Silaha za Urusi ni bora kuliko za Marekani, ni kimbilio la mataifa mengi kuanzia sasa

Silaha za Urusi ni bora kuliko za Marekani, ni kimbilio la mataifa mengi kuanzia sasa

URUSI sio ZIMBABWE
Kuna ushabiki na uhalisia ,hii thread unaongea ushabiki na sio uhalisia ulivo.Ukweli ni kwamba NATO chini ya USA ni moto wa kuotea mbali na Urusi anawaogopa hao NATO .Na ukweli ni kwamba pamoja na Ukureine kuhalibiwa miundombinu yake lakini kwa msaada anapewa na NATO under USA hii vita atashinda na huu ndiyo unaenda kuwa mwisho wa Putin kama Rais wa Urus na Duniani pia.
Acha muda utatupa majibu ni nani kati ya NATO na Urus aliye na silaha Bora .
Tena kumbuka Hawa NATO chini ya USA ndiyo wanaongoza Dunia mifumo yote ya kuendesha Dunia wanayo wao iwe kijeshi,kiuchumi,na hata kitamaduni.Kwa Hali hiyo hii vita watamshinda Mrusi.
Unaweza bisha lakini huu ndiyo ukweli.
 
Tutajie hizo silaha za Nato zilizoonyesha uwezo mdogo.

'Javelin' ndio kiboko ya vifaru ya Warusi, vingi vimeishia kugeuka vyuma chakavu hapo Ukraine.
T14 Armata
India mwezi huu imechochea program yake ya kuongeza idadi ya fighter jets zisizozidi 114 kwa gharama ya dola bilioni 20 za Marekani. Kati ya ndege tano top contenders hakuna ndege ya Urusi. Ndege mbili za Boeing ya Marekani, Dassault Rafale ya Ufaransa, Lockheed Martin ya Marekani, Saab ya Sweden, consortium ya Europe wametinga na Eurofighter Typhoon yao. Russia imeleta Su-35 na Mig-35 zao ila hazipewi nafasi kubwa ingawa ndio zina bei ndogo zaidi.

India wana ndege za Urusi nyingi na wanaachana nazo taratibu, hata hii stealth Su-57 walianza nayo kipindi inaitwa PAK FA ila wakajiondoa baada ya gharama kupanda, specs kuwa tofauti na delays, wakaiacha Russia yenyewe. Mwaka 2019 waliagiza Dassault Rafales 36 baada ya mgogoro wa mpakani na China kwenye eneo la Ladakh. Kwanini hawakuongezea idadi ya Su-30MKI tena ambazo Hindustan pale India inaweza tengeneza components nyingi kulingana na mkataba maana MKI ni modification ya India tu. Rafale inapewa nafasi kubwa zaidi

India mwaka huu wamepiga chini mkataba wa kuongeza Kamov Ka-31 helicopters 10 za Urusi kwa ajili ya Navy yao, wakati huo procurement ya helicopters za Marekani inafanyiwa kazi. Kati ya ndege 114 hizo za future program India wanataka navy jet kwa ajili ya aircraft carrier yao. Kwahiyo hapo Russia hana chake, hapo kuna contenders wawili: Dassault Rafale na Boeing Super Hornet.

Tuachane na India ambayo ndio top Russian weapons importer duniani, twende kwa Egypt ambayo ndio top Russian weapons importer in Africa na Middle East, na wana ndege aina nyingi sana wanachanganya hawa sijui huwa wanawezaje maintenance. Egypt wana Rafales baada ya kuzipima dhidi ya Mig-29 wakagundua Mig-29 (ambazo waliagiza ziwe modified zije Mig-35 ila wakapewa Mig-29M2) na PESA radar yake haizidi Rafale. Na wamepunguza order quantity ilimradi wasivunje mkataba waliosaini 2018 kununua Su-35.

Indonesia mwaka jana iliachana na ndoto za Sukhoi wakati ilishatenga hela ikachukua Boeing F-15 kwa sababu hiyohiyo ya PESA radar kwenye karne hii.

