Silaha za Urusi ni bora kuliko za Marekani, ni kimbilio la mataifa mengi kuanzia sasa

Silaha za Urusi ni bora kuliko za Marekani, ni kimbilio la mataifa mengi kuanzia sasa

Silaha za kirusi zilizofanya vizuri Ni pamoja na Iskander missiles,
Kalibre missiles,
Terminator mfano wa kifaru.
Bila kusahau
Russian Navy japo hiyo kalibre hutoka humo.
Pia hatuwezi kupuuza uwepo was kazi mzuri zinazoendelea kufanywa na mifumo ya Ulinzi wa anga Russian S 300 PMU,na s400
Lakini Kuna zile zilizofanya vibaya Sana Eg vifaru model ya T 72 ambacho Ni kizazi Cha tatu Cha vifaru .
Ukiachana na Hilo kina model hii ya kifaru inaitwa t90 imeendelea kufanya vizuri Mashariki mwa Ukraine licha ya uwepo was JAVELIN Anti Tank Missiles
Nani amekuambia Russian Navy inab ubora fulani? Au unamaanisha jaribio la Moskva kuwa nyambizi??
 
Javlin hamna kitu mpaka wajeda wa Ukraine wameiona ni mzigo wakaanza kuyatupa hovyo kiufupi nato weupe hawana walijualo kuhusu weapons
Hujaelewa kitu chenyewe? Javelin ni bomba kubwa na kutoka humo kombora linarushwa. Baadaye haina kazi tena, unatupa. Hapo siri ya picha za javelin zilizokusanywa. Ni silaha yenye uwezo mkubwa, ilizuia maendeleo ya Putin Kyiv na kuzuia ndegevita zake kudhibiti anga.
 
Kavulata sijui habari zako unachukua wapi? Sioni nchi zinazohamia upande wa silaha za kirusi. Una data zozote? Lete
Hata hujui kitu wewe, Erdogan aliingia kwenye mzozo mkubwa na Marekani baada ya kusitisha mkataba wa kununua silaha na mifumo ya ulinzi kutoka US na kwenda kununua Urusi S 300 na S 400. Biden alimuomba Rais wa Turkey msaidie Ukraine kumpa mifumo ya S400 baada ya mifumo yote ya magharibi kushindwa kuzuia makombora ya Putin. Silaha za marekani zinalipuliwa kwenye maghala pamoja na kuwepo kwa mifumo ya ulinzi ya kimarekani
 
Hujaelewa kitu chenyewe? Javelin ni bomba kubwa na kutoka humo kombora linarushwa. Baadaye haina kazi tena, unatupa. Hapo siri ya picha za javelin zilizokusanywa. Ni silaha yenye uwezo mkubwa, ilizuia maendeleo ya Putin Kyiv na kuzuia ndegevita zake kudhibiti anga.
Kakaaa, Kule Ukraine hakuna eneo muhimu sana kiuchumi kama eneo la Donbas ambalo Putin ameliteka kwa kiasi kikubwa na kulimiliki. Hizo javelin zilikuwepo na hazikufua dafu. Kumbuka kuwa huu mzozo ni kwa marekani na Uk dhidi ya Putin, baada ya kuwashinda ndio sasa wanajifisha nyuma ya NATO, G7 na EU. Hakuna wanachoweza kabla dunia yote haijalipuliwa kwa nukes
 
Hata hujui kitu wewe, Erdogan aliingia kwenye mzozo mkubwa na Marekani baada ya kusitisha mkataba wa kununua silaha na mifumo ya ulinzi kutoka US na kwenda kununua Urusi S 300 na S 400. Biden alimuomba Rais wa Turkey msaidie Ukraine kumpa mifumo ya S400 baada ya mifumo yote ya magharibi kushindwa kuzuia makombora ya Putin. Silaha za marekani zinalipuliwa kwenye maghala pamoja na kuwepo kwa mifumo ya ulinzi ya kimarekani
Nisamehe mkuu lakini umeleta mfano usio na uhusiano wa vita ya Ukraine. Urusi ilipata wateja tangu miaka mingi kati ya nchi ambazo hazina pesa au ambazo hazitaki kutumia pesa nyingi mno. Kumpata Uturuki kulikuwa nafasi ya pekee kutoboa mstari wa ulinzi wa NATO - maana mfumo wa S 400 hautatumiwa kupiga ndege za Kirusi.

