilizonazo. Na unajua Uswizi imewekeza kiasi gani kwenye diplomasia na ujasusi. Haitokei tu ikawa salama kuna jitihada nyingi za makusudi na za gharama inafanya, na sisi hatufanyi hizo
 
Watu wanaoshangilia kupasua matofali uwanjani unadhani nikisema kitu wataamini. Kenya wana procurement kubwa za silaha wanafanya, kuna muda Obama alizuia wasiuziwe light helicopters ila Trump aliruhusu. Wamenunua MRAPs kutoka Uturuki mwaka huu, mwaka jana walianza kupokea ndege zao za Skytruck walinunua 14. Mwaka jana mwishoni pia walianza kuunda meli kwenye naval base yao, kama zinaundwa kwenye naval base maana yake hata meli za kivita wataunda, ni base kubwa zaidi in Sub-Saharan Africa.

Training zao naziamini zaidi na wanapokea za ziada kutoka UK na US waliopo kwao ingawa sipendi kuwaona pale. Hao si ndio zaidi wameifundisha Ukraine. Kingine Kenya ni nchi yenye changamoto kiulinzi na inakuwa na missions chache ndogondogo kwa hiyo experience yao ni tofauti na nchi isiyo na changamoto imetulia. Duniani huwa naamini nchi iliyo na changamoto mara zote inapata uzoefu na kuwa standby. Kilichowafanya Kenya wanunue silaha zaidi na kubadilisha mbinu za mafunzo, kununua communication gear na kuunda dedicated special force yenye silaha za uhakika ni kufeli kwa jeshi lake mwanzoni mwa kupambana na Al Shabaab. Aibu waliyopata pale Westgate usitarajie itajirudia tena, wala usitarajie kuna nchi hapa East Africa ina uwezo wa kupambana na tukio kama lile kuizidi Kenya.

Mambo ni mengi
OOH! KENYA.
 
Kati ya mwaka 2003 hadi 2007 nilifanya kazi nyingi za kitafiti kwenye jeshi la Marekani. Mpaka leo bado nina marafiki ambao wameshastaafu jeshini lakini bado ni consultants wa mambo ya kivita na huwa tunaongea mara kwa mara na vile vile hunisidia kupata hela za kufanyia utafiti. Ninawaamini sana wao kuliko unavyoniambia wewe.

Kufikia spidi ya Mach 5 siyo hadithi ya lelemama. Concorde ilikuwa inafikia March 2 tu na ilikuwa ni lazima iruke hadi kufikia altitude ya km18 juu ya uso wa dunia ili kufikia spidi hiyo. Maroketi yanayokwenda anga za juu hufikia max q kwa spidi chini sana ya hapo mpaka yanapovuka atmopsheric space.
Balaaaaa
 
Jamani huyu ameuliza kuhusu kijeshi chetu na siyo US wala Russia....
Tumwambie ukweli ni hivi...
Yale magari makubwa ya kizamani unayaonaga siku ya mashujaa, hayo chini ni ya kichina yanajulikana kama A 100, na masfa yake ni kati 40km mpaka 100km, hata Morogoro hayafikishi...
View attachment 2219729



Vile viroket unavinaga uwanja wa taifa ni vya kutungulia ndege za bangaboi sio za kisasa kama Sukhoi za jeshi la Uganda au Northrop 5E za jeshi la kenya,hutu tuanitwa SA-6 (2K12 Kub) kutoka Russia, tulitengenezwa 1958, na tuna masafa ya mpaka 24km
1652222708652-png.2219730



Na hii ndio Uganda Sukhoi, tukizitaka hizi inabidi serkali ianze kugawa basikeli kwa wabunge na mawaziri ili kwenda sambaba na bei ya mafuta na uendeshaji, Uganda wana Mafuta yao.....
View attachment 2219714


Halafu hawa jamaa hapa chini, wanachekesha sana....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2219732

