Silaha za Urusi ni bora kuliko za Marekani, ni kimbilio la mataifa mengi kuanzia sasa

Silaha za Urusi ni bora kuliko za Marekani, ni kimbilio la mataifa mengi kuanzia sasa

Link ipo chini, katazame huko youtube, like na u subscribe asante sana.

Filamu Pictures, wanawaletea kazi ya filamu ya kitanzania iitwayo PETE

Kutana na Bwana Lidawi, mvuvi mwenye hali ngumu na mke mgonjwa na jinsi anavyoingia matatizoni kutokana na pete ya maajabu iliyofika katika ulimwengu wa wanadamu kwa ajili ya kazi maalum

Kutana na Bwana Songolo mtu tajiri, mkorofi na mkali sana, ambaye nae anajikuta yuko katikati ya mikasa hiyo ipatayo bwana Lidawi

Karibuni
 
Watu wanavyobishana humu kuhusu siraha unaweza kudhani ni ma engineer wa siraha au wachambuzi wa silaha[emoji23][emoji23][emoji23]
Uchambuzi niufuatiliaji tu ndio maana hata wachambuzi soka wengi wao hata danadana moja hawapigi
 
USA ni weupe sana kwenye kupimana ubavu na Russia anachoweza USA ni mdomo mwingi sana na propaganda za mitandaoni
Ni sawa na mbwa koko akikuona mbali anabweka sana ila ukimkaribia anatoka nduki
 
USA ni weupe sana kwenye kupimana ubavu na Russia anachoweza USA ni mdomo mwingi sana na propaganda za mitandaoni
Ni sawa na mbwa koko akikuona mbali anabweka sana ila ukimkaribia anatoka nduki
baruti
 
Mungu hawapendi wazungu, amewavumilia amechoka

 
Propaganda za magharibi, oooh Putin yu mahututi, kachanganyikiwa ni uongo mtupu. Ona mwanaume anakata mitaa nchi nyingine kusaidia na wa huko kwingine.



 
Back
Top Bottom