Kwahiyo wakitaka kupigana na urusi itabidi wakanunue siraha za urusi?Silaha za NATO ni kwa ajili ya mazoezi tu, siyo battle field
Hakuna nchi sasa hivi inataka tena mfumo wa ulinzi wa Marekani. Baada ya vita ya Syria uturuki ilifuta deal la kununua mifumo ya ulinzi ya kimarekani ikanunua ile ya Urusi. Silaha zinazopelekwa Ukraine na NATO wanashitukia zinawaka moto zote wakati kuna mifumo ya ulinzi madhubuti ya kisasa ya Marekani.Hujakosea! Nimeona zilivyobadiri upepo kule Syria, na nashuhudia hapo Ukraine.
Tutajie hizo silaha za Nato zilizoonyesha uwezo mdogo.Vita ya Syria na Ukraine imeonyesha kuwa Silaha za magharibi (NATO) zimeonyesha uwezo mdogo sana dhidi ya zile za nchi za Magharibi.
Javlin hamna kitu mpaka wajeda wa Ukraine wameiona ni mzigo wakaanza kuyatupa hovyo kiufupi nato weupe hawana walijualo kuhusu weaponsTutajie hizo silaha za Nato zilizoonyesha uwezo mdogo.
'Javelin' ndio kiboko ya vifaru ya Warusi, vingi vimeishia kugeuka vyuma chakavu hapo Ukraine.
Cheki hii ngombe bioa Javelin ule msafara wa Vifaru wa Russia, husingegeuka majivu pale KievJavlin hamna kitu mpaka wajeda wa Ukraine wameiona ni mzigo wakaanza kuyatupa hovyo kiufupi nato weupe hawana walijualo kuhusu weapons
Wanatengeneza na mamuvi yao kusapoti hizo propaganda za kijinga kumbe tabulalasaWamarekani si wanasemaga wanaundugu na viumbe kutoka magalax ya mbali huko na ndiyo wanaowapa taknologia, Sasa wanashindwaje taknologia na Urusi
Ulikuwa unafaulu vipi mitihani aseCheki hii ngombe bioa Javelin ule msafara wa Vifaru wa Russia, husingegeuka majivu pale Kiev
Ni mtoto wa mbu muache mkuuUlikuwa unafaulu vipi mitihani ase
Msafara haukusambaratishwa wote Bali baada ya kuona Hali ya Vita yaani Ukraine kuleta upinzani wa kutosha ndipo Russia walipogeuza msafara wao kurudi Mashariki wanapofanikiwa mpaka leo.Ulikuwa unafaulu vipi mitihani ase