View attachment 2219731

View attachment 2219733


Na hii ni Kenya Northrop 5E
View attachment 2219718

View attachment 2219730
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Narudia kukwambia bado una safari ndefu kama unaamini North Korea ana hypersonic missiles na Marekani hana kama ulivyosema. North Korea walisema wamefanya testing, kufanya test na kuwa na silaha ni vitu viwili tofauti kabisa. Urusi anayo Sukhoi Su-47 Berkut kama demonstration fighter na kashindwa kufanya production, anayo T-14 Armata tangu 2015 anaionyesha kwenye parade hadi leo hajafanya production. Sasa kama ungehesabu tangu mwishoni mwa miaka ya 1990s ilipoanza kuruka Berkut si hadi leo ungesema Urusi anazo forward swept wing supersonic fighters. Au tangu 2015 si ungesema Urusi ana T-14 Armata zipo tiyari kupigana. Unaweza shangaa kina Japan, UK na wengine wenye development pia wanapata hypersonic missile kabla ya North Korea, ndio maana hatuhesabii prototype, demonstration au testing vehicle kama silaha tiyari kwa matumizi.

Marekani mwenyewe anafanya testing na mwaka huu wametumia B-52 kurusha hypersonic cruise missile na ikafanikiwa. Hao wote wapo kundi moja la testing, sio North Korea amefanya test unasema anazo alafu Marekani amefanya test vilevile unasema hana. Wote kwa sasa hawana hizo silaha.

Wenye hizo silaha kwa sasa ni China na Urusi tu ndio ukiwaanzishia vita hata leo wanazitumia. Hao North Korea wametengeneza prototype ya testing tiyari unashangilia wana silaha. Kwenye inventory yao si ajabu hupati hata hypersonic missile zaidi ya moja, its either ipo kwenye factory inatengenezwa au imepelekwa kwenye arsenal kusubiri test launch nyingine.
Maana ya ku'test' ni nini? Unapo'test' na kufanikiwa, si una hiari ya kutengeneza ulicho'test'?
Korea kafanya 'test' na amefanikiwa. Kwa hiyo unataka leo aje akwambie ameanza kutengeneza ama hapana?

Hujasema kama alipo'test' ilionekana kuwa ameshindwa. Kwa hiyo ana hiari ya kutengeneza silaha hiyo.

Inaonekana bado unayo kasumba ya kudhani kwamba ni hayo mataifa unayoyahusudu tu ndiyo yenye uwezo wa kutengeneza vitu pekee. Hii ni kasumba tu, inafaa uondokane nayo.
 
Wamagharibi wenyewe wanasema Urusi anatumia silaha za zamani tu mpya hajatoa hata kidogo zaidi ya yale makombora yasiyozuilika.

Hata US/NATO hakuna anaempa Ukraine silaha mpya zote ni za zamani tu.

Yaani kwa operation ya Ukraine Urusi ni kama anasafisha stoo tu..
Kawaida mtu akishajua weakness yko ni rahisi sana kukushambulia. Lakini hao US na NATO sioni wanachokifanya.
Si kama ilivyokuwa Iraq , Afghanistan na nchi zingine?
 
Maana ya ku'test' ni nini? Unapo'test' na kufanikiwa, si una hiari ya kutengeneza ulicho'test'?
Korea kafanya 'test' na amefanikiwa. Kwa hiyo unataka leo aje akwambie ameanza kutengeneza ama hapana?

Hujasema kama alipo'test' ilionekana kuwa ameshindwa. Kwa hiyo ana hiari ya kutengeneza silaha hiyo.

Inaonekana bado unayo kasumba ya kudhani kwamba ni hayo mataifa unayoyahusudu tu ndiyo yenye uwezo wa kutengeneza vitu pekee. Hii ni kasumba tu, inafaa uondokane nayo.
Saa unasemaje Marekani hana hizo silaha wakati yeye mwenyewe kafanya test na kufanikiwa? Why successful testing ya North Korea useme wana hypersonic missiles alafu ya Marekani useme hawana?

Kwenye silaha prototype na type ni vitu viwili tofauti. Russia alitengeneza Sukhoi Su-57 prototypes jumla ya 10 kwa ajili ya testing kwa vipindi tofauti tofauti, hata alipokuwa na prototype ya 10 bado Su-57 hatukuwa tunahesabu kwenye silaha maana hazipo. North Korea wameanza kurusha makombora kabla ya mwaka 2000 ila ICBM ya kwanza walikuwa nayo mwaka 2017, walifanya test za nuclear weapons 6 kiujumla. Itakuwa wewe uliposikia wametest mara ya kwanza ulisema wana nukes tiyari.