Algeria ambayo ni ya pili kwa kununua silaha za Urusi hapa Afrika imeachana na Su-35 kisa PESA radar mwaka huu huu. Watu wanataka AESA wewe unawaletea Erbis-E radar ambayo ni PESA leo 2022 wanunua ndege wakae nazo miaka 30, wakitaka modifications uwapige hela tena.

Mikoyan ilianza hivihivi haifanyi investment kwenye modifications na new weapons systems, sasa naona na Sukhoi inaelekea ukouko. Hao wanunuaji wa hizo silaha wako wapi?

Kwanza nani kaona St. Petersburg Economic Forum iliyofunguliwa leo? Hawa team Moscow ukute hawajui hata uwepo wake wakati ndio Davos ya Urusi, viongozi waliokuwepo leo ni kina Armenia, Kazakhastan, Belarus na Mtaliban alikuwepo. Uache biashara na Canada ukafanye na Taliban si utaishia kuwauzia majambia
 
Javlin hamna kitu mpaka wajeda wa Ukraine wameiona ni mzigo wakaanza kuyatupa hovyo kiufupi nato weupe hawana walijualo kuhusu weapons

Javelin sio bunduki ile. Vile sio vyuma maana vingekuwa vizito kubebwa kwahiyo vina single use. Ukiona kasha limetupwa ujue kuna kifaru kimewaka moto uko. Kinachotupwa ni ile tube unayoshangilia kuwa wametelekeza Javelin lakini fire command unit wanaenda nayo na iko expensive around $100,000 na inaweza tumika bila missile kutrack kifaru kwa kutumia thermal vision.

Javelin system nzima ina kilo 20 hivi na unaweza fyatua ikiwa begani, ukitaka idumu itaipa mavyuma mengi mwishowe ikose maana ya kuwa man portable. Kuna RPG ukiweka begani inakuumiza. Unataka Javelin iwe kama lile limissile la Warusi lizito kubebeka linahitaji tripod kusimama linaitwa Kornet?
 
India mwezi huu imechochea program yake ya kuongeza idadi ya fighter jets zisizozidi 114 kwa gharama ya dola bilioni 20 za Marekani. Kati ya ndege tano top contenders hakuna ndege ya Urusi. Ndege mbili za Boeing ya Marekani, Dassault Rafale ya Ufaransa, Lockheed Martin ya Marekani, Saab ya Sweden, consortium ya Europe wametinga na Eurofighter Typhoon yao. Russia imeleta Su-35 na Mig-35 zao ila hazipewi nafasi kubwa ingawa ndio zina bei ndogo zaidi.

India wana ndege za Urusi nyingi na wanaachana nazo taratibu, hata hii stealth Su-57 walianza nayo kipindi inaitwa PAK FA ila wakajiondoa baada ya gharama kupanda, specs kuwa tofauti na delays, wakaiacha Russia yenyewe. Mwaka 2019 waliagiza Dassault Rafales 36 baada ya mgogoro wa mpakani na China kwenye eneo la Ladakh. Kwanini hawakuongezea idadi ya Su-30MKI tena ambazo Hindustan pale India inaweza tengeneza components nyingi kulingana na mkataba maana MKI ni modification ya India tu. Rafale inapewa nafasi kubwa zaidi

India mwaka huu wamepiga chini mkataba wa kuongeza Kamov Ka-31 helicopters 10 za Urusi kwa ajili ya Navy yao, wakati huo procurement ya helicopters za Marekani inafanyiwa kazi. Kati ya ndege 114 hizo za future program India wanataka navy jet kwa ajili ya aircraft carrier yao. Kwahiyo hapo Russia hana chake, hapo kuna contenders wawili: Dassault Rafale na Boeing Super Hornet.

Tuachane na India ambayo ndio top Russian weapons importer duniani, twende kwa Egypt ambayo ndio top Russian weapons importer in Africa na Middle East, na wana ndege aina nyingi sana wanachanganya hawa sijui huwa wanawezaje maintenance. Egypt wana Rafales baada ya kuzipima dhidi ya Mig-29 wakagundua Mig-29 (ambazo waliagiza ziwe modified zije Mig-35 ila wakapewa Mig-29M2) na PESA radar yake haizidi Rafale. Na wamepunguza order quantity ilimradi wasivunje mkataba waliosaini 2018 kununua Su-35.

