mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,258
- 22,552
Sio Bora ila ni Bei rahisi.kuna madude kama HIMARS yalo tisa tu lakin hatari sana.View attachment 2295326
Kati yako na yeye mi naona we ndio zee jinga mkuu, maana wewe huna hata facts
KaribuniLink ipo chini, katazame huko youtube, like na u subscribe asante sana.
Filamu Pictures, wanawaletea kazi ya filamu ya kitanzania iitwayo PETE
Kutana na Bwana Lidawi, mvuvi mwenye hali ngumu na mke mgonjwa na jinsi anavyoingia matatizoni kutokana na pete ya maajabu iliyofika katika ulimwengu wa wanadamu kwa ajili ya kazi maalum
Kutana na Bwana Songolo mtu tajiri, mkorofi na mkali sana, ambaye nae anajikuta yuko katikati ya mikasa hiyo ipatayo bwana Lidawi
Uchambuzi niufuatiliaji tu ndio maana hata wachambuzi soka wengi wao hata danadana moja hawapigiWatu wanavyobishana humu kuhusu siraha unaweza kudhani ni ma engineer wa siraha au wachambuzi wa silaha[emoji23][emoji23][emoji23]