Kuna nchi nyingi zina projects za hypersonic missiles ila ni nchi mbili tu China na Russia zenye hizo silaha kwa sasa. Kipanya ana prototype ya gari lake, lile haliuzwi wala kwenye soko halipo. Tutaanza kuhesabu magari yake yatakapokuwa kwenye production, tungehesabu hili hapa basi Tanzania kungekuwa na model ya gari ile iliyotengenezwa na Nyumbu miaka ya Nyerere uko na ambayo haipo sokoni.
 
wamepitwa sana mzee; Usitishwe na hayo makombora ya hypersonic au isobaric. Hizo siyo silaha za kushindia vita kwani jeshi haliwezi kuwa nazo nyingi kiasi hicho, na in fact kiwanda cha silaha hizo sasa hivi kimeshindwa kuendelea na kazi kutokana na vikwazo.
Kaka kuwa specific kwamba Russia wamepitwa na nani? nitajie nchi tano tu zinazoongoza kwa utengenezaji wa siraha za kisasa za kivita.Kwanza Russia hajakutana stiff resistance ya kupelekea yeye kutumia modern tech yake kwenye siraha.
 
Saa unasemaje Marekani hana hizo silaha wakati yeye mwenyewe kafanya test na kufanikiwa? Why successful testing ya North Korea useme wana hypersonic missiles alafu ya Marekani useme hawana?

Kwenye silaha prototype na type ni vitu viwili tofauti. Russia alitengeneza Sukhoi Su-57 prototypes jumla ya 10 kwa ajili ya testing kwa vipindi tofauti tofauti, hata alipokuwa na prototype ya 10 bado Su-57 hatukuwa tunahesabu kwenye silaha maana hazipo. North Korea wameanza kurusha makombora kabla ya mwaka 2000 ila ICBM ya kwanza walikuwa nayo mwaka 2017, walifanya test za nuclear weapons 6 kiujumla. Itakuwa wewe uliposikia wametest mara ya kwanza ulisema wana nukes tiyari.

Kuna nchi nyingi zina projects za hypersonic missiles ila ni nchi mbili tu China na Russia zenye hizo silaha kwa sasa. Kipanya ana prototype ya gari lake, lile haliuzwi wala kwenye soko halipo. Tutaanza kuhesabu magari yake yatakapokuwa kwenye production, tungehesabu hili hapa basi Tanzania kungekuwa na model ya gari ile iliyotengenezwa na Nyumbu miaka ya Nyerere uko na ambayo haipo sokoni.
Mkuu, tusizungushane bure. Unayokazania hapa ni 'semantics' tu zisizokuwa na maana yoyote.
Kama 'prototype' ya kitu ipo, na imekwishaonyeshwa kwamba kitu hicho kinawezekana kutengenezwa, ni swala la maamuzi tu la mhusika kutengeneza au asitengeneze ikitegemea na mahitaji yaliyopo.
Kama Korea Kaskazini, katengeneza 'prototype', na kuijaribu, na kuona inafanya kazi, na mahitaji yake yakijulikana ni ya haraka kwa ulinzi wake, wewe ni nani ung'ang'anie kwamba hana. Kwa hiyo hapa unaweza kudai pia kwamba hana silaha za nuklia, kwa vile amekuwa akifanya majaribio yake? Unadai pia kuwa hana 'ICBM', na hana makombora hayo?

Vipi bwana, mbona unajitoa ufahamu hivyo?

Sawa, unaweza kuwa na uelewa kiasi juu ya haya mambo ya masilaha, lakini hilo halikupi ujuaji wa kujua ni nani anazo na nani hana, na ukijua 'prototype' tayari zipo. Maamuzi ya kutengeneza ni ya nchi husika, ikizingatia mahitaji ya nchi yenyewe.
 