Indonesia mwaka jana iliachana na ndoto za Sukhoi wakati ilishatenga hela ikachukua Boeing F-15 kwa sababu hiyohiyo ya PESA radar kwenye karne hii.

Algeria ambayo ni ya pili kwa kununua silaha za Urusi hapa Afrika imeachana na Su-35 kisa PESA radar mwaka huu huu. Watu wanataka AESA wewe unawaletea Erbis-E radar ambayo ni PESA leo 2022 wanunua ndege wakae nazo miaka 30, wakitaka modifications uwapige hela tena.

Mikoyan ilianza hivihivi haifanyi investment kwenye modifications na new weapons systems, sasa naona na Sukhoi inaelekea ukouko. Hao wanunuaji wa hizo silaha wako wapi?

Kwanza nani kaona St. Petersburg Economic Forum iliyofunguliwa leo? Hawa team Moscow ukute hawajui hata uwepo wake wakati ndio Davos ya Urusi, viongozi waliokuwepo leo ni kina Armenia, Kazakhastan, Belarus na Mtaliban alikuwepo. Uache biashara na Canada ukafanye na Taliban si utaishia kuwauzia majambia
Uongo mtupu..leta ushahidi siyo kutunga
 
Vita ya Syria na Ukraine imeonyesha kuwa Silaha za magharibi (NATO) zimeonyesha uwezo mdogo sana dhidi ya zile za nchi za Magharibi. Nchi nyingi sasa zinawaza kwenda kununua silaha na mifumo ya ulinzi ya Urusi zenye ufanisi mkubwa kwenye uwanja wa vita kuliko zile za NATO.

NATO sasa inawaza kuachana na vita dhidi ya Urusi, hawaiwezi, wamekiri wenyewe kuwa mataifa yoooote ya ulaya na Marekani.

yanaiogopa Urusi, yaani NATO ni kwaajili ya Russia tu.

Tuliwaambia
 
Kuna ushabiki na uhalisia ,hii thread unaongea ushabiki na sio uhalisia ulivo.Ukweli ni kwamba NATO chini ya USA ni moto wa kuotea mbali na Urusi anawaogopa hao NATO .Na ukweli ni kwamba pamoja na Ukureine kuhalibiwa miundombinu yake lakini kwa msaada anapewa na NATO under USA hii vita atashinda na huu ndiyo unaenda kuwa mwisho wa Putin kama Rais wa Urus na Duniani pia.
Acha muda utatupa majibu ni nani kati ya NATO na Urus aliye na silaha Bora .
Tena kumbuka Hawa NATO chini ya USA ndiyo wanaongoza Dunia mifumo yote ya kuendesha Dunia wanayo wao iwe kijeshi,kiuchumi,na hata kitamaduni.Kwa Hali hiyo hii vita watamshinda Mrusi.
Unaweza bisha lakini huu ndiyo ukweli.
Acha mahaba ya kike
 
Wamarekani si wanasemaga wanaundugu na viumbe kutoka magalax ya mbali huko na ndiyo wanaowapa taknologia, Sasa wanashindwaje taknologia na Urusi
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kuna ushabiki na uhalisia ,hii thread unaongea ushabiki na sio uhalisia ulivo.Ukweli ni kwamba NATO chini ya USA ni moto wa kuotea mbali na Urusi anawaogopa hao NATO .Na ukweli ni kwamba pamoja na Ukureine kuhalibiwa miundombinu yake lakini kwa msaada anapewa na NATO under USA hii vita atashinda na huu ndiyo unaenda kuwa mwisho wa Putin kama Rais wa Urus na Duniani pia.
Acha muda utatupa majibu ni nani kati ya NATO na Urus aliye na silaha Bora .
Tena kumbuka Hawa NATO chini ya USA ndiyo wanaongoza Dunia mifumo yote ya kuendesha Dunia wanayo wao iwe kijeshi,kiuchumi,na hata kitamaduni.Kwa Hali hiyo hii vita watamshinda Mrusi.
Unaweza bisha lakini huu ndiyo ukweli.
Garbage [emoji706][emoji706][emoji706][emoji28]