Kwa nini Waturuki walinunua? Sababu si ubora wa SS 400 juu ya mifumo mingine, sababu ni siasa. Erdogan alikasirika kuhusu Marekani kulinda Waislamu wa Gülen ambao anawashtaki kuwa magaidi.

Swali langu lilikuwa hii: kama ninakuelewa vema, unafikiri kwamba nchi nyingi zinanunua sasa silaha za Urusi kutokana na ubora ulionekana Ukraine. Hapo niliomba ulete mifano na takwimu.

Kinyume siamini ni kweli. Hakuna silaha bora za Urusi kushinda nchi za NATO (kifaru bora walichotengeneza Armata 14, haiko hali halisi kwa sababu walishindwa kutenegeneza idadi ya maana).
Hasa silaha ambazo zinatumia tekinolojia ya kisasa kabisa, kuna matatizo kwa sababu walitegemea vipuli kutoka nje - ambazo hazifiki tena kwa urahisi kutokana na vikwazo. Hapa tunaona wanatumia mara kwa mara makombora ya zamani hivyo wana matatizo ya kulenga vema (mfano ile supameket waliyopiga, badala ya kiwando kando lake).
 
Kuna ushabiki na uhalisia ,hii thread unaongea ushabiki na sio uhalisia ulivo.Ukweli ni kwamba NATO chini ya USA ni moto wa kuotea mbali na Urusi anawaogopa hao NATO .Na ukweli ni kwamba pamoja na Ukureine kuhalibiwa miundombinu yake lakini kwa msaada anapewa na NATO under USA hii vita atashinda na huu ndiyo unaenda kuwa mwisho wa Putin kama Rais wa Urus na Duniani pia.
Acha muda utatupa majibu ni nani kati ya NATO na Urus aliye na silaha Bora .
Tena kumbuka Hawa NATO chini ya USA ndiyo wanaongoza Dunia mifumo yote ya kuendesha Dunia wanayo wao iwe kijeshi,kiuchumi,na hata kitamaduni.Kwa Hali hiyo hii vita watamshinda Mrusi.
Unaweza bisha lakini huu ndiyo ukweli.
Naona unakata gogo huku ukijipa matumaini hebu maliza kukata hilo gogo uone kama utabaki na hili tumaini
 
Nisamehe mkuu lakini umeleta mfano usio na uhusiano wa vita ya Ukraine. Urusi ilipata wateja tangu miaka mingi kati ya nchi ambazo hazina pesa au ambazo hazitaki kutumia pesa nyingi mno. Kumpata Uturuki kulikuwa nafasi ya pekee kutoboa mstari wa ulinzi wa NATO - maana mfumo wa S 400 hautatumiwa kupiga ndege za Kirusi.

Kwa nini Waturuki walinunua? Sababu si ubora wa SS 400 juu ya mifumo mingine, sababu ni siasa. Erdogan alikasirika kuhusu Marekani kulinda Waislamu wa Gülen ambao anawashtaki kuwa magaidi.

Swali langu lilikuwa hii: kama ninakuelewa vema, unafikiri kwamba nchi nyingi zinanunua sasa silaha za Urusi kutokana na ubora ulionekana Ukraine. Hapo niliomba ulete mifano na takwimu.

Kinyume siamini ni kweli. Hakuna silaha bora za Urusi kushinda nchi za NATO (kifaru bora walichotengeneza Armata 14, haiko hali halisi kwa sababu walishindwa kutenegeneza idadi ya maana).
Hasa silaha ambazo zinatumia tekinolojia ya kisasa kabisa, kuna matatizo kwa sababu walitegemea vipuli kutoka nje - ambazo hazifiki tena kwa urahisi kutokana na vikwazo. Hapa tunaona wanatumia mara kwa mara makombora ya zamani hivyo wana matatizo ya kulenga vema (mfano ile supameket waliyopiga, badala ya kiwando kando lake).
 