Kaka kuwa specific kwamba Russia wamepitwa na nani? nitajie nchi tano tu zinazoongoza kwa utengenezaji wa siraha za kisasa za kivita.Kwanza Russia hajakutana stiff resistance ya kupelekea yeye kutumia modern tech yake kwenye siraha.
Hata Ujerumani inawazidi. Hawajapata stiff resistance huku majenerali wanauwawa kama makoplo? Kazi yao kubwa ni kurusha makombora ya kuuwa raia na kubomoa makazi ya watu lakini wanapokutana vita ya ana kwa ana hawana ubavu. Vifaru vinabomolewa kama vibuyu
 
Hata Ujerumani inawazidi. Hawajapata stiff resistance huku majenerali wanauwawa kama makoplo? Kazi yao kubwa ni kurusha makombora ya kuuwa raia na kubomoa makazi ya watu lakini wanapokutana vita ya ana kwa ana hawana ubavu. Vifaru vinabomolewa kama vibuyu
Kaka hii ni kwa mujibu wa takwimu au maelezo yako?!😃
 
kwa levo za nch zetu nahic tuko vzur kuna sku zlkua znapta zana za kijesh mepgwa chata za UN kuelekea lugalo na kule ununio asee watakao omba batle na sie wajpange na izo n kwa darslam bado iyo mikoa ya mipakan ambayo ndio ua na silaha nzto zaid kimsng hakuna taifa ambalo halijajiwekeza ki usalama hata kama hakuna machafuko

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Afadhali ww umewatolea tongotongo watu maana mimi nimesoma nikakosa nianzie wapi ila mwenye akili na aelewe
 
Kaka hii ni kwa mujibu wa takwimu au maelezo yako?!😃
Unajua Urusi imepoteza majenerali na makanali wangapi? Na ni vifaru vingapi vinaozea kwenye ardhi ya Ukraine leo?

Iwapo Ukraine ingekuwa na jeshi kubwa la kupambana sehemu mbalimbali sasa hivi Urusi wangekuwa taabuni sana. Ila Advantage kwa Urusi ni kwa vile wana wapiganaji wengi sana walioanza kwa kuizunguka Ukraine yote, na jeshi la Ukraine haiwezi kusambazwa sehemu zote hizo. Lakini pale jeshi la Ukraine linapopigania, Urusi wanapata tabu sana. Watatumia makombora ya kubomoa makazi ya watu na miundo mbinu lakini wanapokutana na wanaume wenzao uso kwa uso wanakunja mkia.
 
Historia ya mashindano ya kwenda anga za juu unaikosea. Mpaka mwaka 1957 marekani ilikuwa haifikirri kwenda anga za juu wakati Urusi ilianza mwaka 1951; kwa hiyo urusi ilianza mapema shughuli hiyo. Mwaka 1957 waliporusha satellite ile ya Sputnik, ndipo Marekani nao wakaona kuna haja ya kuingia kwenye anga za juu kwani hiyo spunik inaweza kuangusha Bomu la atomik ndani ya nchi kwa kutokea angani. Ndipo NASA ilipoanzishwa mwaka 1958; kwa hiyo Wakati Gagarin anaingia angani mwaka 1960, ilikuwa ni baada ya warusi kufanya utafiti wa takriban miaka kumi wakati NASA ndipo wanaaza tu. Rais Kennedy alipofungua ile Appolo program mwaka 1961, ndipo NASA nao wakaanza maswala ya safari za anga za juu, juhudi zilioiwezesha marekani ni kuwa ya kwanza kupeleka watu kwenye mwezi; zilipigia safari nyingi sana kwenda mwezini na kurudi; sita zilitua na watu, na nyingine zilikuwa zinazunguka mwezi na kurudi na nyingi sana zililuwa zinakwenda bila watu.

Kwa hiyo ingawa ni kweli kuwa Urusi ilitangulia kujishughulisha kwenye mambo ya anga za juu, siyo kuwa ilishinda mashindano hayo, kwani baadaye NASA ndiyo mshindi. Iwapo wangeanza pamoja mashindano hayo, ni wazi NASA angewaacha Urusi mbali sana. Safari za NASA zimetusaidia vitu vingi sana ikiwemo aina za magodoro ya zero g, viatu vya laba, Inertial navigation Systems zinazotumika kwenye usafiri wa ndege za abiria, na mengine mengi sana ambapo juhudi za urusi zilizokuwa ni za kutaka ufahari tu. Hakuna product kwenye maisha ya kila siku unayoweza kuihusisha moja kwa moja na space program ya Urusi labda satellite tu.
Urusi alianza Marekani akafatia nimekuelewa kwa hili,kwa mtazamo wako huoni kuwa Urusi ni bora kuliko Marekani?
 
Back
Top Bottom