Waulize hao NATO kwanini mpaka Leo hii bashar Alsaad yupo madarakani Kule Syria , kama wao wana tech Bora ya vifaa vita kuliko Russia,
 
Vijana acheni ushabiki maandazi na mchecheto
 
India mwezi huu imechochea program yake ya kuongeza idadi ya fighter jets zisizozidi 114 kwa gharama ya dola bilioni 20 za Marekani. Kati ya ndege tano top contenders hakuna ndege ya Urusi. Ndege mbili za Boeing ya Marekani, Dassault Rafale ya Ufaransa, Lockheed Martin ya Marekani, Saab ya Sweden, consortium ya Europe wametinga na Eurofighter Typhoon yao. Russia imeleta Su-35 na Mig-35 zao ila hazipewi nafasi kubwa ingawa ndio zina bei ndogo zaidi.

India wana ndege za Urusi nyingi na wanaachana nazo taratibu, hata hii stealth Su-57 walianza nayo kipindi inaitwa PAK FA ila wakajiondoa baada ya gharama kupanda, specs kuwa tofauti na delays, wakaiacha Russia yenyewe. Mwaka 2019 waliagiza Dassault Rafales 36 baada ya mgogoro wa mpakani na China kwenye eneo la Ladakh. Kwanini hawakuongezea idadi ya Su-30MKI tena ambazo Hindustan pale India inaweza tengeneza components nyingi kulingana na mkataba maana MKI ni modification ya India tu. Rafale inapewa nafasi kubwa zaidi

India mwaka huu wamepiga chini mkataba wa kuongeza Kamov Ka-31 helicopters 10 za Urusi kwa ajili ya Navy yao, wakati huo procurement ya helicopters za Marekani inafanyiwa kazi. Kati ya ndege 114 hizo za future program India wanataka navy jet kwa ajili ya aircraft carrier yao. Kwahiyo hapo Russia hana chake, hapo kuna contenders wawili: Dassault Rafale na Boeing Super Hornet.

Tuachane na India ambayo ndio top Russian weapons importer duniani, twende kwa Egypt ambayo ndio top Russian weapons importer in Africa na Middle East, na wana ndege aina nyingi sana wanachanganya hawa sijui huwa wanawezaje maintenance. Egypt wana Rafales baada ya kuzipima dhidi ya Mig-29 wakagundua Mig-29 (ambazo waliagiza ziwe modified zije Mig-35 ila wakapewa Mig-29M2) na PESA radar yake haizidi Rafale. Na wamepunguza order quantity ilimradi wasivunje mkataba waliosaini 2018 kununua Su-35.

Indonesia mwaka jana iliachana na ndoto za Sukhoi wakati ilishatenga hela ikachukua Boeing F-15 kwa sababu hiyohiyo ya PESA radar kwenye karne hii.

Algeria ambayo ni ya pili kwa kununua silaha za Urusi hapa Afrika imeachana na Su-35 kisa PESA radar mwaka huu huu. Watu wanataka AESA wewe unawaletea Erbis-E radar ambayo ni PESA leo 2022 wanunua ndege wakae nazo miaka 30, wakitaka modifications uwapige hela tena.

Mikoyan ilianza hivihivi haifanyi investment kwenye modifications na new weapons systems, sasa naona na Sukhoi inaelekea ukouko. Hao wanunuaji wa hizo silaha wako wapi?

Kwanza nani kaona St. Petersburg Economic Forum iliyofunguliwa leo? Hawa team Moscow ukute hawajui hata uwepo wake wakati ndio Davos ya Urusi, viongozi waliokuwepo leo ni kina Armenia, Kazakhastan, Belarus na Mtaliban alikuwepo. Uache biashara na Canada ukafanye na Taliban si utaishia kuwauzia majambia
Hizo zilikuwa order kabla ya vita kwa sasa wataona hazina maana tena

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Mnapenda kujifurahisha sana nafsi. Hii ni bila Nukes.

Total humiliation kabisa kabisa.
download.png
 
Back
Top Bottom