[emoji599][emoji599][emoji599][emoji1112]#Breaking: Serbian cargo plane carrying #NATO weapons to Ukraine, possibly targeted over Greece. https://t.co/5sjazWueu6

Update: NATO investigating the incident tonight and will release an statement tomorrow
20220716_223941.jpg
 
Kuna ushabiki na uhalisia ,hii thread unaongea ushabiki na sio uhalisia ulivo.Ukweli ni kwamba NATO chini ya USA ni moto wa kuotea mbali na Urusi anawaogopa hao NATO .Na ukweli ni kwamba pamoja na Ukureine kuhalibiwa miundombinu yake lakini kwa msaada anapewa na NATO under USA hii vita atashinda na huu ndiyo unaenda kuwa mwisho wa Putin kama Rais wa Urus na Duniani pia.
Acha muda utatupa majibu ni nani kati ya NATO na Urus aliye na silaha Bora .
Tena kumbuka Hawa NATO chini ya USA ndiyo wanaongoza Dunia mifumo yote ya kuendesha Dunia wanayo wao iwe kijeshi,kiuchumi,na hata kitamaduni.Kwa Hali hiyo hii vita watamshinda Mrusi.
Unaweza bisha lakini huu ndiyo ukweli.
Hizi dharau ndizo zinazo waponza umekariri mambo mengi nakushauri ku update data kichwani mwaki na ufuatilie international news na siyo kukariri, ulisema USA Wana mifumo ya kuendesha Dunia Sasa warusi wanaporusha missiles na ku hit target wanatumia mfumo upi? Waulize Saudi Arabia kwanini kiwanda Chao kikubwa Cha kuchakata mafuta kilikuwa kinapigwa Kila wakati na maroketi kutoka Houth wa Yemen na kilikuwa na mifumo inayoitwa madhubuti kutoka USA yaani THAAD lakini tangu mifumo kutoka Russia S-400 hakuna hata kunguru anaekatiza pale kiwandani! Wewe endelea kukariri hayo madude ya USA yanayoonesha ufanisi kwenye uwanja wa mazoezi (War masturbation) ila kwenye uwanja wa vita unawaachi Urusi na Israel kama hutaki kakojoe ulale
 
Hizi dharau ndizo zinazo waponza umekariri mambo mengi nakushauri ku update data kichwani mwaki na ufuatilie international news na siyo kukariri, ulisema USA Wana mifumo ya kuendesha Dunia Sasa warusi wanaporusha missiles na ku hit target wanatumia mfumo upi? Waulize Saudi Arabia kwanini kiwanda Chao kikubwa Cha kuchakata mafuta kilikuwa kinapigwa Kila wakati na maroketi kutoka Houth wa Yemen na kilikuwa na mifumo inayoitwa madhubuti kutoka USA yaani THAAD lakini tangu mifumo kutoka Russia S-400 hakuna hata kunguru anaekatiza pale kiwandani! Wewe endelea kukariri hayo madude ya USA yanayoonesha ufanisi kwenye uwanja wa mazoezi (War masturbation) ila kwenye uwanja wa vita unawaachi Urusi na Israel kama hutaki kakojoe ulale
 
Vita ya Syria na Ukraine imeonyesha kuwa Silaha za magharibi (NATO) zimeonyesha uwezo mdogo sana dhidi ya zile za nchi za Magharibi. Nchi nyingi sasa zinawaza kwenda kununua silaha na mifumo ya ulinzi ya Urusi zenye ufanisi mkubwa kwenye uwanja wa vita kuliko zile za NATO.

NATO sasa inawaza kuachana na vita dhidi ya Urusi, hawaiwezi, wamekiri wenyewe kuwa mataifa yoooote ya ulaya na Marekani.

yanaiogopa Urusi, yaani NATO ni kwaajili ya Russia tu.

Sio Bora ila ni Bei rahisi.kuna madude kama HIMARS yalo tisa tu lakin hatari sana.
saintjavelin-20220718-0003.jpg
 
Hakuna nchi sasa hivi inataka tena mfumo wa ulinzi wa Marekani. Baada ya vita ya Syria uturuki ilifuta deal la kununua mifumo ya ulinzi ya kimarekani ikanunua ile ya Urusi. Silaha zinazopelekwa Ukraine na NATO wanashitukia zinawaka moto zote wakati kuna mifumo ya ulinzi madhubuti ya kisasa ya Marekani.
Ndio maana Putin kamuonya Zelewinky kuwa atapiga Ikuru ijapokuwa Kuna makombora ya Ulinzi toka USA
 
Back
Top Bottom